Sura 8

1 Kisha masiku kiloko, Yesu aka enda safari kupita ku mingini ya munene na ya kiloko, kwenda kubiri na ku itangaza habarinjema ya ufalme wa Mungu. Banafunzi yake bote bali eana bote kumi na mbili. 2 Na pale banamuke ba moya bale bali poneshewa ku magonjwa na ku mapepo muchafu: saw malia waku Magadala ule bali mutoshaka demona saba. 3 Na Yoane, bibi wa kuza, wakuchunga bitu bya mu nyumba ya Herodi, na suzana, na bengine bamingi. bali toshaka bitu byabo na kulisha Yesu na batu bake. 4 Wakati kikundi kili nenepa karibu naye, batu baku toka migini mbalimabali wakafika pale. Yesu akaleta mfumbo. 5 «Wakupanda mbeko aka anza kumwanga. Pale eko na mwanga mbeko, kipande moya ika angukia pembeni ya njia baka ikanyanga, na ba ndeke ba kaikula yote. 6 Kipande ingine ika anguka kwenye maibwe na kiloko tu ina ota na tena ina kauka juu pale pa maibwe palikosa bulongo na mai. 7 Mbeko ingine ika anguka katika mi iba. miti ya mi iba ika ota an kufunika ile mbeko. 8 Lakini ingine nayo ika anguka ku bulongo muzuri na ika zala matunda mara mia ku mwisho Yesu akalalamika na kesema «Wa masikiyo ile ya kusikia, asikiye». 9 Njo wana funzi wake waka mu uliza maana ya mfumbo hii. 10 Aka wa ambiya : «Kwe nu myenye, bane mipa kujuwa koma siri ya ufalme wa mungu, lakini ku bale benini, ni mfumbo tu juu, pa kwangaria, basi one kitu, pa kusikiya, bashi sikilize kitu. 11 Musikiye sasa ma ana ya ile mufano: mbeko ni neno la Mungu. 12 Ile ili angukia pembeni ya njia, ni bale bakusikiya neno sasa shetani kuya na kubeba ile neno iko ndani ya roho juu basi amini na basi weze ku okoka. 13 Tena, ile nayo ili anguka pa maibwe, ni bale bana pokeyaka neno na furaha pale beko na ihubiri, lakini bana kosa mizizi, bana iamini tu saa kiloko, kufika saa ya kujaribiwa, bana anguka na kucha. 14 Ile nayo ili angukia kati ya mi iba, ni bale ban sikiyika neno katika njia ya imani bana funikwa na mawazo ya mari na furaha ya dunia hii, na pale matunda yabo ha ifike muku ivya. 15 Na yenye kwangukiya pa bulongo muzuri, bana i chunga nguvu na ika zala matunda na kuvumilia mateso. 16 Hakuna mutu ana wakishaka tala aiweke chini ya kibakuli ao chini ya kitanda. Lakini bana iweka yulu yaka meza karefu juu yangaziye batu bote baone mwangaza. 17 Kwa mana, hakuna yenye kufichaka kitabakiya tu kufichama, hakuna ata siri ile itabakiya tu pasho ku vu mburika, na ku oneshwa jua kati. 18 Muweke akiri ku ibiniko nasema: Juu kwa ule ekona kitu batamu ongezea, lakini kwa ule hana, na ile kiloko eko nayo, bata mu nyanaganya yote. 19 Kisha ile, mama yake na banduku yake ba kafika. Habakuweza ku mu ona juu yakinkundi kinene. 20 Mujumbe aka mwmbiya: «Mama yako na ba nduku yako beko inje, banapenda mu onane». 21 Yesu akabajibu: «Mama yangu na banduku yangu, ni bale beko na sikiya neno la Mungu na ku itumikia» 22 Siku moya, Yesu akapanda mu mutumbwi na banafunzi yake. aka ba ambiya «Tuvuke twende ile ngambo ingine». Bakao ndoka na Yesu akalala. 23 Pale beko naenda pa mati pepo ya nguvu ikala musha mawimbiya nguvu na mutumbwi ika anza kuyala mayi, na baka kuya tu karibu bakufwe pamai. 24 Banafunzi yake Yesu, bakafika na kumulamusha na kisema naye: «Bwana mukubwa, Bwana mukubwa, tuna kufwa» pale analamuka aka fokeya ile pepo na kulamuka kwa mawimbi na byote bika kuwa kimya kabisa. 25 Kisha aka sema na bo « Imani yenu iko wapi?» baka sikia boka na kushangala, na ku ambiana uyu kwa uyu: «Ni nani uyu, ana leta oda na pepo na mai bina musikia na ku acha?» 26 Baka vuka na kufika ku inci ya ba Gerasini, na angaliana na inchi ya Galilea. 27 Pale tu ana shuka na kuweka mukulu chini, mutu moya wa mu ile mugini ali yala ba demona aka simama mbele yake. Ali kawa kapasho nguo na halale mu nyumba, pakamu ma tubari. 