Sura

1 Nasema hui kama murizi angali mtoto, iko tu sawa mutu mwa hata kama, ye njo mwenye bitu. 2 Lakini uta muona angali na ongozwa na batu mishi ya babayake mpaka muda yenye Baba ye peke ali mupangia ka ifuke. 3 Na shie pia wakati tulikua batoto katika imani tu kuwa chini ya ukoloni ya maibada za sanamuza kidunia. 4 Lakini ili mudo Mungu alikuaka ame pangilia ikafika, aka tuma mtoto yake, akazaliwa na mwana muke chini ya ile sheria. 5 Alifanya vile kusudi akombea bote benye balikua chini ya ile sheria pia kusudi tu ishi uhuru ya kukubaliwa saw watoto yake. 6 Kwa sababu muko wana, Mungu alituma roho ya mtoto yake katika mioyo yetu yenye kuita «Baba». 7 Kwa juu ya ile hamuko tena watumwa la kini batoto, na kama muko batoto yake muko pia barizi kupitia Mungu. 8 Lakini ile wakati hamuku kua na mu jua Mungu, muli kuaka sawa batumwa ba miungu ya bongo. 9 Lakini sasa gisi muna kuesha ku jua Mungu, wala ni sema tu:ivi mulisha mu jua Mungu, ju ya nini mutarudia tena kusikiliza ma hadisi na ma kanuni za misingi ya kudunia? muna taka tena kuwa watumwa? 10 Mungali muna heshimu ma siku kuu, mia ndamo ya myezi, ma jira na myaka. 11 Niko na ogopa kwamba kazi nilifanya kwenyo iri kue ya bure. 12 Nina ba bembeleza bandugu, mukue sawa miye, ju na mie nilishaka kua sasa na nyie. Hamuku ni tendeaka kibaya. 13 Lakini mukumbuke kama ya mara kwanza nili ba hubiriaka habari njema nili kua na hali mbaya ya mwili yangu. 14 Hata kama hali ya bulemo bwangu ilikua ya kukwaza batu hamu kunizarau wa kunitupiliaa, lakini muli ni pokea na furaha sa malaika wa Mungu, sawa vile munge ona Kristo ye peke. 15 Mbone munataka poteza baraka zenu? kwa ju minashu hudiaka kama ile wakati ju ya kunipenda, munge ni patiaka yote ya muhimu muna ji nyima. 16 Sasa leo muna nichukia na kuni kamata kama adui sababu nina wa ambia ukweli? 17 Kuko batu benye ban ji oneshaka sa ban ba penda nyie kusudi baba pore byenu lakini haiko mapendo ya kweli njo bako nayo kwenyu. 18 Bana taka tu batutenge mie na nyie kusudi mu ba fuata. Kitu ya maana sana muji kaze kushugulika na sababu nzuri haiko tu kama niko na nyie. 19 Batoto yangu badogo ju yenu ningali na maumivu sawa mwana muke wa mimba mwenye anataka kuzala, mpaka wakati Kristo Yesu ata tawala maisha yenu. 20 Ninge penda nikue kule pamoja na nyie hii wakati kusudi nitulizane sababu roho yangu iko yulu yulu ju yenu. 21 Nyee benye mungali muna ji bandika bandika mu ma sheria nu ni ambie hamu sikiake gisi sheria ina sema? 22 Kwa sababu mandi ko ina sema, Abrahamu ali kuaka na batoto mbili, mu moja mu bukaramusi ye na mwna mke muja kazi, na mwengine wa mwanamke halali. 23 Mwenye ali zali waka na mu ja kazi alikua waki mwili lakini mtoto wa mwnamke halali njo ali kua mtoto wa ahadi. 24 Ile bitu tuna weza basiria wazi wazi sababu, aba bana muke bawili, ni mufano ya agano mbili, yenye kitoka kwa mulima sinasi ina zala batoto watu mwa, ni agari. 25 Ina fananishiwa na Yerusalemu ya leo sababu batoto yake bako batumwa saw bale batoto ya agari kule ku baharabu. 26 Lakini Yerusalemu ya juu kwa Mungu ni mu ji wa uhuru, na njo mama yetu. 27 Inaandi kwa ufaruhi weye mwanamke mwenye hauzalake, upige bigelegel weye mwenye hauya enda kunyu nyumba ya ku zalishia, sababu batoto ba mwanamke mwenye ule mwenye iko ku bunyumba. 28 Sasa nyie ndugu, muko batoto ya ahadi sawa na Isaka. 29 Ile wakati mtoto wa muja kazi alitesa mtoto wa ule halali, njo gisi biko leo, batoto ya shetani biko na tesa batoto ya Mungu 30 Mandiko ina sema nini? «Fukuza muja kazi na mtoto yake, sababu mtoto ya mu ja kazi hawezi rizi pamo. 31 Bandugu, shiye hatuna batoto ya mutumwa, lakini tuko watoto ya bibi mwenye bukweri