Sura 5

1 Kristo ali fungula kusudi tukue na uhuru ju ya ilemusimame imara, na musi itike tena kubakia chini ya utumwa. 2 Miye Paulo nani wa ambia hii: Mukiji irimia kua batoto ya Abrahamu, Kristo ata kua hana mafaa kwenu. 3 Tena mara ingine mina sema hivi kila mutu mwenye ana ji irinia kua muyuali akubali kua chini ya sheria. 4 Nyi bote benye muna zingatia sheria, muna ji tenga na neema. 5 Kupitia roho takatifu, kwa imani tuna ngoya haki ya kweli. 6 Ndani ya Yesu kuwa mwahili ao mungala haina naana. Hamuishi tena ndani ya sheria. 7 Mulikua na endelea muzuri. Nani ali bazuia kuheshimia ile kweli? 8 Kufanya vile haitokane na mwenye alibaitaka. 9 Mbegu ndongo ya chachu, ina vimbisha unga. 10 Gisi mina ba tumaima katika Bwana kwa leo, hamuta anaka mwengine wa wile. Mwenye iko na ba changa ngikisha hata akue nani, ata pataka azabu kali. 11 Wandugu, kama niki hubiri tena sheria nilitesekeaka ju ya nini sasa? Nikusema kikwazo ya musalaba inatoka ! 12 Nata nani bale benye kuba danganya, batoshwe mu nyie. 13 Sababu Mungu ali baita muishi na uhuru lakini, ile uhuru isiba sukume kuishi kimwili. Lakini musaidiane nyie kunyie katika mapendo. 14 Sababu sheria yote ina timilika ndani ya neno maja na njo hii: «Uta penda jirani yako kama vile unaji penda wepeke». 15 Lakini muki kutano na ku umizana, mufanye angalisho musi vinjane huyu kwa mwenzake. 16 nina sema, mutembee kwa roho na hamuta timiza tamaa ya mwili yenu. 17 Kwa sababu tamaa ya mwili ina piganisha roho sana. Na imwili na roho bina pinganaka sana. Matokeo yake ni kuona hamufanye bizuri byenye muli hita ji kufanya. 18 Lakini kama roho ana ba ongozi hamuko chini ya sheria 19 Sasa kazi za mwili zina julekana njo hizi: «Kutongaze banamke», buchafu busharati. 20 Kuabudu sanamu, bulozi uadui, mabishano, wivu, kuto sikilizana upinzani, magawanyiko, mazehebu ki shetani. 21 Tamaa, bulevi, kukula bila kiasi, na bingine bya kufanana na byo. 22 Lakini kazi za roho ni: mapendo, furaha amani, kuvumulia, kua mwema, burafiki bwa kweli bila unafika, imani. 23 Upole na ku ji zuiza. Ju ya ile yote hakuna hukumu. 24 Bote benye kua batu ya Kristo bali sulubisha mwili ya bo na tamaa na shuguli zake zote. 25 Kama tuna ishi kwa roho, tulembee kwa roho. 26 Tusi kue ba hovyo kwa kuchokozana ao kukia na tamaa shie kwa shie.