Sura 4

1 Kisha Yesu kujazwa na roho mukatifu akotoka ku mutoni wa Yordani na aka kwenda jangwani kwenye roho alimongoza. 2 Akafanya kule ma siku makumi ine b ila kula chakula ya yote na shetani aka mujaribu kule wakati alikuwa na njala. 3 Hiblisi shetani akamwambiya kama weye ni mutoto wa miungu sema na majiwe iyi ikuwe mikate. 4 Yesu aka mujibu mutu awezi kuhishi tu mpaka na mukate. 5 Kisha habilisi shetani aka mubeba yule , ya mulima na aka monesha makao ya duniya muzima. 6 Shetani akamwambiya nita kupa ufulme wa duniya mzina na uta itawela kwasababu duniya muzima iko chini ya ulingi wangu na nita weza kumupa mutu yoyote minapenda aitawale. 7 Lakini kama una nipigiya magoti na kuni ni abudu ita kuwa chini ya ulinzi wako. 8 Na Yesu akamujibu akasema , imeandikwa uta muabudu baba mungu wako na kumutumikiya ye mwenyewe 9 Kisha shetani akaenda na Yesu ku Yerusalemu na akampandisha yulu kabisa ya nyuma ya ekalu na akisema , kunma weye juko mutoto wa mungu uji tupe chini. 10 Kwa sababu imeandi kwa ata tuna bamalaika bake kuya kuku chunga. 11 Na bamalaika bata kubeba katika mikono yobo juu mikulu yako isi konge majiwe. 12 Yesu akamujibu na akasema usi jaribu baba mungu wako. 13 Kisha shetani kuisha kumi jaribu Yesu , akatoka na kwenda lwake , juu ya kuchunga wakati ingine . 14 Kisha Yesu akarudi Galilaya kwa nguvu ya roho mutakatifu na habari yake ika tawala jimbo mzima . 15 Na aka anza kuhubiri ku makanisa yote kidogo ( sinagogi) na kila mutu aka musifu. 16 Siku moya akaenda Nazareti mugini wenye alikomaliya, kama ili kuwa desturiyake aka ingiya ndaniya sinagogi siku ya sabato, aka sibama akanza kusoma mahandiko. 17 Bakamupa kitabu kya na bii Isaya aka fungula buku, na akaona fasi moya yenge kwandikiwa ivi. 18 Roho wa Mungu eko juu yangu , kwa sababu alinipakala mafuta juu ya kuhubiri habari njema kuba masikini ananitu ma n sema na bafungwa kama bata funguliwa na bale basiye ona kama bataona na kumaliza mateso ya bali benye kuteswa. 19 Nitangeze kama mwaka iyi Mungu ata one sha mamulaka yake. 20 Na kisha aka funga kitabu na aka murudishaya kuhani wa sinagogi . 21 Akanza kuzungu muza nabo akisema , leo makandiko iyi ina timilika kwa kila mutuana isikiya 22 .Na kila mutu aka suhudiya wakati bali musikiya eko nasema na ba ka shangaa sana sauti ya uwezo yenye ilitoka ndani ya linywa kyake na bakisema uyu njoo mtoto wa Yesfu ao apana. 23 Yesu akababambiya munipe mahana ya adisi iyi Munganga ana jitungaka ya mwenyewe , mambo yote tulisikiya ulipanya ku Capernaumu uifanya na umu mumugini yako. 24 Na aka ba hambiya kusema , kwe li na myambiya akuna nabii ata moya bana mupatishiyaka eshima ndani ya mugini wake, 25 Lakini na myambiya kweli kulikuwa ba jane ba mingi wakati ya nabii Eliya ndani ya Ismael lakini wakati mungu alifunga nvula muda wa myaka tatu na nusu na njala mukubwa ilikuwa katika inchi muzima. 26 Lakini Eli mungu haku mutu ma kunyumba ya kila mujane apana lakini alienda ya Serepta karibu na mugini wa sidoni. 27 Na tena kuli kuwa batu ya mangojwa ya bukoma bamingi sana wa kati ya nabii Elishala kini bote aba kuponeshwa apana, mpaka naamane mtu wa Siri. 28 Wakati bali sikiya mambo iyi bantu yote baka silika . 29 Baka sibama na kumu sukuma atake inje ya mugini na baka mupeka mpaka ngambo ya mulima, pembeni ya mugini yabo juu ya kumu tupa chini. 30 Yesu akapita na kimya kati kati yabo na akaenda lwake . 31 Kisha aka shuka Capernaumu katika inji ya Galilaya aka anza kuhubiri batu siku ya sabato . 32 Batu bakashangaa sana wakati alikuwa na hubiri kwa sababu ali kuwa na hubiri kama mufulme . 33 Na kulikuwa na mutu moya myenye alikuwa na mapepo muchafu, aka lala mika kwa sauti kubwa . Yesu wa Nazarethi mambo kani weye na miye? 34 Una kutuwaribu? Na juwa kama weye ni mutakatifu wa mungu. 35 Yesa aka ikemeya pepo na kusema nyamaza kimwa , na toka ndani ya mutu uyu napepo i;ka mutupa ule mutu chini kati ya batu na ikatoka bila kumu umiza wa shida lolote. 36 Batu bote bakashangaa nabaka anza kusemaya ma ajabu ile kila mutu na mwenzake bakisema iyi ni mambo gani? Ana amuru pepo muchafu kwa utukufu na pepo mbaya inatoka? 37 Na ivi abari ya Yesu alitembeya majimbo yote ya kando kando. 38 Kisha Yesu akatoka ndani ya mugini iyi akenda kuigi yanda ni ya nyumba ya Simoni na mukwe ya Simoni alikuwa ngonjwa sana na baka muomba amuguse. 39 Na Yesu aka musogele ya na aka ikemeya magonjwa na magonjwa ikatoka mara moya, na aka sibama aka anza kumutumikiya . 40 Wa kati ya mangaribi, batu baka muleteya Yesu bagonjwa ya kila namuna na Yesu aka weka mikonon yulu yabo na bote bakapona . 41 Na mapepo muchafu ikatoka ndani ya bengine bangonjwa na pepo ika anza kulala mika " uko mutoto wa mungu " Yesu aka ikemeya mapepo na akupenda tena iseme kwa sababu mapepo ili juwa kama yeyeni Kristu. 42 Na asubuyi mapena Yesu akatoka na akaenda jongwanifa si yenyewe akuna batu na batu mingi balianza kumu tafuta, bakafika fasi yenye we alikuwa na baka muomba sana askitoke na kwenda mbali ya mugini yabo. 43 Lakini aka wajibu ina nipasha sana nyende ni ka hubiri habari njena ya ufalme wa Mungu katika migini mingi yote nani kwa sababu ya ile njo njolitumiwa hapa duniyani . 44 Na kisha akaendeleya kuhubiri ndani ya ma sinagogi ya migini yote ya Yuda.