Sura 6

1 Kwa kuwa Yesu alikuwanapita siku ya sabata ku mashamba ya nafaka, nan banafunzi wake balikuwanacima masake na kuiyasuguasugua kati ya mikono na kuikula. 2 Bamoja ya bafarisayo bakasema: «Jya nini munafefanya biti enye inakataliwa na sheria siku ya sabata?» 3 Yesu anbajibia na akasema, « Hakusoma enye Daudi alifanya wakati alisikia njala, yeye na batu yake? 4 Alingia mu nyumba ya Mungu na akakamata mikate mitakatifu akaikula na anabapatia batu yake, hata koma ilikuwa alali kwa makuhani kuikula.» 5 Kisha akabaambia: Mutoto wa Mutu ni Mfalme wa sabata» 6 Siku ingine ya sabata, Yesu alingia ndani ya sinagogi na akafundisha batu. Pale kulikuwa matu moja mwenye muko,no wake ya kulia ilikatika na imeregeya. 7 Baandishi na ba farisayo balikuwa banamwangalia Yesu kwmakimi ju ya kuona kama atamu ponesha mutu siku ya sabata, kwa ajili ya kupata sababu ya kumustaki kwa sababu anavunja sheria. 8 Lakini alijua mawazo yabo na akamwambia ule mutu,«Lamuka, simama hapa kati ya aba bote» huyo mutu analamuka na akasimama pale. 9 Yesu akabaambia,«Nabaliuza ninyi, inaruhisiwa siku ya sabato kufanya mazuli au kufanya madahara, kuponyesha maisha au kuipoteza?» Kisha akabaagalia bote na akamwambia ule mutu, 10 « Nyolisha mukono wako.» Akanyolosha mukono na akapona. 11 Lakini baliyazwa na hasina, bakaseme sana bao banyewe kuhusu nini ya kufanya na Yesu. 12 Inafika ilie siku enye Yesu alienda kuomba yulu ya mulima , na akaipitisha usiku mzima kuomba Mungu. 13 Asubuhi, akbaita banafunzi wake na akabachagua kumi na mbili ndani yabo, benye alibaita pia « Batume» 14 Bajima ya bale batume ilikuwa simoni (mwenye alimwita Petro) na Andrea ndugu yake, Yokobo, Yohana, Filipo, Bantolomoyo, 15 Mathayo, Tomaso, na Yako mutoto waAlfayo, Simoni, mwenye alitwa zelote, 16 Yuda mutoto wa Yakobo na Iskariote, mwenye alikuwa msaliti. 17 Kisha Yesu alitemuka pamoja nabo kutoka mulima na kusimama fasi tambanane. Kikundi kabambi ya banafunzi balikuwa pale, pamoja na kikundi kabambi ya batu kutoka uya hudi na Yerusalemu, na kumusitoka pwani ya Tirona sidoni. 18 Balikuya musikiya na kuponyeshwa na magonjwa yabo. Batu balikuwa banateswa na mapepo chafu balipona pia. 19 Kila moja kwenye ali kikundi alikuwanatafuta kumusa, kwa sababu nguvu enye ilikuwa natoka mwake na kubaponyesha wote. 20 Kisha akabaangalia banafunzi yake, nakusema, « Munaribikiwa ninyi ba masikini, kwa maana ufalme wa Mungu iko yenu. 21 Munabarikiwa ninye benye muko na njala sasa, kwa maana mutashiba. Muna bariki ninyi banye munalia sasa, maana mutacheka. 22 Munabarikiwa ninyi benye batabachukia, kubatupa tubatukona kama bapagano ju ya Mutoto wa Mutu. 23 Mufurahi kwa ile siku namuruke na furha, kwasabu malipo iko mbinguni, kwa maana ba baba yabo balifanya vile vile na banabii. 24 Ole yenu yenu batajiri! kwa sababu mutaikuwa na njala nyuma. 25 Ole ya bale banacheka sasa sababu batalia na batakuwa mu kilio nyuma. 