Sura 23

1 Batu bote kakasibama, na bakamupeleka Yesumbele ya Pilato. 2 Baka anza kumusitaki, kusema, tuna mukata mutu uju eke na danganya batu bote ya taifa yatu, na eko na kataza batu basilipe mpaku ya mufalme mukubwa wa Roma, na, anajita Mesiya mufalm wetu 3 Pilato aka muliza wenye uko mufalme wabayuda? Yesu aka mujibu, weye mwenyewe una isha kusema. 4 Kisha Pilato akasema na bakubwa ya makuhani pia na batu bote balikuwa pale sione kosa ata moya ya kumupa mutu uyu malipizi. 5 Bote bakatiya makelele naku sema, ye eko ndanganya batu na mahubiri yake, kwasababu, batu, batomboke, anatokeya Galilaya, akapita Yudeya muzima na sasa ana fika tii apa. 6 Wakati Pilato akisikiya mambo iyi, aka uliza mutu ule alikuwa wa Galilaya. 7 Nawakati alisikiya kama Yesu eko mutu wamugini ya Heroda, naye aka mutuma kwa mufalalme Herode, kwasababu masiku ile alikuwa Yerusalema. 8 wakati Herode ali mona Yesu aka furayi sana kwa sababu alisikiya abari ya Yesu na toka zamani alikuwa naniya kumuhona, alikuwa nawazakama Yesu atafanya miugiza mbele yake. 9 Kisha Herode aka miliza Yesu,maulizo mingi lakini Yesu akamujibu ata neno moya. 10 Bakubwa pale baka musitaki sana na kulalamika. 11 Herode na ba askari bake baka mucheka sana Yesu na baka muzasau, baka muvalisha nguwo moya ya muzuri kama vile mufalme, kisha baka murudisha kwa Pilato. 12 Kutokeya siku ile Herode na Pilato ba kanza kusikilizana, kwa sababu toka zamani bali kuwaka bahaduyi. 13 Pilato akaita tena bakuhani bote na ba chungazi ya batu. 14 Aka baambiya mwenye muna nileta mutu uyu na muna sema eko na danganya batu, namuliza mbele yenu, lakini sione atakosa moya ta kumupa mutu uyu mali pizi ya mambo yote muko na mustakiya. 15 Mfalme Herode naye akumona ata nakosamoya, njo komona ana murudisha kwangu, na myambiya kweli mutu huyu hana nakosa, hata moya ya ku muwa. 16 Njo lakini, nitamu pikisha mpaka fimbo, kisha nita mwachiliya. 17 Pilato alipenda kubatosheya mufungwa moya pale pa feti, kama vile desturi yabo. 18 Lakini bote baka lalamika utwachiye Barabasi, lakini umuwe Yesu. 19 Na Barabasi alifungiwaka kwa sababu ya kutomboka na kijambaza kyake. 20 Pilatoakaba uliza tena mara ya pili kwa sababu alipenda kumwacha Yesu. 21 Na bote bakalalamika kwa nguvu, umutunduke kumusalama, atundikiwe kumusalaba akufe. 22 Pilato akabauliza tena mara ya tatu, mambo kani ya mubaya yenyewe ana fanya? Miye sione ata kosa moya kwake yenyewe ana fanya ya kuweza kumuhuwa, njo kwamanita mupikisha tu fimbo na kisha nita mwacha. 23 Bote bakaendeleya kulalamika na nguvu sana, bamu tundike Yesu kumusalaba, na kulalamika kwabo kuka mukosesha pilato kimya. 24 Na Pilato akikata mambo vile bote balipenda. 25 Aka acha Barabasi mufunguwa yule aliye uwa na aka bapatishiya Yesu kumi kono yabo , kwasababu ba fanye naye gisi bopeke banapenda . 26 Wakati ba askari balianza kwenda na Yesu ndani ya njiya baka kutana na mutu moya wa mungini Sirene, jina yake Simoni alitoka kumashamba na bakamukamata, nakumubebesha musalaba wa yesu na amufwate nao nyuma. 