Sura 6 7

1 Kisha Yesu kumaliza mambo yote alikuwa na sema kubale,benyewe balikuwa na musikiliza, aka inji ya Capernaumu. 2 Tazama kulikuwa mukubwa moja waba asikari, alikuwa na mutumishi wake moja ali kuwa mugonjwa karibu na kufa. 3 Na wakati mukubwa waba askari alisikiya abari ya Yesu, aka tuma bazee ya Yuda, bamu ombe Yesu akuye kuponesha mutumishi wake. 4 Wakati balifika karibu na Yesu, baka muliliya sana kwanguvu, bakisema, anastahili umufanyizeye mambo yenyewe ana kuomba kwa ajili ya mutumishi wake, 5 kwasababu ana penda sana taifa yetu na niyeye njoo alitujengeya inagogi mugini yetu. 6 na Yesu akaenda nabo njiya moja, na wakati balifika karibu na nyumba, mukubwa waba askari ule alibatuma akakuya tena na Yesu akisema: « Bwana usi jichoshe na kutembeya kwa ajili ya kufika kwangu, kwasababu sina mwenye haki, juu weye uingiye ndani ya nyumba yangu. 7 Nikwa sababu ya hiyo njooatami, mwenyewe, sikuweza kuya kwako, lakini na mutumishi wangu atapona. 8 Kwa sababu na miye vile vile niko naba askari chini ulizi wangu, nikisema na moya kuya na ana kuya nikisema na mwzngine kwenda naye anaenda na nikasema na mutumishi wangu fanya ivi na anafanya vile. 9 Wakati alisikiya na sema ivi aka shangaa sana, akageuka na kuhangalia batu yote balikuwa na mufwata, akisema, hata katika israeli bado siya ona mutu mwenye kuwa na imani mukubwa sawa huyu. 10 Nakisha bazee bale balitumiwa, bakarudya na baka kuta mutumishi ule kuwa mugonjwa ana pona. 11 Kisha wakati kidogo Yesu akaenda ku muji, moya unaooitwa Naïni,banafunzi bakaenda pamoja naya na na ba kaanza kuongeya na kikundi kya batu. 12 Nawakati balifika pembeni ya mulongo wa mugini ule. baka kutana na mahiti ya mutoto mwanaume wa mama moya mujane (veuve), alikuwa na mutoto mpaka moya tu, na mohiti ilikuwa ya kubebe wa nabatu bamingi sana. 13 Wakati Yesu akaona mama uyu mujane mulikuya, aka musogeleya musikiliya uruma sana, na akisema naye «Ulisikiye.» 14 Kisha aka sogeya pembeni ya sanduku ba kasimama, kisha Yesu akasema naweye lamuka. 15 Mukufi aka sibina aka toka ndani,ya sanduku na akanza kuongeza, na kisha Yesu aka mupatishia mama yake. 16 Kisha batu bote baka ogopa na baka anza kutukuza Mungu; baki sema, nabii mutukuza, ana jito keza nadani yetu, na Mungu, ana kumbuka batu bake . 17 Habari iyi Yesu ili tawala katika miji yute ya Yuda na majimbo yote ya pambeni. 18 Bana funzi ya Yohane baka mwambiya yaono mambo yote iyi. 19 Naye akatuma bana funzi bake bawili mwende muka mulize Bwana asema weye njoo uju tuko na chuga ao kuko mwengine mwenye kuya nyuma ? 20 Wakati bakafika pembeni ya Yesu bakasema, Yohane mbatizayi ana tutuma kwako kusesa, weye njoo ule ata kuya ao kuna mwengine tumu chuge? 21 Na wakati ile Yesu alikuwa akiponya batu ba mugonjwa mbali mbali na ku fukuza mapepo chafu, nabale bote kiwa bipofu baka ona. 22 Yesu akabajibu na kusema, wakati mutarudiya kwenye mulitika mwende muka mwambiye Yohana mambo yote munaona, na kusikiya, Bipofu bana ona, bilema banatembeya babukoma banaposhwa, ba sipo sikiya, bafu bana fufuka, na kuwa tena bazina, masikini banapewa habari nsema. 23 Na habarikiwe mutu wote anaye nyamini mimi kwa sababu ya matendo ya maajabu. 24 Wakati bana funzi ya Yohane bakarudiya, Yesu aka anza kusema kwa ajili ya Yohane mbele yabatu bote, kitu gani mullienda kwangaliya pangwani? muti yenye ku tikisika na pepo ? 25 Sasa mulienda kwangaliya nini ? kwangaliya mutu mwenye kuvala manguo ya beyi, kwasababu batu banye kuvalava manguo babeyi ao ya muzuri ikalaka ndani ya manyumba ya ba falme. 