28 Pale ana ona Yesu akalalamika na kwa nguka mbele yake. Akasema tena na sauti ya nguvu asema «Ni nini katikati yako na miye Yesu, mtoto wa Mungu aliye juu zaidi? nakulomba, usini hangaishe». 29 Juu Yesu alianza ku ifukuza ile pepo muchafu itoke mwa ule mutu. Juu ali anza kulamuka mara na mara ata bana mu funga minyololo ao nkamba ingine, ao bana leta jamu kumu chunga, alia anza kukata minyololo na ma demona ita musukuma aende paka mu jangwa. 30 Kisha Yesu aka mu uliza : «Taya jina yako.» Yeye aka jibu «Mimi ni kundi ya vita». Juu bale ba demona ba mingi bali yala ndani yake. 31 Na baka anza kumulomba Yesu uruma, asibatupe mu njimu ya bafu. 32 Na pale karibu pali kuyaka nkundi munene ya ma ngulube. bali anza kubarisha pakirima pale. Ma demona baka mu lomba ebatume ata kati ya ba ngulube bale. Aka ba ichikiya. 33 Njo ba demona ba katoka mwake na kwingiya mu ma ngulube na ile nkundi yote ikajitupa mule mu mayiyi ile, na kufwa. 34 bale bachungaji bama ngulube bali ona hii mambo, baka kimbia na kwambia mugini yote kufika na kutu mifini tuloko vile mambo ili pita. 35 Batu mingi na bo ka kaenda pale ba one mambo kaeibu. Wakati balifika karibu na Yesu, na ku ona ule mutu ana isha kwikala ku mikulu ya Yesu na kuvwala ma nguo, na akiri yake sawa, bakasikia boka sana. 36 Bale bote onaka ile mambo ili pitaka, bali anza ku onesha ku bengine vile mutu wama demona ali pana. 37 Batu baile ngambo yote Gereseni baka mulomba Yesu ende ngambo ingine juu bali mushikiya Yesu boka. aka panda mu mutumbwi aende. 38 Ule mutu ali toshewa ma demona akamu lomba Yesu ende naye. Lakini Yesu aka mu rudisha aseme. 39 Rudia mu jamaa yako na uka ba ambiye bitu bikubwa ibi mungu anakufanisha. Mutu aka enda akatangaza katika mugini yote bitu Yesu alifanya juu yake. 40 Wakati Yesu ali rudiaka ngambo ya kule alitoka, batu mingi bana mupokelea, juu bali anza kumu ongelea. 41 Mutu anaitwa Yairo, mu muja kati ya biongozi ya sinagogi. Aka anguka ku mikulu ya Yesu na aka mubembelesha aende naye kwake. 42 Juu mutu yake mwana muke, moya tu alizal, wa myaka kumi na mbili, eko karibu na kufa pale Yesu eko na ende kule, kikundi kikamu zunguka. 43 kumbe mukundi muko mama moya wa magonjwa ya kutoka damutangia miaka kumi na mbili, feza yake yote ili isha ku bamunganga bote, asipate kupona. 44 Aka enda nyuma ya Yesu na aka bamba ku nchongo ya kanjoya Yesu, na paka pale, kutoka damu ika acha 45 Yesu aka uliza: «nani mwenye ana niweka mukono?» Batu bote baka bisha pale, njo Petro aka sema naye: «Mwalimu, kikundi kinazunguka ngambo na ngambo». 46 Lakini Yesu akasema «Mutu moya anani bamba kuma nguo juu minasikia nguvu ina nitoka». 47 Mwana muke ule akasikiya haya akashindwa kufichama, aka anza kutetemeka, aka anguka chini mbele ya Yesu, akasema mbele ya batu bote vile ali bamba ku kanjo ya Yesu na vile ali pona paka pale. 48 Kisha Yesu akasema naye: « Mtoto yangu mwna muke, imani inaku ponesha wende na salama» 49 Pale Yesu eko nasema il, mutu wakutoka kwa mukubwa wa sinagogi akasema : «Mtoto mwana muke wako anakufa. Umu ache mwalimu aende yake.» 50 Lakini pale Yesu alisikia ile aka mwambiya baba yake : «Usi sikiye boka kuwa tu na imana, na mtoto atapona.» 51 Pale balifika kule ku nyumba, alika taza batu bote kwingiya mu nyumba. Akaingiya paka na Petro, Yaone na Yakobo pamoya na baba na mama wa mtoto. 52 Bale bote bali kuwa ndani ya nyumba bali anza kuria na kulalamika juu ya mtoto. Lakini Yesu akasema «Mwache kuria, analala, asikufe.» 53 Baka cheka Yesu na kazarau juu bo bali ona mtoto vile anakufa. 54 Lakini Yesu aka mu bamba mtoto ku mukono na akamwita na sauti ya nguvu: «Mtoto yangu lamuka.» 55 Roho yake ikarudia, akasimama pale pale. Yesu aka ambiya bazazi bamupe mtoto chakula. 56 Bazazi yake bali shangala san lakini Yesu aka bacha oda basiseme na mutu ile maneno yote ili pita pale.