27 Batu mingi balikuwa na mufwata banamuke balikuwa, naliya nguvu sana juu ya Yesu. 28 Yesu akageuka angaliya akisema, ba mama ya Yeruzasalama, Musiliye juu yangu, lakini mujililiye juu yenu na juu ya batoto yenu. 29 Angaliya, masiku yambele bata sema, babarikiwe banamuke bale basipo zala na matumbo ile isiyo beba mimba na maziba ile isiyo nyonyesha. 30 Na bataanza kusema na milima, milima mutuangu kiye na mutu finike. 31 «Basi, wakati_ bana nitedeya miye ivi, ku muti mubichi, sasa kumati wakukauka, ita kuwa je?» 32 Bakaleta tena batu mbili bana banaume bafunuwa ju ya kijambazi. 33 Wakati balifika na fasi yenye kuitwa mufupa wa kichwa, ba askari ba kamutiya kumusalaba, pamoja na bayambazi mbili, moya kumukono wa kuume na mwengine kumukono wa kushoto. 34 Yesu akasema baba uba hurumiye kwasababu habajuwe mambobeko na tenda (bajinga) ba askari baka pasula nguo yake kisha baka ipikiya kuna. 35 Batu mingi bali kuwa nangaliliya wakati bakubwa ya ba Yuda baka mucheka na kusema, yeye aliponesha, batu mingi, kama eko mupakaliwa wamungu, na muchoguliwa wa Mungu, bassi ajiponeshe leo yekepeke. 36 Wakati ba askiari balikuwa na muzarau, balimuchofeya na kumupatiya pombe yabu chachu. 37 Baka mwambiya kama uko mufalme waba Yuda ujiponeshe basi. 38 Na bakahandika yulu ya mu salaba wake « Huyu ndiye mufalme waba Yuda.» 39 Jambazi moya ulealikuwa, kumusalaba akanza lumuzarawu nakusema, kama waye ni Kristo uji okowe basi na utuokowe na siye? 40 Najambazi mwengine aka mujibu na aka mukemeya aklisema, ju ya nini weye hahugope Mungu, siye bote tuko katika mateso. 41 Lakini siye tuna sulubiwa kwa haki, kwsababu siye tuna sulubiwa kufatana na kijambazi kyetu lakini, mutu uyun akufanya kosa ata moya. 42 Na akamwambiya Yesu, uni kumbukeewakati uta rudiyaka mu ufalme wako. 43 Yesu aka mwambiya, nakwambiya kwa kweli, leo uta kuwa pamoja na miya ndani ya Paradizo. 44 Na wakati ikafika misi giza ika ingya katika duniya muzima, muda wa saa tatu. 45 Juwa ika zimika, busikubuka ingiya na paziya ikapasuka kati kati, kwanzi ya yuliu mpaka chini. 46 Yesu akili ya kwa sauti mukubwa akisema, Baba na iweka roho yangu ndani ya mikono yako na kisha kusema ivi akakufa. 47 Wakati mulinzai aka ona mambo iy aka mutu kuza Mungu akisema Nkn kweli uyu ali kuwa mutu a haki. 48 Na batu bote balikuwa pale, wakati baka ona mambo yote iliyo pita, ba karudiya na kupika mikono kulibali. 49 Lakini banafiki yake, na banamuke bale balimufwata kutota Galilaya, baka siama mbali na kwangaliya mambo yote mbali. 50 Na kulikuwa mutu moya ana ye itwa Josefu, naye alikuwa mumoya wamba fanya kazi mutu muzuri na mwenye haki, 51 alikuwa babo aya kubaliya na, na bamuzi kwa matendo yabo alitoka armataya mugini waba Yuda ambayo ulikuwa na chuna ufalme wa Mungu. 52 Mutu uyu alienda kwa Pilato na akaomba bamupatie mwilin wa Yesu. 53 Aka shusha mwili wa Yesu na aka ufinika nguwo muzuri na aka mweka ndani ya karibu ambayo ili chimbumbumliwa ndani ya majiwe, fasi ambayo bali kuwa bado habaya zikakamutu. 54 Ili kuwa siku ya matarisho ya sabato. 55 Banamuke bale balitokeya nabo Galilaya bali mufwata, na bakaona mamuna gani mwili wa Yesu ili lishiwa , 56 bakarudiya na bakanza kutengeneza manukato, na malasi na siku ya sabato balipumuzika gisi sheriya yabo ina sema.