Sura ya 10

1 Kiisha, bwana akachaguwa wengine makumi saba na akawatuma mbili mbili kwenda kwa migini iliyo kuwa mbele yao. 2 Akasema "shamba ni kubwa, lakini watu ja kazi si wengi mu mwambiye mwenye shamba atume upesi watu ja kazi wengine. 3 Mwende katika migine, lakini nawatuma kama kondolo katikati ya wambwa-mwitu. 4 Musipeleke mufuku, saku ao kiato wala musisalimiye mtu kunjia. 5 Mukingia ndani ja nyumba, museme kimia iwe ndani ja nyumba. 6 Na kama mutu wa kimia ako pale, kimia itabaki pale, kama aiko vile kimia ile itawarudilia niye. 7 Mukale ndani ja nyumba ile na kunwa yote wata wapatia sababu kila mu mutumishe anasitahiri kupewa musaada yake musitoke mpaka wakati siku za kutoka inaenea. 8 Na mu gini waki wakarisha mukule ile mu tapewa. 9 Muwaponesha wagonjua na kusema"ufalme wa Mungu inakuya karibu yenu". 10 Na kila mgini mutaingia bila kuwa pokea vizuri mwache ile mgini na kusema, 11 Ata misibebe vumbi ya mgini ile muikungute lakini mujuwe kama ufalme wa mbinguni ni karibu. 12 Na wagulisha kama siku ya ukumu itakwa kidogo kwa sodome kuliko mgine hii. 13 Korazini, na Bethsaida, ole wenu ingekuwa kazi hui, ingefanyika ndani yenu, ingefanyika Tiro na Sidoni, wangekusha kutuba, na kuvala saki na mavumbi. 14 Siku Mungu ataukumu, ukumu Yesu itapita Tiro na Sodoni. 15 Weye Kapernaumu unawaza utapanda mpala mbinguni? Hakuna utatelemuke mpaka kuzimu 16 Mwenye ata wasikia, anisikia, na ule anawakatala, anikatala pia aliye nituma. 17 Kwa furaha wale makuru saba, wakakulia na kusema: Mukubwa, ata pepo chafu wanatii kwa jina yako. 18 Yesu akasema niliona shetani kushuka toka mbingu sawa bombe. 19 Nina wapatia uwezo kutembeya juu ya nyoka, nge na uwezo kwa yote ya giza na akuna kitu kitawasumbuwa. 20 Musiwe na furaha sababu pepo chafu wanatii, mu farahi kama nyina yenu inaandikwa kumbingu. 21 Na wakati ile alifurahi kwa roho ntakatifu na kusema: ni na kushukuru, baba, bwana wa mbinguni na dunia, sababu ulificha maneno hii kwa wenyi ufaamu na wenye mayele na kuioyesha wasipo ufahamu na mayele. Baba, ni ile inakupendezea. 22 Baba anatia vitu biote ku mukono yango, akuna mtu anajuwa mwana, ila baba, na akuna mutu anamiuyuwa baba, ila mtoto, na ule utoto anapenda, kumufungulia. 23 Akangeuka na kusema kwa wenyewe "Heri kwa wale waliona yenye munaona. 24 Nawajushaniye, manabii wengi na wafalme walipenda. Kuona maneno munaona, na waliona makusikia, nawa kuyasikia. 25 Kulikua mwalimu wa sheria, ya kuyaudi, akakuya mujaribu, akisema bwana nafanye je mipate uzima wa milele? 26 Yesu akamujibu: sheria imusema nini? unaisoma namna gani? 27 Akasema na kijihi upende Mungu kwa moyo wako, kwa roho, na nguvu na akili yako, na ndungu ya kama wewepeke. 28 Unajibu mzuri, lakini fanya ile na utaishi. 29 Mwalimu akipenda kuwa haki yeye peke, akamwambia Yesu, nani ndugu yangu? 30 Yesu akamupa jibu akasema "Mtu mmuyo alikuwa akienda Yeriko kutokea Yerusalemu, akakutana na wamwizi, wakamupiga na mukamata yote na kumuumiza karibu fufa. 31 Kwani mmoja alikuwa akipita kwa ile njia, akamwona, akapita pembe na kumwacha pale. 32 Kiisha mtu mwengine, mlawi naye pia alifika kwa ile fasi, akamuona, na apita ayake. 33 Mtu wa tatu, msamaria, alikuwa naye katika safari, apita pale kwenye kulala ule mtu, wakati alipo muona, akasikwa na uruma. 34 Akamusogeleya na kumutunza vidonda na kuifunga, na kumupakala mafuta na divayi na kumutia juu ya punda yake, na kumu beba palipo nyuma ya wageni na akamulisha. 35 Siku zakupita akatowa danari mbili, akapatia mwenye nyumba na akasema naye: mukulishe na yote atakuwa juu kwa kulipa wakali nitarudia atarudisha ayo. 36 Ni nani katika watu watatu nani iko ndugu yake ya kuu ndugu aliangoka kumikono ya wizi? 37 Mwalimu akasema: ni ule alionyesha mapendo kwake," Yesu akasema" wende na ufanye namna ile". 38 Wakatio walianza kwenda, walingia katika mgini moya, mwanamke moja kwa jina Marta alimupoka kwake. 39 Na dada yake Mariamu aliketi ku miguu ya bwana na kumusikia. 40 Yeye Marta, alikuwa na kazi mingi ya kupita chakula. Akakwenda kumuona Yesu, akisema "Bwana, hili akufanye kitu kuona dada yangu ananiachia kazi mimi peke? umupe oda aye anisaidiye. 41 Bwana akamujibu: Marta, Marta, unatesua juu ya vitu mingi, 42 Kitu moya tu inayo faida. Ndugu ya Mariamu alichaguu iliyo mzuri, yenye ahitoshwa kwake.