Sura 3

1 Kama Mungu alimifufua pamoja na Kristo, tafuteni vitu vya juu, huko Kristo anakaa mkono wa kuume wa Mungu. 2 Muwe nawaza vitu vya mbinguni hapana vya dunia. 3 Maana mulikufa na uzima wenu umejificha na Kristo ndani ya Mungu. 4 Wakati Kristo aliye maisha yenu aataonekana, na nyinyi mutaonekana naye katika utukufu. 5 Muuwe tamaa yenu yote ya mwili ya dunia, uzinifu, uchafu,mawazo na tamaa mbaya, kama mafundisho mubaya, mawazo mubaya tamaa , na ibada ya masanamu. 6 kwa sababu ya maneno kama hii njoo hasira ya Mungu inawaka juu ya wasiyo heshimu amri. 7 Nyie pia vile vile mulitembea hivi, wakati mulikwa naishi katika maneno haya. 8 Sasa munapashwa kutengana na maneno yote haya, hasira, mawazo mbaya, matukano na maneno yote mabaya yatgokayo kinywani mwenu. 9 Musidanganyane nyie kwa nyie, maana munaisha tengana na mutu wa zamani na matendo yake. 10 Nyie munaisha vala mutu mupia, munakuwa wapia kama vile Muumba wenu. 11 Njoo maana hakuna tena mugiriki,wala muyuda, hakuna mtahiriwa na asiye tahiriwa, wala mtumwa wala aliye huru, lakini Kristo ni yote katika vyote. 12 Muvae kama wachaguliwa wa Mungu, watakatifu na wapendwa, muwe na huruma, upole na unyenyekevu. 13 Muhurumiyane nyie kwa nyie. Mutendeyane mema nyie kwa nyie. Na kama mmonja wenu eko na shida na mwengine, musameyane kama Kristo alivyo wasamehe. 14 Zaidi ya yote muwe na mapendo. 15 Salama ya YEsu iwe kwenu kwa sababu mulichaguliwa kusudi mwishi kwa ile amani. 16 Neno la Kristo lidumu ndani yenu na utajiri wake wote, kwa hekima, mufundishane na kuonyana kwa zaburi na nyimbo za kiiroho. 17 Na kila kitu mutafanya, kwa neno na matendo; mufanye yote kwa jina la Bwana Yesu. Na mushukuru Mungu Baba kupitiya yeyé. 18 Nyinyi wanawake muwaheshimu waume zenu, kama inavyompendeza Bwana. 19 Na nyinyi wanaume muwapende wake zenu, na musiwachukize. 20 20Nyinyi watoto muwaheshimu wazazi wenu kwa kila jambo, kkwa maana inampendeza Bwana. 21 Na nyinyi wazazi pia, musiwachukize watoto wenu, kusudi wasichoke. 22 Nyinyi watumwa muwatii wa Bwana wenu kwa kila kitu, musiwapendeze tu wakati munapowaona, lakini mufanye yote kwa roho mzuri. Muogopeni Mungu. 23 Mufanye kila jambo kwa roho nzuri, siyo kwa kuwapendeza watu lakini kwa kumpendeza Mungu 24 Mujue kama mutapokeya zawadi nzuri kwa Bwana kama vile malipo ya kazi munayofanya. 25 Mwenye kupenda kutenda mabaya ata pata malipo ya ubeya wake mwenyewe