Sura 19

1 Yesu akaingiya na kitiya Yeriko. 2 Mulikuwa mutu moya mutadjiri, kiogozi ua walipasha kodi. 3 Ali penda kumuona Yesu, lakini hakuweza sababu ya bwinyi ya watu, na alikuwa mufupi sana. 4 Akatangalia mbele ya watu, kubandaku muti ya mkuyu juu ya kuweza kumuona Yesu, sababu alipashua kupiaya pale. 5 Wakati Yesu alifika pale , akangaliya juu na kumwambiya: «Zakayo, shuka haraka, leo inapashua ni ikale kwako. 6 Akashuka haraka na furaha. 7 Kwa kuona yote ile, wote wakaanza kunungunika, wakasema « Anaenda kuikala mu nyumba ya mutu wa zambi.» 8 Zakayo akasimama mbrle ya Yesu na kusema: «bwana, ona , na wapa nusu ya mali yangu wa masikini, na kama nalimu nyangasa pesa ya mutu, nita murudishaya pesa lake mara ine. 9 Yesu akasema: Leo wakavu imeingiya ndani ya nyumba hiyi. 10 Sababu mutoto ya Arahamu. Sababu Mutoto ma Mutu alikuya kutafuta na kuwokawa wapotevu. 11 Vile walikuma nasikiya iyi maneno, akaendeleya kusema na leta mufane, sababu alikuwa karibu na Yerusalema, na walikuwa na amini ya kwamba ufalme wa mbingu ilipasha kutoka mara moya. 12 Alisema tena: «Mutu wa heshima alienda kwa inchi ya mbali kwa kupenda ufalme na ata rudiya nyuma. 13 Akiita watumishi kumi kati ya watumishi wake na aka wapa pesa kumi, na akasema: « Muitumikishe mpoka nita rudiya.» 14 Lakini wakaaji wa inchi walimuchukiyaka, na atuma wajumbe nyuma yake na kusema: «Hatupedi mutu uyu atawale juu yetu.» 15 Akafinika kwa kusudi kwake kisha kupokeya ufalme wake akaamba watumisha atiya pesa, sababu ya juwa ngisi kila mumoja ilipo tumikisha na kupata faïda. 16 Wakwanza akafika mbele yake: «Bwana, pesa yako inazala pesa ingine kunai.» 17 Muheshimimwa akamwambiya: «Mutumishi mwema, ni vizuri. Sababu akamwaminifu mu biku kidogo, na utangaza miyi kumi. 18 Wapili aka kuya, na alimuammbiiya: Bwana pesa yako inazala pesa tano. 19 Muheshimiwa akamwambiya: beba uongozi ya miji tano. 20 Mwengine akakuya na akama: Bwana ana pesa yako niliichunga muzuri sana ndani, ya nguo, 21 juu ni kuogopa sababu uko mutu mukali. Una bebeka bile haukutumikye tena una ile haukupande 22 Muheshimiwa akamwambiya: na kuhukumu kufwatena na masema yako, mutumishi mubaya. Ulijuwa kama niko mutu mukali, na bebaka bile sikutumikiye na miye na vunaka bile sikupande. 23 Sababu gani haukuweke pesa yangu mu mbeki, juu kwa kurudi kwangu niichukuwe na faïda? 24 Kisha muheshimiwa akaambya& wale walisimama pale: mumu nyanganye pesa ile: Namumuongezeye ule eko na pesa kumi. 25 Na waka mwambiya: Bwana si eko na pesa ingine kumi.» 26 Nina wambiya, bat mupiga we ekonakitu, lakini ule haiko na kitubatamwanyanganya na ile kidogo eko nayo. 27 Sasa muwalete ma adui wangu, wale hawakupende mimi niwatale na muwauwe bote mbele yangu. 28 Kisha kusema maneno iyi, akaenda Yerusalemu. 29 Wakati alifikakaribu ya Bethfage na Bethania karibu ya kilima inaitwa mizeituni, akatuma wanafunzi wake mbile, 30 akisema: «Ende kwa mugini. Pa kuingiya matakuta mtoto wa punda mutu moja isiyi ikaliya. Mumufungule muni bebeye naye. 31 Kama mutu iki uliza juu ya nini muma mufungula? Museme Bwana eko nayo lazima.» 32 Wake walitumiwa uakaenda na kukuta mutoto wa punda vile Yesu alisema. 33 Vile wlikuwa wakifungula mutoto wa punda, benye naye baka sema: « Juu ya nini munamufungula?» 34 Waka jibu: «Bwana eko naye lazima.» 35 waka mubeba kwa Yesu, wakatupa manguo juu yake na waikalisha Yesu juu yake. 36 Walikuwa naenda, wakatandika manguo mu njiya. 37 Wakati walianza kutelemuka kilima kya mizeituni kundi ya wanafunzi ilianza kufurahi na baka mutuza Mungu kwa sauti kubwa, kwa sabubu yu mambo makubwa waliona, 38 wakasema: Abarikiwe mufalme anyekuya kwa jina la bwana, amani binguni na utukufu katika pahali pa juu. 39 Wafarisayo walikuwa pale wakasema: mwalimu shauria wanafunzi wako. 40 Yesu aka jibu: Nina waambiya, ata baka nyomaza, majiwe italalamika. 41 Wakati Yesu alikuwa karibu ya muji mukuu, aliliya. 42 Akasema: Kama ungalijuwa iyi maneno, ingekule tena amini lakini sasa imefichama ku macho yako. 43 Siku ita kuya, ba adui yako batakuzunguluka, na kukupiganisha. 44 Waka kuharibisha na watoto waka, habata hacha jiwe juu ya jiwe kwa sababu haukujuwa wakati Mungu alikutembeleya. 45 Yesu akaingiya ndani hekala, akaanza kufukuza benye babalikuwa nauzisha, 46 akabambia: «Ime andikwa, nyumba yangu itakuwa nyumba ya maombi, lakini ninio munai weka nymba ya wezi. 47 Yesu alikuwa nafundisha kila siku ndani ya healu, makuhani makuu, waandikayi, wali tafuta kumuwa, 48 habakujujuwe bafanye nini, kwa sababu batu bote balikuwa na musikiliza.