Sura 3

1 Tangu mwika kumi na tano ya utawala wa Tiberio a Kaisari,na ile wakati Pontio Pilato alikuwa liwa liwa Yedea, Herode alikuwa mukuu wa Galilaya, Filipo, ndungu yake naye aliku liwali mukuu inchi ya itu rea na Trakonite, na lisania alikuwa mukuu mu Abilene. 2 Na wakati wa kahani mukuu Anasi na kayafa, neno la Mungu ilikuya kwa Yoane mtoto wa Zakaria, ndani ya Jangwa. 3 Ali kuwa na tombeya mu ma mi ngini ya kari buni na baari ya Yeroni, na ku wubiri ubatizo na kutubu ju ya mu sama wa zambi. 4 Vile imea ndikwa ndani ya kitabu wa nabii Isaya, «sawiti ya mwenye iko na lalamika mu ja ngwa». Tengeneza njiya ya bwa nya, na nui nyoroshe njiya yake. 5 Bonde yote ita ya zwa, na bilima yote na kilima ita kwa a imelalisha chini, na ma njiya mu baya ita kuwa ime nyorosha kabisa, na njiya mubaya ita palu liya! 6 Na batu bote bata ona okovu wa Mungu. 7 Njo mana Yoane alikuwa na sema na makutano bali kuwa natoka ju ba batizawe na yeye, « Niye kizazi ya nyoka! nani ana ba fundisha ku kimbiya bisirani ina kuya? 8 Mu zale matu nda muzuri ya kutubu na musiende kusema ndani yenu, "Tuko na baba yetu Ibrahamu," Ju na ba mbiya kama Mungu iko na uweza ya kutowa kizazi ingine na batoto ku a Ibrahamu. 9 Shoka, ikotayari ju ya kukata mzizi ya muti njo mana kila muti ambae ayi toshe matunda ma zuri ita katiwa na kuitupa ku moto. 10 Kisha, batu wuliza Yoane, tu fanye nini? 11 Na aka ba jibiya na kusema, ule yote iko na nguo mbili atoshe moya na apatiye ule aana nguo, na ule iko na chakula afanye namuna. 12 Na baodhi ya kadi balikuya ju ba batiziwe, "Mwalimo" tu fanye nini? 13 Aka ba jibiya «Musikamate tena pesa mingi zahidi ya ile bana bambiya ju ya kopata». 14 Na baihari bengine bali muwaliza Bali muwuliza, « Na sisi, tu fnye nini?» Aka ba jibia musinyanga nye pesa kwa mtu, na nguvu, no te na mu si « Danganiye mtu na neno ya bongo. Mufurahi na malipo yenu». 15 Vile batu balikuwa na chunga kukula ya Kristo na bugonjwa, bote bali kuwa na jiwuliza ndani ya ma roho kwa aji ya Yoane yeye niKristo. 16 Yoane aliba jubiya na kusema, «Miye nina ba batiza na maji lakini kuko mtu anakuya, iko na nguvu zahidi na miye na miye si na ata uwezo ya ku fungula kamba ya bilao yake, ata ba batiza na roho mulaka tifu na moto. 17 Na ku mikono yake iko na pepeto ju ya kutasha bu chafu yote na kupepeteya ngono na kui kusa nya ngono fasi moya gala yake. Lakini na jani yote ata yitia mote na kuhiluanguza na ile moto ayiku fake. 18 Tena na maonyo mingi, Yaone ali ubiri neno la Mungu Habari njema. 19 Wakati Herode ali kemewa kwa Yoane ju ya ku wawa Herodia, bibi wa ndugu yake, na ma baya ingine pia Herode alikuwa na fanya. 20 Na aliongeza ibi mu ma baya yake, ali funga Yoane mu gereza. 21 Kisha ikafika, wakati batu balibatiziwa, na Yesu pia alibatiziwa. Na wakati aliomba, mbinguni ikafulika. Na roho mutakatifu alishuka yulu yake kama njiwa. 22 Na sawiti ilikuya toka mbinguni, «Weye ni mtoto wangu mupenwa, ndani yako niko na furaha» 23 Wakati Yesu alianza kazi yake, alikuwa na mwako karibuni tatu. Alikuwa (vile balikuwa bana waziya) mtoto wa Yusufu, mtoto wa Eli; 24 Mtoto wa Matatia, mtoto wa Lawi, mtoto wa Melki, mtoto wa Yana, mtoto wa Yusufu. 25 Mtoto wa Matatia, mtoto wa Amosi, mtoto wa Nahumu, mtoto wa Esli, mtoto wa Nagai. 26 Mtoto wa Maati, mtoto wa Semeini, mtoto wa Yusufu, mtoto wa Yuda. 27 Mtoto wa Yoanani, mtoto wa Resa, mtoto wa Serubali, mtoto wa Shealteli, mtoto wa Neri. 28 Mtoto wa Melki, mtoto wa Adi, mtoto wa Kosamu, mtoto wa Elmadamu, mtoto wa Eri. 29 Mtoto wa Yose, mwana wa Eliezeri, mtoto wa Yarimu, mtoto wa Matathi, mtoto wa Lawi, 30 Mtoto wa Simeoni, mtoto wa Yada, mtoto wa Yusufu, mtoto wa Yonamu, mtoto wa Eliyakim. 31 Mtoto wa Melea, mtoto wa Mena, mtoto wa Matha, mtoto wa Nathani, mtoto wa Daudi. 32 Mtoto wa Yese, mtoto wa Obedi, mtoto wa Boazi, mtoto wa Salomoni, mtoto wa Nashoni. 33 Mtoto wa Abinadabu, mtoto wa Aamu, mtoto wa Hersoni, mtoto wa Persi, mtoto wa Yuda. 34 Mtoto wa Yakobo, mtoto wa Isaka, mtot wa Ibrahimu, mtoto wa Tera, mtoto wa Nahori. 35 Mtoto wa Seruig, mtoto wa Ragau, mtoto wa Peligi, mtoto wa Eberi, mtoto wa Nashari. 36 Mtoto wa Kenani, mtoto wa Arufaksadi, mtoto wa shema, mtoto wa Noa, mtoto wa Lameki. 37 Mtoto wa Metusaeli, mtoto wa Enoka, mtoto wa Yeredi, mtoto wa Mahaleli, mtoto wa Kenani. 38 Mtoto wa Enosi, mtoto wa Seti, mtoto wa Adamu, mtoto wa Mungu