Sura 6

1 Batoto, muheshimie bazazi yenu, njo vile Mukubwa Yesu ana sema sababu ile ni kweli. 2 «Heshimia Baba yako na Mama yako,» njo amri ya kwanza yenye ina fuatta nishwa na ahadi. 3 Kusudi maisha yako ikue murefu na ubarikiwe hapa mu dunia. 4 NA nyie bazazi musi kue na chokoza batoto yenu kubaleteo bisi rani. Lakini mubalee katika heshima na mubafundishe maagizo ya Mukubwa Yesu. 5 Ba huku mu dunia, mubaheshimie nakuji shusha, mukue wazi muroho zenyu, muba heshimie sawa vile muna weza heshimia Mukubwa Mupakaliwa Yesu njo basi ba fukuze mu kazi. 6 Musi kue batu mishi ya macho benye bana fanyaka moziru tu kama mwenye kazi iko pale na akisha enda bana fanya bingine bale njo tu naita banafiki, banatu mikoka kwa kujipendeza; lakini lakini mukue na heshima sawa ba tumishi ba Yesu Mupaka liwa wa Mungu. 7 Mutu mike na roho zenu zote swa benye bana tumikua Mukubwa Yesu lakini isi kue sa tuko ko na tumikia batu. 8 Mujue ka kila kazi nzuri mutu ana fanyaka akue mutiimishi wala mwenye nyumba Mungu ana lipaka. 9 Nanyie bakubwa, mufanye namuna moja ku batu mishi benu, musi ba zarau mujue kama ule Mukubwa wabo, na njo oko mukubwa wenu na ona ba zidio nyie. 10 Kwa mwisho, mujipatie moyo ndani ya Bwana mukubwa kwa nguvu zake kubwa. 11 Mukamate bifaa byote bya vita ya kiroho kusudi mu weze ku shimama imara bila kufuata bu janja ya ule shetani. 12 Sababu hatu piganishe banadamu kwa makofi wala mikuki, lakini tu na piganisha bakubwa ya mapepo, na batowa ba nguvu za giza, mapepo wa baya benye kuishi katika anga. 13 Kwa ile muka mate bifao ya vita ya kiroho bya kutoka kwa Mungu kusudi muweze kupinga mabaya yote mwa izi siku za mubaya tuko amo kama muna maliza kufanya vile muta simana imara. 14 Kwa vile musimame na ngufu, mu vale mukaba ya ukueli, haki iwe ukingo yenu. 15 Mu vale enjili ya kweli kama biato. 16 Katika mambo yote mukamate imani ikwe kikingio yenu ile njo ina weze basaidia ku zimisho misha le ye ule mjanja shetani. 17 Wokovu ikue kofia kwenu, na mukuki yenu ya kiroho ikue neno ya Mungu. 18 Na kila mufano yote ya maombi, wala mahitaji, mu ombe saa zote katika roho. Na kwa uvimilivu wote muombee wa amifu wa Bwana. 19 Na muni ombee na mie kusudi Mungu anipatie neno kama mina simama kufundisha habari jemo. 20 Ni ju ya habari njema njo niko muakilishi wa Yesu mwa hii mateso kusudi ni se ni hubirie mu shida sawa vile ni geli hubiri wakali niko huru. 21 Lakini muna pashwa kujua mahitaji yangu na gisi na gisi afia yangu iko: Ndugu yetu mupendwa sana Tikoko mwamini fu wa wa Bwana ata ba ambio byote. 22 Nili mutuma kwenye ju ya ile shabaha kusudi mujue hali yangu na afariji mioyo yenu. 23 Amani, imani pamoja na mapendo kiteka kwa Mungu Baba wa Bwana Mukubwa Yesu biwe kwenu. 24 Neema iwe kwa bale bote banye ban pendaka Bwana Mukubwa yetu Yesu mu paka liwa.