Sura 12

1 Kwa wakati uyu kwenye elfu ya batu ba na kusanya kwibu ba ka nya gane migalu katkati yabo aka anza ;kusema na mi tume mbele ya kyote , mufanye angalisho na chacho ya ba falisayo ambae niba na fiki. 2 Ku na kitu ye nye ime finikwa na ayita kosakujulikana. 3 Njo mana, yote muta sema mu giza ita sikili ka na nu juwa tena yote musa esma chini mu muumba yenu bata ii ta ngaza yulu ya nyumba. 4 Na bambiya , ba ndugu ya ngu, mu si ogopi tu pu ya ile ina wuwa mwili, kisha nyama awezi fanya kitu tena . 5 Lakini na ba mbia mbele ju ya iule waku mu ogopa . Mu ogopa ule , nyama ya ku wuwa ikote na na ;uweza ya kutpa ku jehena mu kweli na ba mbiya, mbele ju ya ku wuwa ikote na uwezo ya kutupa ku jeheka mu . Kweli na bambiya mu ma ogope. 6 Ndege to nu abahi wu zishe na makuta mbili kidogo. Lakini akuna ata limoya Mungu awezi kaisaabu . 7 Ata na nywele hya kicha yote ina esabiwa. Msiagopi ,mu ka ba mahana sana kuliko ata ndege mingi. 8 Na bambia , kila mtu ata nitongaza mbele ya batu , na mtoto wa mtu ata muushudiya pia mbele ya ba malaika ba Mungu . 9 Lakini mwenye ata nikana mbele ya batu na ye a nita mukana mbele ya ba malaika ba Mungu . 10 Ule wate ata sema mabaya ju ya mtoto wa mutu ata patama sama lakini ule ata tuka na roho mutakatifu, yeye ata sameewa. 11 Kama bana babeba ku ma sinagogi, wa wengozi na ba kubwa, mu si jisumbuwe ka kwa gisi muto soma ju ya defense yake ju ya ku jiteteya oo vile mutu sema. 12 Kwa sababu roho mtakatifu atakatifu ata bafundisha mu ile saa yenye muta sema. 13 Kisha mtu moya wa kikundi akasema :" mwalimu , ambiya ndugu ya ngu agabudi na miye sahemu ya urihi. 14 Yesu aka sema , sikiya nani alinitia kuwa mwamuzi na mupatanishi ye nu ? 15 Na aka bambiya :" mu fanye angalisho na kifu chunga na tama yote, kwa sababu maicha ya mtu ayiko ju ya bitu mingi iko nayo 16 Kisha yesu ali bafundisha kwa mufano iina kusema "mtajiri moya chamba lake ilileta ma vuno mingi. 17 Aka waza ndani yake na kusema " nita fanye je sababu sina fasi ya kutia ma vuno yangu ." 18 Akasema muone sasa ye nye nita fanya . Nita vunja shala ya ngu ma kuno ya ngu na bitu bingine . 19 Nita ambia roho, roho, uke na bitu mingi ime chunga kwaha jili ya mwiaka mingi. Pumzika, kula kunya na ukuwe na fura. 20 Lakini Mungu ako mwa mbiya ," mtu mpumbavu , bu sikuwa leo roho yaka ita lomba , na ile bita uli taharisha kwa kani sasa ita bakiya? 21 Na ivi njo ina kuwa kwa ule apatamali ju yake na ayiko ju ya Mungu. 22 Yesu ali bambiya ba na funzi yake , "njo mana na bambia musi ji sumbukishe ju ya mwili kwa ile mutakula wala ju yamwili nini muta vala . 23 Kwa sababu mayisha ni ya mahana sana kuliko chakula na mwili kuliko na nguo. 24 andege za wanga ha balimake na ha ba vuna ke . Habana nyumba wala gala juu ya chakula liakini Mungi ana bakulisha. Ni ye muko ba ma ha na sana kuliko ndege ! 