Sura 3

1 Paulo ni mufungwa wa Yesu Kristo kwa ajili yonu benye habiko ba Yuda. 2 Najua kama mulisia kazi ya neema ya Mungu, alinipa kwa ajili yenu 3 Nandika kufwata na ufunuo yenye nilipawa hii kweli ilikwa emefiswa kwangu, hi ni kweli yenye naliandika nda ya ingine mabarua. 4 Saa utasoma utajua ukweli na sivi yakuteswa kwangu, sababu ya ukweli enye ili fiswa kwa ajili ya Yesu. 5 Kwa vizazi ingine hi ukweli aikujuli kama kiwa mooya mtume na wa nabii wenye walipakuliwa mafuta. 6 Ukweli ulijuloi kama kwamba ni wa shirika pomoja na Yesu Kristo kupitia habari njena. 7 Ni mepata neema kutuwa mtume kwa endjili kwazawadi niliapa kwabu ya Mungu. 8 Mungu alinipo hu zawadi hatakoma mimi na mudogo zawadi ananipocha kuwa hubiri wapagani habari ya Yesu Kristo. 9 Nitaonesha watu mipango na siri ya Mungu. Yenye ilikua imefichwa na malaika zamani 10 Hii nikusema kupitia sasa ma kanisa na viongongozi nawakuya na kanisa wapote kujua ufahamu na akili ya Mungu muhumbaya bitu yote. 11 Hi ni mipango ita toriswa kupitia mipangu ya siri ya Yesu Kristo Bwana wetu. 12 Kwa Yesu Kristo tuna nguvu na uhuru na tumaini kupitia imani yetu kwake. 13 Kwa hii nawaomba musichoke kwasabatu ya mateso yangu kwa ajili Yesu, ni furao yangu. 14 Kwa sababu ya hiki nina shuka chini nakubembeleza Baba wa mbinguni, ili awape neema. 15 Mbele Baba mbinguni, apa duniani wataona jina langu. 16 Naomba kusema apatoe nakuafuraicha na utajiri ya utukufu wake afanye inaoranguvu yake kupitia Roo yake enye kwa ndaniyetu. 17 Naomba kusema Yesu Kristo adumu ndani Yesu kupitia iamani. 18 Naomba muwe na mapendo kusudi mupale kujua kama vile waminifukujua urefu wake, ukubwa wake na upendo, yake Yesu Kristo. 19 Naomba kusema mpale kujua ukubwa ya upendo ya Yesu Kristo enye kupita kipino ya ufaha mu yetu. mue wenye kiyaza na ukufu ya Mungu. 20 Basi sasa kwa ule anaweza, kufanya kitu yote zaidi ya yote kupita nguvu yake ndani yetu. 21 Kwa yeye utukufu ikuwe ndani ya kanisa na kwa Yesu Kristo kwa viongozi yale milele amina.