26 Ole yenu wakati batu bote banasema buzuli bwenu! Kwa maana baba yabo balifanya banabii bongo. 27 Lakini nabaambia ninyi benye munanisikia, mupende badui yenye na mubafanye masuli kwa bale benye mubafanyemazuli kwa bale benye banabashikia. 28 Mubariki bale benye banabaloumuna mubaomba bale banabatesa. 29 Mutu akikupiga sharu moya, umugeuzie na ingini ya pili. 30 Kama mutu anakunya nganya joho yako, usimukaze na kanzu yako. Mupatie mwenye anakulomba. Mutu akikunyanganya bitu yako, usilombe akurudishie. 31 Enye unapenda bakufanyize, uiya ifanya na bengine. 32 Kama munapenda tu bale benye banapenda, ile ni malipo gani kwenu ? Sababu hata bapagani banapenda bale benye banapenda. 33 Mutapata nini kwa kufanya uzuri kwa bale tu benye banabafanyiziaku uzuri? Kwa sababu hata bapagano pia bana fanya vile. 34 Faida gani mutapata kwa kukopesha mutu ju abrushie tena? Hata bapagano banakopeshana bao benyewe na banachunga kupokea sawa sawa na makuta enye balikopesha. 35 Lakini mupende baadui benu mubafanye muzuri. Mubakoeshe beta kuchunga babarudishie na malipo yenu itakuwa kabambi . 36 Mukuwe na huruma, kama baba yenu anayo. 37 Musisambishe na habatabasambisha. Musilaani, na niye hamutalaaniwa. Musamehe ju mutasamehewa. 38 Mabape bengine na batabatia. Iyi njo kiasi kizuzuhi kenye kitamwa mu magoti yanu kwa sababu kwa kipimo yeyote enye mana tumia kwa kupima, kwa ile ile kipimo nyo batabapimia niye. 39 Akabaambia mfana.« Mutu wakukufa macho ataweza kumwongoza mwenze yake wa kukufa macho?Akafanya vile bote ba wili bataanguka mu shimo moja? 40 Mwanafunzi hawezikuwa mukubwa kupita mwalimu wake, lakini mutu yote akifushwa kwa uka milifu atakuwa mwalimu yake. 41 Ju ya nini basi unaono kibanzi ndani ya macho ya nduguyake na hauone boriti (buchafu) enye iko mu masho ? 42 Namuna gani unaweza kusema ndugu nikutishe buchafu ku macho yaka kama haone enye iko ku machowako? Munafiki (Mutu sura mbili)! Tosha kwanza buchafu mwako, kisha utoshe ya mwenze wako. 43 Hakuna muti muzuli enye inatosha matunda mabaya, wala muti mubaya inatosha matunda mazuli . 44 Kila muti inajuilikana kwa matunda yake peke. kwa sababu habaweze kuchuma tini kutoka ndani ya miba, wala habawezichuma zabibu kutoka kwenye michrigoma 45 Mutu muzuri na mambo mazuri mu roho yake na anatoshaka tu mambo mazuri, na mutu mubaya anatosha mambo mabaya, kwa sababu kwa kuyazwa wa roho syo kinywa inasemaka. 46 Kwa nini mu na niita "Mfalme, Mfale", na hamufanye enye na baambia? 47 Mutu yote mwenye anakuya kwangu, mweny anasikia neno yangu, na anaitia ku kazi, nitabaonyesha na ule mutu mwenye anafanana naye. 48 Ana fanana na mutu mwenye wakati nvula kabambi na mupepo ya ngufu inapika, haikuweza kuaangusha nyumba sababu ilijengewa muzuli. 49 Lakini ule mwenye anasikia neno yangu bila kufanizia anafanana na mutu mwenye alijenga nyumba yake yulu ya bulongo bila msingi (lijiwe). Mwana mpepo wa nguvu inakuya na inavuvundikama yote.