Sura 2

1 Muile masiku, mufalme kubwa Waroma, yeye Kaisala Agusito aka andika mupango moyaku kibarua na kusema watu wote wa mu engo yake be ba balule na kuba andika kufwatana na bizazi na migine. 2 Ile kazi ya kuji andikisha ku bizazi njo ilikuyaka ya kwanza, ni ile wakati kileniusa ali anza kuongoza inchi ya salia kama liwali. 3 Batu bote ba anza kwa kuji andikisha kila mutu ku mugini ya kizazi. 4 Njo pale Yosefu naye akatoka Nazaleti jimbo la galilea, juu akafike kwabo kujimbola Yudea, mu mugini ya Daudi, jina Befelehema, juu ali kuwa mutu wa kizazi kya Daudi. 5 Ili pasha ende aka andikishe yeye na Maria, mtoto mwanamke ule alichala amu owe, pale eko na mimba. 6 Wakati bangari pale, ika enea wakati wake wakuzala. 7 Akazala mtoto mwana ume, kuzala kwake kwa kwanza, aka mu vwika na kumufunika bya baridi na kumu larisha mu kimbao mwa kurisha ba nyama, juu hakupata chumba ya kuripia mu nyumba kuna fikiaka bageni. 8 Karibu na mugini kuli kuya bachungaji bali anza kulisha ma nyama yao busiku na juwa beko mupori. 9 Kushituka hivi, malaika wa Bwana aka ba tokelea, na utukufu wa Bwana ika wa angazi fasi yote bali ikala, baka ogopa sana. 10 Ule malaika aka ba ambiya « Musi ogope juu mina mile tea habari ya muzari, yenye italeta furaha kwa kila mutu. 11 Kuna zalikwa juu yenu, siku ya leo, mu mogini ya Daudi mukombozi yeye njo Kristo, ye Bwana. 12 Hii njo alama ya kuyuwa mtoto: Mu taku ta mtoto wa kuzaliwa leo, bana mu vwika na kumufunika bya baridi, ban mu larisha mukibao kya kulisha banyama. 13 bashituke tena kinkindi kinene kya ba soda bamu mbingu, baka kuya kuchangana na ule malaika, baka imba na kutukuza Mungu aseme: 14 « Utukufuni yako Mungu mule mu ma mbingu ya yulu kupita, na apa padunia, kimia iwe kati kati ya batu bale bana mufuraishaka. 15 Pale bamalaika banarudia ku mbingu, bale bachungaji wa one shana aseme: « Twendeni sasa paka ku Beteleheme tukaone hii mambo ina tokea mo, ile Bwana an tu onesha. 16 Baka enda mbiyo kule, bakakuta Maria na Yosefu na mtoto analala mukibao kya kulisha nyama. 17 Wakati wali ona bileryote, raka anza ku onesha batu bote ile mambo yote ila bafikaya yulu ya mtoto uie. 18 Bale bote bali anza kusikiya habari ya mtoto bali shangala san bile ba chungaji. 19 Pale Maria, alianza kuwazawaza yulu ya hii maneno yote alisikia, ali ichunga sana mu roho yake. 20 Kisha bachungaji bakarudiya beko na tukuza na kusifo Mungu kwa ile yote bali ona na kusikiya, kufwatana naile yote bali bambiyaka. 21 Pale siku ya munane, njo siku yakumu tengeneza bwanaume baka mupa jina la Yesu, jina ile malaika ali letaka mbele mama apate mimba. 22 Bwingi bwa masiku ya kutakasa wa kuzala ili enea, kufwa tana na sheria ya Musa, Yosefi na Maria bakamupeleka ku hekalu ku Yelusalema juu bamu oneshe mbele ya Bwana. 23 Ina andikwa mu sheria ya Bwana: « Kila mtoto mwana ume wa kwanza, bata mupa ye Mungu. 24 Bakafika batoe na sadaka juu ya mtoto vile ina andikwa mu sheria ya Bwana: « ba njiwa ba pori bawili wa kiume na wa kike ao bitoto bya njiwa ya mugini mbili. 