Luka sura 21

1 Yesu aka angaliya, akaona bata jiri bana sibama kwa jili ya kuto wa sadoka. 2 Na aka ona tena mwanamake moya mujane masikini, naye aka sibouma akito wa bipande mbili byafeza. 3 Yesu aka sema, kweli nina bambi ya kama mwanamuke uyu mujane masikini ana towa feza mingi kupita bantu bote. 4 Kwasaba haba bote bana towa peza yenye we abana nayo faida, la kini mwana muke mujne uyu masikini, ana towa feza yote amayo ilipasha yake. 5 Wakati balikuwa bakiongeya kwasababu ya majengo ya kanisa namuna ilipambwa na majiwe ya muzuri na matoto, alisema. 6 kwa sababu ya mambo iyi muko naona, masiku ya kumbele hakutakuwa jiwe yenjewe ita bakiya yulu ya jiwe ingine, bila kubomolewa. 7 Nabo bakamuliza mwalimu gani? na alama gani ita kuwa mbele ya mambo iyi kufanyika? . 8 Yesu akajibu, mukuwe baka la musidanga nyiwe, la kini batu mingi batu kuya kwajina yangu ba kisema miye njoo na wakati timiya, la kini musi bafwate. 9 Mukisikiya vita ao mafujo mu siogope, kwasababu mambo ile inapasha ifanyike, kwa saebaku murisho aita kuya bwepesi. 10 Kisha aka ba hambiya mu ta ona inchi inachi ina pigana na inchi ingine, mufalme na mufalme mwingine. 11 Kuta kuwa muti kisiko wa bulongo mafasi mbali mabali, njala na mateso kutakuwa mambo mingi ita anekana ata ata mahalama juu mbingini. 12 Kisha mambo yote yi batami shika mikono juu yangu na kumite, kumipe ka kumasi nagogi, kumiteya ndani ya ma gereza, kumipeleka mbele ya wa falme na ku benye kuwa na mamutaka, kwa sababu ya jina yangu. 13 Mujuwe kushudiya 14 Mukuwe na maroho ya kudhuka, wala musinungu nike, kama muta samba namna gani. 15 Kwasa babu mipeke nita bapatishiya mayele ya kusema, na vile ata mutu moya hata weza kubahanga weza kubahanga miza. 16 Ata ba baba yenu na, ba mama yenu, na 17 bata misitaki, na, bata uwa batu bengine kati yenu. Batu mingi bata michukiya kwa ajili ya jina yangu kwa ajili ya jina yangu. 18 Mujuwe kama akutangu ka ata nywele moja ya kichwa kyenu . 19 Mwendeleye kukanzana na imani na mutaponya na nafsi yenu . 20 Wakati muta ona Yeruzalema ina fungwa na ba askari, muju we kama kwaribika kweke kuna kuwa karibu. 21 Na bale bote bata ona mambo iyi batu ya Yuda bata kimbiliya, kwamulima, nabale benye bata kuwa ndani ya mungini benye bata kuwa ndani ya mugini ba ondoke, kwala kini bale baliyo ya kuhingiya ndani ya mungini. 22 Kwa sababu iyi ni masiku ya ku rudisha kisasi, kwa sababu mombo yote iliyo andikwa itimilike. 23 Ole kwa bale, bote bata kuwa na mimba ao benye kunyo nyesha siku ile kuta kuwa kiliyo ndani ya mataifa juu ya kasirani ya batu bale. 24 Na balata anguka yulu ya mupanga na bataka motiwa mateka, ku bagano yote, na Yeruzalema bata ikanyaka kwa ba pagano, mpaka wakati wabo utaeneya. 25 Kuta kuwa ma alamaya kujuwa katika mwezi, na katikanyota na katika duniya, kuta kuwa kiliyo na katika mataifa yenye ita tiya makelele ya bahari na ma kelele ya ma bimbi. 26 Batu batakufa juu ya kuogopa mambo yenyewe itatokeya mu duniya, kwasa babu nguvu ya duniya, itatikisika. 27 Na kisha bata muona mtoto wa mutu atakuya kutokeya mbinguni na utukufu wake mukubwa. 28 Na wakati mambo iyi atanza kuto keya, musibame na muhinu we vichwa byenu, kwasababu ukombozi wenu unasoge ya na ina kuwa karibu. 29 Yesu aka bambiya kwa mufano mwanzaliye miti kidogo na mitimine ne. 30 wa kati muta ana mayani ya mupya ina anza kutoka muju we kama matunda ya muti ina take kuwa karibu. 31 Mujuwe kama wakati mutao na mambo iye kutokeya mujuwe kama ufalme wamungu una karibiya. 32 Kweli na mymbiya, kizazahiki ha kitapita mpoka mambo yote iyi itatokeya. 33 Mbingu na duniya itapita la kini maneno yangu aita pita kamwe. 34 La kini muji angaliye mwe benyewe kwa sababu maroho yenu isiari bike na mambo ya bure, kama bulevi, na mateso ya duniya iyi , kwa sababu siku ile itakuya kwa mafla. 35 kwasababu ita angukiya batu kamavile muteko. 36 Mukuwe macho wakati yote na muombe mungu kwasababu mukuwe, na nguvu ya kupona na mambo yote yenyewe itakuya, na muweze kusibama mbele ya Mungu. 37 Wakati ya muchana, Yesu alikuwa na hubiri, ndani ya hekalu, na mangari, bi alikuwa naenda kulala yulu ya mutina wa mizetuni. 38 Batu bote balianga kuya asubuyi mapema kwasabu ya kusiki ya mahubiri ya yesu.