26 Basi mulienda kule kwangiliya nini ? nabii, kweli nina baambiya uyu pita ata nabii. 27 Huyu njoo mutu ule mandiko ilisemaka tazma na tuma mjumbe wangu mbele ya macho yenu, yeye ata tengeneza njiya kwa ajili yangu. 28 Na myambiya, mutu wote aliye zaliwa na mwanamuke akuna mukubwa kupita Johano lakini ule mwenye ata mudogo mu ufalme wamungu yeye ana mulita Yohano bukubwa. 29 Wakati batu bote baka sikiya ivi, pamoja naba kongolaji kodi bakasema na kutangaza ya kama Mungu ni mwenye haki kabisa . Na kulikuwa pale batu baliyobatizwa na Yohano. 30 Lakini bafarisayo na bahandishiya sheria ya ba Yuda bale basipo pata ubatizo wa Yohano bakapinga kabisa mambo ya Mungu kwasababu ya kujuwa mingi. 31 Tena nitaweza kuba nafananishana nini ? batu yz kizazi iki ? banafanana na, nini? 32 Bana fanana an, nabatoto benye kucheza katika soko, bana ikala na kuitana moya kwa moya, bakisema, tuna pikafilimbi juu yenu lakini amukuya kucheza, tunaimba mimbo ya kiliyolakina amuliye. 33 Yohana mubatizazi alikuya akuandukula chakula, wala akuwa na kunywa pombe na mukasema, eko nomopepo muchafu. 34 Mtoto wa Mutu ana kuya na ana kula na kunywa, lakini munasema nimulafi, na ni mulevi, rafiki ya ba ko,golaji kodi na bapagano. 35 Lakini hekima ina onekana na kutambulikana kuwa haki ku batoto bake bote. 36 Mutu moja waba farisayo aliomba Yesu bende ba kakule pamoja naye, kisha Yesu kuingiya ndani ya nyumba ya farisayo akaikala kumeza kwa ajili ya kula, 37 angaliya kulikuwa mwanamuke moja wa zambi ndani ya muji ule,aka juwa kama Yesu ikondani ya nyumba ya ya nyumba ya farisayo aka ingiya ndani na chapa yake mafuta ya beyi. 38 Aka sibama nyuma ya Yesu pembeni ya mikulu yake, akaliya sana na machozi yake ika mwangika ku mikulu ya Yesu kama vile mayikisha aka anza kupnguza ayo na nyewele yake kisha akabeba mafuta ya beyi kamli aka mupakala Yesu ku mikalu. 39 Na ule farisayo aliye mwalika Yesu, wakati alipaona ivi akasema ndani ya roho yake, kama mutu uyu angeli kuwa kuwa nabii, kama anzeli tambuwa hari ya mwanamuke uy kama ni nani ao ni mkutu wa haina gani anaye mugusa, kwa sababu ni mwenye kujazwa zambi 40 .Yesu aka jibu na kumwambya Simoni niko naneno ya kukwambiya akasema « Sema tu mwalimu.» 41 Yesu akasema, kulikuwa na tajiri moya aliye kopesha butu mbili na ndenisana na wa pili alikuwa ndeni kidogo. 42 Lakini haba kuwa na gisi yakulipaiyo madeni, namwenye feza aka bahurumiya bote mbili, kati ya batu aba bawili nani atafurayi na kupenda zaudi. 43 Simoni akasema ni ule alikuwa na ndeni ya mingi zaudi, Yesu akasema naye: « una weza» 44 Kisha Yesu aka geuka na aka mwangaliya mwanamuke ule, kisha akasema na Simoni una ona mwana muke uyu, nilingiya ndani ya nyumba yako lakini ahukinipatishiya mayi juu ya kuosha mikulu yangu, lakini yeye ana niokesha kwa machozi yake, alilombanisha mikulu yangu na akaipa nguza na nyele yake 45 Haukunibusu lakini yeye ana nibusu kumikulu yangu 46 Haukunipakala mafuta kumikulu yangu, lakini yeye ana nipa kala mafuta kumikulu na mafuta ya beyi kali. 47 Kwa sababu yake, nakwambiya kama alikuwa na zambi mingi sasa ivi yote inasemahewa kwa sababou ana onesha upendo wake kubwa, lakini kwa ule mwenye kuwa na upendo kidogo na ana samehewa kidogo. 48 Kisha akisema na mwanamuke«zambi yako ina samehewa.» 49 Bale alikuwa na kula nabopa meza baka anza kusemezana huyu ni mutu wanamunagani ? Mwenye kuwa na uwezo ya ku samehe zambi? 50 Na Yesu aka mxambiya mwanamuke imani yako ina kuponesha, kwenda na amani.»