Sura 6

1 Wa ndugu kama mutu kamatua na kosa, nyie benye muko kiroho mumuonye kwa upole, na mukeshe sana nyie benyewe musi jaribiwe. 2 Musaidiane ku mizigo nyie kwanyie, ile njo kutimiza sheria ya Yesu Kristo. 3 Sababu mutu akijitia yulu na haiko kitu ana ji danganya ye peke. 4 Kila mutu achunguze ye peke njo apate gisi ya ku ji teteo bila ku ji linganisha na mutu mwengine. 5 Kwa sababu kila mutu ata beba muzigo yake ye mwenyewe. 6 Mwenye ana fundishiwa habari njema ana pashwa kugawanya bizuri byote na mwenye alifundisha. 7 Mu si danganyike, habachezake na Mungu, kila kienye mutu alipanda, ata ki vuna. 8 Kwa sababu mutu akipima kupanda mbegu kupitia hali yake ya zambi, ata vuna bya kuoza. Lakini mutu akipanda mbegu ju ya roho, ata vuna uzima wa roho ya milele. 9 Tusiache ku fanya mema, sababu wakati ita fika tuta vuna kama hatu ku regea moyo. 10 Hivi sasa kama tungali na «Ka wakati» tufanye mema ku batu zaidi ku ba ndugu ya imani. 11 Muna ona barua kabambi mina ba andikia. 12 Benye ban ataka ku ji sumbua kutu mikia mwili ban basu basu kuma mu tahiriwe, kusudu tu baripate mateso ya musalaba wa Yesu Kristo. 13 Sababu hata bale benye ba na jiita bana sheria, haba timize sheria yote, lakini bana penda na nye mufuate sheria ya bo kusudi ba ji sifie ju ya mwili yenu. 14 Ipite mbali nimie kuji sifia kama haiko kwa ajili ya musalaba ya Yesu Kristo Bwana. Nikupitia muslaba njo ulimwengu ili kubali ku tundi kwa ju yangu na mie ju yao. 15 Kwa sababu kutahiriwa, wala ku sipo tahiriwa haina maana, ya muhimu ni ku zaliwa upia. 16 Bote benye bata shika hii sheria yenye mina hundisha, amani na rehema bikue kweke na kwa Israeli ya Mungu 17 Tangu leo, mutu asi ni sumbue sababu mina beba alama ya Yesu ndani ya mwili yangu. 18 Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe ndani ya roho zenu wa ndgu.