Sura 2

1 Nzamani mlikuwa sa bafu ju ya makosa yenu na zambi. 2 Mliku wa muki echimiya mfalme wa duniya iyi, roho wa mapepo, muchafu alikuya katika duni ga yote muzima ju ya kushiduisha batu kuyuwa Mungu. 3 Aina pakamueye shinbote tuli ku wa bakose hi, nakutenda mabaya kufatana na mapenzi ya miili yetu tuliku wa chini ya kasirani, kama mokabila yote. 4 Lakini Mungu ni mueme neema yake ni ya milele alitu penda sisi. 5 Wakati tulikufa ndani ya zambi yetu, Mungu alitula muisha. Kati ya wafu kipitia Yesu Kristo. Kua neema jamuliakeleua. 6 Mungu anatulamusha nakutu chafesha, binguni pa moja na buana Yesu kristo. 7 Mungu anapenda tui kale sbabu katifu pa moja na Yesu kristo. Ahifania yote ju ya neema yake ionekane kupi tihiya Yesu Kristo. 8 Kwa neema munaokaleua na imani. Na hii haikutaka kua mapenzi yetu ni mapenzi ya Mungu. 9 Ainaju ya mifono yetu muzuri ja tu ditape. 10 Kwa mahana shiye tu ko kazi ya mikanaya Mungu tuna yuwa kama ju ya Bwana wetu Yesu Kristo na mazuri yake. Mungu alitengeneza mambo mazuri ju yetu tutebeye dani ya boka yake. 11 Muku buke namuna mlikuya, zamani batu yapori na muili yenu, ile abaku nukato. 12 Kua wakati ule mulikuya bali na Bwana wetu Yesu Kristo na baba Mungu. Ndani ya duniya mulikuya bageni bele ya Isreali. Amu kukuya na mamulaka, mulikuya bilakitumaini. 13 Lakini sora, mulikuya mbali na Mungu lakini munakaribia Mungu kupichiya damu ya Bwana wetu Yesu Kristo. 14 Kuamaana yeye diye anatuleteya salama bele tulikuya batu bili sasa tuna rudiya mutu moya lile kilikuwa natushidisha. 15 Akavuja uadui wamuili. Akalurisha, mapendo dani ya mutu wakabila yote bakuwe, naumuja kupitshia yeye mue niewe tu. 16 Alitasha bu adui dani ya batu bawili na banakuya mutu moya bele ya baba Mungu kupitshiya muli mo yatu kumusalaba. 17 Yesu alikuwa kutelete ya salama. Kuabote bale salama iliku yaabali wala pembeni. 18 Ju kupishiya Yesu, shi bote bili tulitshikiwa babaMungu na roho moya. 19 kweli mue bote bale amuna Bayuda amunatena bangeni wala batu ya ije, mushakuya batatifu batoto ya baba Mungu. 20 Mumejengwa yulu ya mafundisha yamitume na manabii, naye buana wetu Yesu Kristo nu ribue kabali tena kibiho yetu. 21 Pamoja naye mambo yote yini kuya muzuri s kanisa muzuri sa kanisa muzuri pamoja na bwana wetu Yesu Kristo. 22 Pamoya na yeye tuna jegua na maneno ya mupia pamoja na Mungu kupitia roho mtakatifu.