Sura 11

1 Ile ina fikaka wa kati Yesu ikona omba fasi falani, moya wa ba na funzi yake alisema " mufalme utu fundishe ku omba kama Yohani alifundeshe ku banahunzi ya ke" 2 Yesu aka bambiya " wa kiti muko naomba , musema baba jina yako isifiwe. Ufalme yako ikuye . Uta patiyetsha kula ya kila siku . 3 Utu sameye ana tukoseyaka usituongoze ndani ya majibu". 4 Utu sameye ku ma kasa yetu,gisi tu na sameyaka kilo mutu mwenye ona tu koseyaka usituongoze ndani ya majaribu" 5 Yesu alisema" nani ndani yenu ata kwa na rafika , na ataendaka kwake kubusiku, na kumwambiya : " rafiki ni patiye bipande tatu ya mikate. 6 Dju moya rafiki yangu alisha kunyiya, na sima ata kitu ya ku mupatiya. 7 Kisha ule wa ndani, akamujibiya " usi niuzi mulango ilisha fungiwa , batoto yangu na miye :kulisha kulala ku kitanda. Sita lamuka tena dju ni kupe mukate. 8 Na bambiya ata koma ala muke dju ya kubapatiya mukate sababu uko rafika yake kwa sababu ya kwendela na kumugongea bila shida , ata lamuka na kuba patiya bipande mingi ya mikate yenye unataka. 9 Ndaba mbiya pia "mulombe na bafungiliya . 10 Sababu kila mutu mwenye analomba ana pataka; na mutu mwenye ana tafutaka ana pataka , na mutu mwenye ona kokola bana mufungulia ka 11 Baba gani katiyenu, kama mutoto yake ana mulomba samaki amu patiye nyoka kuliko samaki? 12 Wala koma ana lomba liyayi, amu pe nge ? 13 Sasa, kama ni mwenye be nye muna kwaka na bisilani mu na yuwa gisi gani muna weza ku pona ma zawadi muzuri kwaba ba toto wenu, ni je siyo zaidi sana baba yenu wa mbinguni kusema agta bapa roho muta katifika ku benye bi ko ma mu lomba 14 Badaye , Yesu akafukuza pepo mubaya yenye ilikuwa kwa bubu. Kisha pepo mu baya ikatoka , akasema. Bikundi bya batu balishangala. 15 Lakini begeni balitsheka: "ni kwa belzebul mukubwa wa mapepo mubaya ndjo kwenye alifukuza mapepo" 16 Bengini balimuzaribu na baka muliza alama ya kutoka mbinguni . 17 Likini Yesu ali yu wa ma wazo yabo na aka bambiya : " kila ufalme yenye itaga bulana bawo peke ita vundiwa , na nyumba yenye itagawanika itanguka . 18 Kama chetani ana jigabula yemwe nyewe , sa ufalme yako atasima ma tena? Dju mu na sema na fukuza pepo mubaya ku Belzebul. 19 Kama mina fukuza pepo mabaya ku Belzebul na munu gani ba na fukuza mapepo mabaya ku ji na ya gani . Dju la ile, bata kwa basambishi yenu . 20 Lakini kama mina fukuza mapepo ku kidole ya mungu, basi ufalme wa mungu ili kuya dju yenu . 21 Kama mutu mwenye nguvu ana kwa na slaha yake na kutshunga nyumba yake, bitu biake biko salama . 22 Lakini kama mutu wa nguvu kumu pita ana mupiga (ku muangusha) mutu mwenye nguvu ata mu nyanganya silaha yake, na kubeba mali yake yote. 23 Mwenye aiko pamoya na miye a na ni tshu kiya , na mwenye atusikiliza ne aende. 24 Kama pepo mabaya ma toka dani ya mutu anaendaka fasi yenye akuna mayi ( fasi yaku kauka) dju ya kupumuzika alikaza, aka sema : " ndarudiya ku nyamba yangu kwenye mina toka . 25 Akirudiya , alikutana nyumba yaku fagiliwa na inakwa muzuri. 26 Kisha akaenda beba ma pepo saba ya makali ku mushinda na balikuya bote kui kala pale kisha na hali ya mutu aka kwa mubaya kushinda ile ya mara kwanza. 27 Alifika gisi alikuwa na sema ile maneno, alisikia mwna muke moya akalala mika dani ya kikundi na kusema :" ibari kiwe tumbo yenye ili ku zala na maziba yenye uli nyonya". 