25 Nani ndani yeno ju uzuni gake ana weza angeza ata saa moya kubarefu bua mayisha yake? 26 Kama basi amuta weza kufanya ata kila mudogo yenye ayiko ata nguvu kwa kuji su mbusha bingine? 27 Angalieni vile mana ina komola . Ayi na kaka aa ayi sokoti. Lakini na bambiya ata sulemani katika utu kufa wake yote aku vala kama mu moja wa wo. 28 Na kama Mungu ana penda ivi mayani ndani ya chamba ikuwe viziri na iko leo na kesho ita tuku moto mara ngapi a muta vala nini batu ya ima ni kidogo. 29 Mabita fute nini muta kula yenye muta kunywa na musifazaike ndani yenu . 30 Kwa sababu kila batu duniyani bana tafuka mazuri yabo na niye baba yenu ana juwa ka ma muko na lazima na yo . 31 Lakini muta fute ufalme wa Mungu kwanza, na bingine bita fwata nyuma . 32 Musi ogopi batoto kikundi ya batoto kidogo, kwa sababu baba yenu ana furahi kuba patia iyi mufalme. 33 Muwa zishe bitu yenu na mu batie ba masikini mujifaniziye mifuko yenye agi shake . Na hazina mbinguni yenye ayishake kwenye mwezi awezi fika , ata nondo haita fika ju iribishe . 34 Ju kwenye kuko ndi yako na pale kuta kuwa roho yako. 35 Ma nguo yenu marefu ifungwe na kamba na ma tala yenu zi endelee kuwaka . 36 Na mukuwe ka ma batu biko na ngoya bwana akuye kisha kutoka ku sherehe ya ndowa , ju wakati ana fika kupika , bamufiguliye mara mofa mulango 37 Ba barikiwe bale ba tumishi, bwana ata bakwabiko macho. Kwa kweli na ba mbiya ata funga guo yake mwefu mu kamba yake na ata baikalisha karibu na chakula na ata kuya batu mikiya . 38 Na kama bwana anakuya ku zamu ya mbili ya busiku , wala kuzamu wa tatu, na ana bakuta biko tu tayari batu mishi bale baka barikiwa . 39 Tena zayi di mujuwe n ibi kama bwana wa nyumba amlijuwa wakati yenye mwizi atakuya angeitika nya mba yake baynbomole . 40 Mukuwe basi tazari ju amu juwe wakati wala saa yenye bwana wa batu ata fika 41 Petro aka sema," bwana, nikwa sisi tu ambaye una semari mufana tu ao niju ya batu bote duniya nii ? ". 42 Na bwaka akasema "ni nani mtu miishi muzuri na dekima na bwana ata muweka juu ya bitumishi bengine, ju ya ku ba patie chakula kwa wakati muzi. 43 Ha barikiwe wule ntumishi bwana akirudiya ata mukata ikona tu mika ivi. 44 Kwa kweli na bambiya ata mupitia uwezo ya bitu yake yote. 45 Lakini kama ntumishi ule ana sema ndani ya rho yake "bwana wangu anaja wiyaku rudiya na aka kupiga batumishi bana wume ma ba na muke, na kukula na kukunywa, na kulewa. 46 Bwana wa ule mtumishi atakuya na wakati a atajuwa wala siku na ata mukala bipando bipande na ku mupitia fasi pamoza na wapani. 47 NA a ule mtu mishi ana juwa mapenzi ya bwaka yake, na aku tayarisha atakitu ao akuyanya kama ilikuwa mapenzi ya bwana , atapigwa kofi mingi. 48 Lakini mtumishi aku mujuwa , na akafanya bitu habistahili ata pigwa kofi kidogo. Bata lomba mingi na ule na ye balitia mingi zaidi. 49 Ni li ;kuya ku wakisha moto apa muduniya ,; na mara ngapi nataka ikuwe na uaka . 50 Lakini hiko na ubatizo yenye nita batizwa, na maza ngpi na vumilia mupaka itimilika