Sura ya 5

3 1 Basi alipofika wakati kikundi ya batu, ba likuwa na kimbiliya baribu ya Yesu dju kusikia neno ya Mungu, alisimama pembeni ya mayi Genesareti. 2 Aliona mashwa mbili yenye ili fungirua pembeni ya mayi. baloba samaki benye balishuka ndu ya kusukula makila yabo Yesu alipanda ku mushua moya inye ilikua ya Simoni na kumwambiya aende mbali kidogo ndani ya mayi, kisha akaikala ndani ya mashua na kufundi kikundi 4 4 Wakati alimaliza kusema, akambiya Simoni: "sogeya ku mayi ya mingina utu pemakila dju makila dju ulobe samati" 5 Simoni akajibiya: "Mwalimu, tu na tumika busiku muzima bila kupita kitu. Lakini dju ya sauti yako, niko nantupa makila". 6 Balifanya na kukamata samaki ya mingi, mpaka na makila yabo ilipasuka. 7 Bakaenda kuita benzabo bamashwa ingine ba kuye kubasaidiya, balikuyta na baliyaza mashua yote mbili mapka nagisi ba kanza kuzama mu mayi. 8 Lakini Simoni Petro, wakati aliona ile najitypa ku migulu ya Yesu na akasema: "zogeya mbali na miye, bwana, dju niko mufanya zambi". 9 Alishangala na benye balibalikwa naye pamoya dju ya ki loba samaki yenye balifanya. 10 Na balikwona Yakobo na Yoani, batoto ya Zebedayo bote baloba samaki na Simoni. Kisha Yesu aka semama Simoni: "usiogope djunda kufanya muloba ba samaki mwana ume". 11 Wakati balienda ku leta mashua yabo ku bulonggo, bali atsha yote, na ku mufate. 12 Alikwa dani ya mugini ya apo na akakuta mutu moya mwenye ana yala na ma gonjo ya ukoma. Aka ona Yesu, akanguka sura yake kubulongo na kuomba anasema: "bwana, kama upenda, una weza kunitakasa". 13 Sasa, Yesu aka nyorosha mokono, ku bagusa na kusema: "na ipenda, upone" na pale, ukoma akatoka. 14 Yesu akabambiya basi ambiye ata mutu oya. Aka mwambiya: wende uka ji uneshe ku ba kuba kuhani (ba padri) na upane sadaka ya utakaso ya sawa sawa na Musa ali amuri, ita kuwa chunda kwabo". 15 Balikwa na sema habariyake mana na mara bitundi binene ya batu balikua na dichanga dju ya ku mutchunga na dju ya kupona na bugodja yabo. 16 Yeye aliditocha dani ya fasi ya tshangwa dju ya omba. 17 Siku moya ya masiku, alikwanafundicha. Mafarisayo na ba mwalimu ya shiriya balikwa na ikala, balikwa na tokeya kumigini yote ya Galilaya, ya Yudea na Yerusalemu, na uwezo ya Mungu ilikwa pomoya naye kumuponesha. 18 Kisha batu bakafika bana beba kila ko mutu ndani mwenye alikwa na ugodja ya kupoza, balikwa na tafuta ku muingiza na ku mutia mbele yake. 19 Gisi abakuwa kwa na djuwa wapi ndjo bamuingiziye dju ya bikundi ya batu, bali banda djuu ya nyumba na ku mushusha ule mutu chini kupitia vigae, juu kilago yake katikati ya makutano mnele ya Yesu. 20 Aliangali imani yabo, Yesu alisema: "mutu, zambi yako inasemelewa" bafarisayo na bandishi baka anza kusema sema: " yeye ni nani, uyu, mwenye anatukana Mungu?". 21 Una anaweza kusameta mazambi kama aiko Mungu ye peke?" 22 Lakini Yesu aliyuwa ma wazo yabo, kulomba yabo: "dju ya mimi muna ji uliza maswali mingi yenye aina mahana dani ya moyo yenu". 23 Kinini kenye kiko kiateketeke, kusema: zambi ya imesamelewa" ao kusema:" sima na utembeye?". 24 Eh muzuri, dju muwe kama mutoto iko na uwezo yulu ya dunia dju ya ku rumiya ma zambi, na isema:" simama, beba kitanda yako na rudiya kwako". 25 Na pale pale, mutu akasimama mbele yako, na kubeba kirago yake naka ingiya kwake ku nyumba na kutuza Mungu. 26 Bate ba likwa na shangala na kumutuza Mungu, baliyala na boga, balikwa na sema: "tuna ona leo bitu bikushangazua sana". 27 Kisha ile, alitoka na kuona mutu moya wa balisha kodi ku jina ya Lawi ana ikala dani ya ku kusanya ya kodi. Aka mwambiya: " unifate". 28 Lawi ali atsha yote, kusimama na kumufata. 29 Lawi akafanya feti kubwa dani ya nyumba ya dju ya Yesu, kulikwa balipicha kodi ba mingi na bengine batu benye kupita wa kati muzuri ku meza nabo muku kula. 30 Bafarisayo na ba ndishi balisema na baka mbiya bana funzi:"dju ya nini muna na muna kunya na balipishi kodi na ba fanya zambi?". 31 Yesu akabajibiya na ku bambiya ivi: "aiko benye afia muzuri djo bata tafuta munganga, lakini, ni benye bana gondja njo bana tafutaka banganga. 32 Na kuya kuita lakini apana ku ukumu, lakini ba tenda dju ba okoke". 33 Baka mwambiya: "bana funzi ba yohanibana funga sana na kufanya maombi, sawa na banafunzi ba ku farisayo, kisha bangu bana kula na ku kunyua". 34 Yesu akamabiya: "inaweza kana mwambiye ba rafiki ya bwana ku kila tshakula wakati yenye bwana ikonabo?. 35 Siku ita kuya yenye ba bwana yabo bakabatoka, ku ile siku bata kila tshakula". 36 Aka bambiya tena neno kwamufano:"mutu asi pasule kipande ya nguo ya mupia dju ya kushona ku nguo ya zamani. Baka ifanya, bata pasula nguo mupia, na kipande ya nguo ya mu pia aita pataria na ngauo ya zamani. 37 Na akuna mutu mwenye ata tshangapanbe ya mupeya kwenye biriba byengine, kwengeni dirai ya mupya ina pasulaka yengine, bana tubu na bengine bana poteya. 38 Djoma na mutiye ppmbe ya mupya dani ya yengine ya mupya. 39 Na mutu kisha kunywa pombo ya zamani, na awezi kuunya mupya kwani ata sema: "ya zamani iko butamu".