Sura 4

1 Ivi mie mufungwa ju ya evi jili ya mukubwa Yesu, nina waamba, kila mutu afanye kazi yake yenye Mungu ali muitiaka. 2 Kuweza kutu mika ile kazi inafa kujishusha, kwa mupole, na muvumulivu. Kama kuko mwenye ikona kilema fulani, mu mu vimilie ju ya mapendo. 3 Mu patiane amani njo muta chunga umoja wenu. 4 Tuko mwili moja, na roho wa Mungu yenye kutu ongoza ni moja sawa vile muliitiwa ju ya tyna ini moja yenye kua hakika. 5 Mukubwa ni mu moja, imani moja ubatizo moja. 6 Mungu ni mu moja na njo Baba wa bote, iko yulu ya byote na ndani ya byate. 7 Kila mutu kati yetu ali pataka neema kufuatana na gisi mupakiliwa Yesu ali mupi mia kazi. 8 Mandi inasema hivi «Wakati ali panda juu zaidi, ali fungula benye balikua mateka ya zambi, na ye kifo, aka patia batu yake ma karamo bi pawo» 9 Sasa kusema "Ali panda" ina manisha nini na tena aseme ali teremukaka chini sana ndani ya bulongo? 10 Yesu njo aliitikaka kuzaraulika akakufa kifo ya mubaya, na ye njo ali panda sasa aka pata chejo kushinda bote ali fanyaka vile kusudi atimize bitu yote. 11 Mupakaliwa wa Mungu, ali gabulaka ma kazi hivi: Bengine mitume, bengine ma nabii, bengeni batanga zaji ba enjili, bngine ba chungaje na balimu. 12 Ali fanya vile kusudi apati batu kazi kila mutu kulingana na huduma yake, kusudi mwili wa Yesu mupakaliwa njo banaita manisa ijengwe muzuri. 13 Iko na fanya vile mpaka tufikie kuwa umoja katika imani na tujue mtoto wa Munga, na shabaha yake ni kutu komalisha sawa benye bana likia kiwangocha mupakaliwa Yesu. 14 Ile yo ni kusudi tusi kue tena sawa batoto kidogo. Tena tusi bakie batu ba yumba-yumba uku na kule, na tusi kue na bebewa na kila mewa ya mafundisho ya bongo, wa buyuwayi ya batu benye ba na ji fichika mu budanganyifu. 15 Kinyume na ile tuta sema kweli ka tika mapendo, na tuta komala lote kipitia Yesu munye iko kichwa. 16 Mupakaliwa Yesu ana kusanya ba Kristo bote pamoja an ba fanya mwili moja. Ali unganisha kanisa lakini kila kiungokwa fasi yake kusudi likomale katika mapendo. 17 Hivi minasema bile byote na mina waomba ndani ya mukubwa Yesu kama: Hamu wezi tena kutembea mu bya bure bure sawa bapagani benye bana tembeaka na mawazo yabo ya hovyo. 18 Bako na mawazo ya giza. Bana changanyikiwa na haba jikute mu maisha ya ki Mungu ju ya bujinga yenye ina endelea kwa ndani yabo kutokana na roho zabo ngumu. 19 Haba sikiake haya bali ji achiliaka kubebwa na ta ma za buchafu, ka ku pitisha kipimo. 20 Likini nyie, haiko vile njo muli fundishiwaka Kristo. 21 Mina wa za kama muli fundishawaka ndani yake kama vile kweli iko njo ndani ya Yesu. 22 Muna pasha vila byote byenye bina fanana matendo yenu ya zamani na mutu ule ya zamani mwenye ingiza rushwa sababu ya tamaa mbaya. 23 Kusudi mukue bapya ndani ya myoyo yenu. 24 Tangu sasa mutu wenu wa ndani akue mupya mwenye ame umbiwa katika haki na utakaso wa kweli. 25 Hivi sasa muji epushe na kila magendo «Muambianake ukweli » kila mutu kwa mwenzake kwa sababu hakuna mwenye kuji falia ye peke, kila mutu iko wa maana kwa mwenzake. 26 Ina wezekana muna weza ku sirika lakini musi bakie na kisi rani mpaka ma paribi ita kua zambi. 27 Musi hingulie shetani mulango. 28 Tangu sasa ba mwizi baache bwizi lakini bakue na tumika kusudi apate chakula na yoye ya mahitaji yake na asaidie bengine benye bi ko na mahitaji. 29 Masemi ya mubaya isitokake mu kinywa yenu lakini maneno yenu ikue ya maana kwa ku falia benye kuisikiliza. 30 Zaidi sana musi huzuni kishe roho mweupe wa Mungu. Ju yake njo muli tiliwa muhuri kwa ajili ya siku ya siku ya ufufuko. 31 Mutoshe buchungu yote ya roho, gazabu, hasira, magonvi,na kila namuna ya ubaya. 32 Mukue batu bazuri kila mulu kwa mwenzake, wapole wa moyo, mu sameheyane kama vile Mungu ali tu sameh.