Sura 4

1 Wa bwana mufanye mazuri kwa watumwa wenu kama mukijua kama ninyi vile vile muko na bwana mbinguni. 2 Mudumu sana ndani ya maombi. Mkeshe katika maombi na kurudisha shukrani kwa Mungu. 3 Mutuombeye na sisi pia, juu Mungu atufunguliye mulango wa neno lake lake la siri lilo katika Kristo. Kwa sababu ya hii neno, mimi nafungwa. 4 Basi Muzidi kuniombea kusudi nifonye kazi ya Bwana nafuraha yote. 5 Mutembeye katika hekima kwa wale wa inje, na mujinunuliye tena wakati. 6 Masemo yenu iwe inapendeza. Iwe na utamu wa chunvi juu mujue namuna gani mutajibiyana. 7 Kwa yote inayonihusu, Tikiko atawajulisha. yeye ni ndugu mpendwa, mtumishi mwaminifu, mutumwa kama mimi katika Bwana. 8 Namutuma kwenu kusudi mupate kujua hali yetu, na kuwapa nguvu. 9 Nilmutuma pamoja na onesimo mwaminifu na ndugu mpendwa, atwaambiya yote iliyopita huku. 10 Aristarki mwenzangu mufungwa anawazalimia sawa vile Marko na mujomba yake na Barnaba. Akiwafikiya mumupokee. 11 Na huyu yesu anyeitwa Yusto. ni wale tu wayuda waliyotahiriwa, wenyewe walimika na mimi sababu ya ufalme wa Mungu. Walifariji sana. 12 Epafra anamisalimiya. Ni ndugu yenu na mutumwa wa Kristo. Anapigana, siku yote juu yenu katika mombi, juu tuishi na tumaini katika mapenzi ya Mungu. 13 Kwa sababu nashuhudia juu yake, alitimika nguvu sana juu ya watu wa Laodikia, na wa Hirapoli. 14 Luka ndugu mupendwa muganga, na Damasi wanamisalimiya. 15 Nasalimiya wandugu wote wenyekua Laodikia, mimfa na kanisa yenye kunyumba yake. 16 Wakiti barua itasomea kati yenu, muisome pia ndani ya kanisa la Laodikia, na some pia ile barua iliyotoka Laodikia. 17 Museme na Arikipo « Uchunge vizuri karama uliyopata kwa Bwana na uitimize ». 18 Salamu hii imeandikwa kwa mukono wangu mwenyewe, mimi Paulo. Mukumbuke hata vifungo vyangu. Neema iwe kwenu.