Sura 20

1 Ilikuwa siku moya ndani ya Hekalu Yesu alikuwanafundisha na kuhubiri, bakubwa ya bakuhani na bamwlimu ya sheria balimufuata na bazee. 2 Bakamwambia,Kwa mamalaka gani una fuanya mambo iyi yote ? Wala nani mwenye anakupatia mamlaka hiyo? 3 Akabajibia: « Nabauliza pia swali moya. Muniambie, 4 Ubatizo wa Yohana inatoka mbinguni au kw batu? 5 Baliwaza ndani yabo benyewe, bakasema, tukijibu inatoka mbinguni, atatuuliza, basi ju ya nini hamukwitika? 6 Na tukisema inatoka kwa mutu, batu bote hapa bata tupiga majiwe, kwa sababu bote banaamini kama Yoha alikuwa nabii. 7 Kisha bakamujibia yaa kama habakujuwa kwenye ilitoka. 8 Yesu akabaambia, na miye sitabaambia kama kwa mamlaka gani na fanya mambo hiyi. 9 Anabapatia mfono huyu, mutu moya alipanda shamba ya mizabu, akasafiri mbali na kuabaacha balimayi kazi ya shamba yake. 10 Wakati ya mawuno, akatuma mutumishi kwa balimayi ya mizabibu ju bamupatie nusu ya matunda ya mizibu lakini benye kulima mizabibu bakamupiga na bakamurudisha bila matunda. 11 Anatuma mutumishi mwingine na bakamupiga. 12 Anatuma wa tatu, vile vile banamupiga na kumutupa inje. 13 Mukubwa wa mashamba akasema, nifanye nini ? Nita mutuma mutoto wangu mupendwa. Saa ingine batumueshumia. 14 Lakini wakati balimayi mizabu balimwona, bakasemezana benyewe, na bakasema: «Angalieni uyu njo mnishi.Tumuue, ju tubakie na unithi yake. 15 Bakamutosha inje ya mashamba ya mizabibu bakamuua. Kwa hiyo mukubwa atafanya nini? 16 Atakuya nakubafuza balimayi mizabibu, na kapatia mashamba kwa bengine. Wakati alisikia ile, bakasema, Mungu anakatala.muponda. 17 Yesu akabaangalia, akasema, « hiyi maandiko inamaanisha nini?» Lijiwe enye banye ngayi banakatala inakuwa pembeni? 18 Mutu yote mwenye atanguka yulu ya lijiwe ile atavunjika, na ule mwenye lijiwe itamuangukiaita 19 Njo vile baandishi na bakubwa ya maku hani balitafuta njia ya kumufunga wakati ile, balijuwa ya kama alikuwana sema mfonohuyu ju yabo. Lakini bakaogopa batu. 20 Banamuangalia kwa makini, bakatuma bapelilizibenye banajigeuza kama batu ya haki, ju bapate makosa kwa hotuba yake, ju bamupeleke kwa batawala na benye mamlaka. 21 Nabo bakamuliza, mwalimu, tunayuwa unafundishs mambo ya kweli na enye haishawishiwe na mutu yeyote, lakini unafundisha ukweli kuhusunjia ya Mungu. 22 Utuambie inakatiliwa kulipa kodi ya Kaisari, au ? 23 Yesu alijuwa mutigo yabo, akaambia, 24 Munionyeshe dinari. Sura na chapaya nani iko yulu yake ? Bakasema, ya Kaisari. 25 Nayeye akabaambia, Basi bumupe Kaizari yake, na Mungu bia kwake. 26 Baandishi na bakubwa yabakuhani balikosa uwezo ya kukosoa enye alisema mbele ya batu. Bashangala na jibu yake, na habu sema tina kitu. 27 Bamoya ya basandukukayo bakamuenda, bale benye kusema kama hakuna ufufuo. 28 . Bakamuliza bakasema, "Mwalimu, Musa alituandikia: « ndugu wa bwana mwenye anakufa, naacha bibi bila mutoto, nduguu wake atmoa bibi ya nduguya, ju amuzalie ndugu yake mutoto» 29 Lakini, kulikuwa na bandugu saba, wakwanza akaoa, na akakufa bila mutoto. 30 Wapili vie vile. Na wa tatu akamoa tena, 31 ilikuwa vile vile kwa bote saba, balikufa bila kuza batoto. 32 Nyuma kidogo bibi anakufa. 33 Siku ya ufufuka atakuwa bibi ya nani? sababu bote balikuwa babwana yake. 34 Yesu akabaambia, Batoto ya dunia hivi banaoa na kuolewa. 35 Kakini hakuna kuoa wala kuolewa kwa benye balipata ufufuko ya milele. 36 Wala habatakufa tena, ju batakuwa sawa sawa na bamalaika, na bata kuwa batoto ya ufufuo. 37 Benye balikufa banafufuka, Lota Musa alionyesh fasi katika habari ya kichaka, pale alimwita Mfalme Mungu wa Ibrahimu na Mungu ya Isaka na Yakobo. 38 Mungu haiko Mungu wa benye balikufa lakini ni Mungu ya batu benye biko bazima, kwa sababu bote banaishi ndani yake» 39 Bamoja ya bamwalimu ya bana sheria baka mujibia, " Mwalimu, unajibu muzuri. 40 Habakupima tena ku muliza maswali nyingine. 41 Yesu akabaambia, "juya nini banasema kama Kristu ni mutotot ya Daudi?» 42 Kwa kuwa Daudi yeye peke anasema ndani ya kitabu kya zaburi: Mfulame amamwambia Mfalme wangu: Ikala ku mukono ya kiume yangu, 43 mpaka niangushe baaduiyako chini ya mikulu yako. 44 Daudianamwita Kristo Mfalme, basi atakuya Mutoto wa Daudi? 43 Mpaka niangushe baadui yako chini ya mikulu yako. 44 Daudi anamwita Kristo Mfalme , basi ata kuya Mutoto wa Daudi? 45 Wakati batu balikuabana musikiliza, akabaambia banafunzi bake. 46 «Mujichuge na baandishi, benye bana tembea na manguo mirefu, na bana pende kayionyesha ku macho ya batu mingi, na banapenda makiti ya heshima ku ma sinagogi na mafasi ya heshima ku mafeti 47 Banamuke banyumba ya bayane, na banaomba mulefu. Batapata hukumu kabambi. 47 48 Banakula banyumba ya bayane, na banaomba mulefu. Batapata hukumu kabambi»