Sura ya 17

1 Jesu alisema na banafunzi lake: kweli kuna maneno yenye inaweza kutokeye, na kutuleteya Zambi, lakini hurumu kwa mutu atakaye ileta. 2 Inastahili afungiwe jiwe kabwa ku shingo, na atupiwe ku bahari, kuliko kumwacha aendeleye kuangusha batu ku Zambi, bale wadogo. 3 Mujichunge, kama ndugu yako ikifanya kosa, umushauriye, akaomba musamaha, umuhurumiye. 4 Kama anakukoseya mara saba, kwa muchana moya, na mara saba akarudiya na kulomba unmusamehe, kusema natubu, unastahili kumusamehe. 5 Banafunzi balisema na bwana: Bwana utuongezeye imani. 6 Bwana akasema: kama mukiwa na imani sawa na mbegu aliyo nalopo sana, munaweza kusema na muti, toka hapa na wende kule, muti uta tii. 7 Ni nani kati na yenu eka na batu ba kazi, wakati bana rudiya kushamba ao kuchungo ngombe, ana mukaribishaka kuchakula? 8 Hauta mwambiya unitengezeye chakula, weka ku meza, uiukale pale mpaka nimalize kuba na kunyuwa? Hauwezi kumushukuru mutu wako wa kazi sababu anafanya kazi uliyo mupa? 9 Anaweza yote humushukuru mutuniishi sababu alifanya yote uliyomutuma, sivyo? 10 Mwenye pia, wakati munafanya yenye balimituma, museme: siye ni batumishi wa baya, sababu tunafanya byenye tulipenda. 11 Ilifika wakati eko naenda Yerusalema, na akavuka mupaka wa Samariya na Galilaya. 12 Wakati anaingiya ku nijini moya, batu kumi balikuwa na bukoma, balikutana naye, bakasimama mbali na yeye. 13 Bakalalamika Yesu, mwalimu, utuhurumiye!. 14 Wakati alibaona, akabaambiya: mwende mukajioneshe mbele ya ya bakuhani, na wakati banaenda bakashuka, banapoona bote. 15 Moya akaona anapoona, akarudiya, na kumusifu Mungu kwa sauti kubwa sana. 16 Akaanguka kumikulu ya Yesu, na kushukuru. Alikuwa batu musamariya. 17 Yesu akasema: Hamukuwa batu kumi baliyotakaswa na bukoma? Bale kenda bengine beko wapi? 18 Habapende kuya juu bamutukuze Mungu, mpaka huyu mugeni tu? 19 Na akamwambiya: simama, uende, imani yako inaponyesha. 20 Bafarisaya bakamuuliza kuhusu kuya kwa ufalme wa Mungu, alijibu na kusema: ufalme wa Mungu hautakuya kwa kuonekana na macho. 21 Habata sema augaliya hapa wala kule: Angalieni, ufalme wa Mungu uko kati yenu. 22 Akasema na banafunzi: kuna siku mutapenda kuona siku ya mutoto wa mutu, lakini hanuutaona. 23 Batasema: angaliya pale! angaliya hapa! lakini musiende kwabo. 24 Kama vile umeme wa radi unaonekana ngambo moya ya mbingu na kupita haraka ngambo ingine, vile njo itakuwa siku ya kuya kwa mwana wa mutu. 25 Inaombwa bateswa mbele kwa mambo mingi na kukataliwa na batu. 26 Sawa vile ilikuwa wakati wa Nuhu, njo vile itakuwa wakati wa kuya kwangu. 27 Batu bata kula, kunywa na kuowesha, mpaka siku Nuhu aliingiya ndani ya chombo. 28 Hata wakati wa Luta, batu bali kula, kunywa, kuuza na kuuzisha, kupanda mavunu na kuivuna. 29 Lakini siku Luta alitoka mu Sodoma, ilii nyesha nvuwa ya moto na ya pepo kutoka mbinguni na kubauwa bote. 30 Itakuwa hivi siku mtoto wa muta ataonekana. 31 Ile siku mwenye atakuwa yulu ya nyumba asishuke juu akamate bitu byake ndani ya nyumba. Na ule atakuwa ku shanuba asipime kurudiya ku ùmujini. 32 Mukumbuke iliyo mutokeya bibi wa Luta. 33 Mwenyi kutafuta kuokowa maisha yake, ataipoteza, lakini mwenye atapoteza maisha ya ke juu yangu ataokoka. 34 Nina baanibiya, busiku ya leo, kutakuwa batu bawili batakuwa ku kitanda. Moya ataenda na mwengine atabakiya. 35 Banamuke bawili batakuwa natwanga fasi moya moya ataenda na mwengine atabakiya. 36 Kutukuwa batu bawili ndani ya shamba, moya ataenda na mwengine atabakiya. 37 Baka mulomba: wapi bwana? akasema: kwenye kuna patika mayiti, ni pale ndeke batakutana.