25 Kumbe kuli kuyaka mze moya anaitwa Simeoni. Mutu uyu ali kuyaka wahaki na ku ogopa mungu sana ali kuya eko na ongolea pale Israeli ata faridiwa na roho mutakatifu ali kuya yulu yake. 26 Bali mufuliaka maonyo kwa njia ya roho muta katifu ya kusema hawezi kufa asiya ona masia wa Bwana. 27 Siku ile, Simeoni aka sukumiwa na roho mutatifu a kuye mu hekalu. Na njo saa bazazi beko naleta mtoto Yesu juu ba enesheye kila kitu sheria inalomba. 28 Aka mubeba mtoto mu mikon yake, aka mwabudu Mungu na kusema . 29 «Bwana sasa acha mutumishi wako ende na kimkia kufwatana na kusema kwako. 30 Juu macho yangu ina ona wokovu wako. 31 Ile ulitenge nezea bizazi byote: 32 Ni mwangaza juu ya ku onesha wazi masiri ku ma bizazi bingine tena utukufu ya watu wako wa Israeli. 33 baba yake na mama yake bali kuya bali kuya beko na shangala tu ku bile byote bali anza kusema yulu ya mtoto. 34 Simeoni a li ba barikina kusema na malia mama yake: « Uyu mtoto anawekwa ju ya kwangusha aba na kulamusha batu mingi kati na Isreali na atakuya kama mwenye ata lamusha bubishi. 35 Na kisu ta kutobolaka roho yako juu mawazo ya batu mingi itokeepeupe 36 Kuli kuyaka na mwanamke nabii jina lake ana, mtoto wa fanueli, mu kizazi cha aseri ali zeeka sana. kwanza buyana bwake, ali olewaka, ana fanya tu nyaka saba, Bwana akakufa. 37 Ali bakiya mujane myaka makumi munane na ine, asi anze kwacha nyumba ya Mungu na ku itengeneza na kufunga chakula juu ya maombi busiku na mu juwa. 38 Ile saa ile, naye akafika pale beko na aka anza kushukuru Mungu tena aka anza ku ambiya maneno ya mtoto ku batu bote bale bali anza ku ongolea kukombolewa kwa Yelusalemu. 39 Wakati bazazi ya Yesu bali isha kufanya kila kitu sheria ya Bwana inaomba, bakarudiya ka ku Nazareti, mgini yabo ku Galilaya. 40 Mtoto aka komeya na kukuya nguvu, ali ongezeka muhekima na neema ya Bwana ili kuwa yulu yake 41 Bazazi yake bali anzaka kwenda kila mwaka ku Yelusalama juu ya furaha Pasaka. 42 Pale ali enesha miaka kumina mbili, akapanda pamoya na bosawa zoezi ku ile furaha. 43 Kisha masiki ya furaha kuisha, barudia kwabo, kumbi mtoto Yesu ali bakiya mu Yelusalema, lakini bazazi haba angarishisha muzuri. 44 Muku waza aseme eko tu mu katikati ya batu bali anza kurudaia nabo baka tembea siku muzima njo bakashituka njo ba anze kumu tafuta ku ba nduku na ku ba rafiki. 45 Hivi haba ku muone, bakarudia paka Yelusalema kumu tafuta. 46 Kisha siku tatu ba ende kumu pata ndani ya hekalu anaikala katikati ya balimu, eko nabasikiliza naku ba uliza. 47 Bote balishangaa sana ku ona akiriyake na majibu yake. 48 Pale bali mu ona, na bo vilevile bu i shangala sana na mama yake akasema naye: « Mtoto yangu, juu ya nini unetufanya hivi? sikiya, baba yako na miye tuko tuna kutafuta na boka sana.» 49 Aka baambiya: « Muna nitafuta juu yanini, hamujuwe kama mina pashwa kwikala mu nyumba ya Baba yangu.» 50 Lakini bo habasikia ma ana ya ile alisema. 51 Kisha aka enda na bo kurudia ku Nazareti, ali kuya tu wakuba eshimiya sana. Na katika ile ile maneno yote, mama yake alikuya eko na ichanga muzuri ndani ya roho yake. 52 Lakini Yesu aka endelea kukomea muhekima na maungu, na kufura isha Mungu nabatu.