28 Lakini yeye aka sema : " bariki bale benye bana sikiya maneno ya mungu na kuitshunga" 29 Wakati bikundi ya batu ina kutaniwa Yesu aka sema " kizazi iyi ni kizazi kiamaovu. Bana tafuta alama , atakama abata ba patiya kutosha alama ya yeno. 30 Dju namuna moya Yona alikwa alama ku batu ya ninawi, na vile na ye mutoto wa mutu atakwa alama dju ya iyi kizazi. 31 Malikia wa kusimi atasimama siku ya kusambishiwa( ya hakumu) na batu ya kizazi iyi na kuba hukumu dju yeye alitoka katika mwisho ya inchi dju akuye ku sikiya hekima ya salomoni, na muone kuko apa mutu wa mukubwa zaidi ya Salomoni. 32 Batu baku ninawi bata simama ndanoi ya hukumu pamoya na batu ba kile kizazi ile siku ya hukumu, dju abo balituka kwa mahubiri ya Yona na muone kuko apa mutu wa munene kuzidiya Yona. 33 Akuna mutu mwenye ata washa tala na kaitiye dani ya giza inone kane ao chini ya kitunga (kikapo). Lakini kiitia yulu yakitu dju mutu yote mwenye ata ingiya aone mwangaza . 34 Hisho ya ko ni tala ya muili kama lishoyako iko muzui muili yako muzima ina yale na mwangaza. 35 Lakini salisho yoko inagondja, mwili ya itayala na giza. Kihunga ayo sana kusudi mwangaza kwako isikwe giza . 36 Kama basi muili ya ko muzima ina yala na mwangaza bila kipande ya giza, kisha mui liyako muzima ita kwa sawa tala yenye iko na ngaza sama kabisi ndani yako" 37 Wa kati ana maliza kusema, mu Farisayo imoya aka muliza dju ya kukula maye ndani ya nyumba yake. Kisha Yesu alingiya na akaikala kumesa. 38 Na mufarisayo ali shangala gisi aku na wa mikono mbele ya ku kula . 39 Lakini bwana ali mwambiya : " mwenye ba Farisayo, muko na sukula inje ya bikombe na ma sani, lakini ndani yenu muna yala na tama na bisilani. 40 Mueye batu benye amuyewe kitu ! ayiko mutu mwenye ana fanya inje ndjo alifanya tena ndani ? 41 Mu patie bamasikini yenye iko ndani, na kisha kila kitu ita kwa muzuri kwenu 42 Lakini a le yenu bafarisayo, djumu ko na lipa kaza ya munana na ya ku njiya na mayoni yote ya bustani (mboga ya bustani) Lakini mu nacha mambo ya haki na mapenzi ya mungu. Mi ya ma ana kufanya tenda mambo kwa ukweli na ku penda mungu bila tatizo ya ku fanya mambo ingine tena. 43 Ole wenu ba farisayo, dju muna pendaka kupata fasi ya kwanza ndani ya synagoga na ma salamu ya hechima kuma heneyo ya batu bote. 44 Ole wenu dju muko kama vile na kabuli yenye aina ata alama ambayo batu bana tembeya yulu ya yo bila kudjuwa. 45 Mwali mu moya wa sheriya ya wa kiyahudi aka mujibiya ana sema : " mwa limu yenye unasema: ina tu tshamba na siye. 46 Yesu akasema : " na ole wenu ba mwalimu ya sheriya ! dju muna badilisha batu na mizigo, nguvu dju ya kubeba , lakini a muguse ata ile mizigo na moya ya bidole yenu . 47 Ole wenu dju mu na jenga na ku weka kumbu kumbu ku ma kuburi ya ba na bii ambayo balibana kuba tate yenu ! 48 Hivi miye ni bashudishi na kukubaliana ;kwa kazi yenye balifanya ba tate yenu, dju baliua ba nabii dju ba mi je ngeye kumbukumbu ndani ya ma kaburi. 49 Kwa sababu iyi sheriya hekima ya mungu inasema: " Ni ta batumiya ba na bii na mitume nabo, na bata batesa na kuba na batu ndani yabo. 50 Kisha kizazi iyi bata beba muzigo ya danu yaba nabii yenye ili mwanginya tangu mwanzo ya dunia. 51 Kudamu ya Abeli mpaka ku damu ya Zakaria , mwenye bali na ndani ya ma zabahu na patikatifu ndiyo na bambiya iyi kizazi bata beba iyi muziko. 52 Ole wenu ba mwalimu ya sheriya ya ba yahudi , dju munatosha funguo ya ufahumu ; amuta ingiya mwenye peke na mufungiye benye biko na ingiya . 53 Wakati Yesu aliota kule, bandishi na bafarisayo balimushimamia na kubishana na ye dju ya maneno mingi. 54 Kwa ku pima kuba teya ( mimbo) kwa mambo yake.