Sura 3

1 Ukuye una juwa aseme: ku masiku ya mwisho, mambo itaku ya nguvu. 2 Ju batu bata anza kujipenda, ba rafiki ya feza, ba ki jihe shimiya bo benyewe, ba kibengo, baku zarau Mungu, bashoku ogopa bazazi, ba kukosa ku ona bizuri bya bengine, ba bitendo bibaya. 3 Ba shoroho ya mapendo ku batu bengine, washo ku urumia bengine, baka landiya batu mambo, ba sho kuji chunga ba makari sana, washo kupenda bitu bizuri. 4 Batu baku uwisha batu, basho kusikiya shauri, basho kwangalia bengine, baku fwata furaha ya dunia kupita Mungu. 5 Bata kuya nahaliya benye ku ogopa Mungu, lakini bakukatala ile yenye inaleta uwezo. Achana mbari na batu ba vile. 6 Juu ba mingi katikati yabo ni bale baku ji ingiza kwa siri mu ma nyumba ya batu na kupotosha banamke bakukosa akiri. Ni bale beko na ma roho yakuyala nzambi, bale benye kubebewa na ma tamaa mbalimbali. 7 Banamke baku fundishiwa mara na mara lakini habawezake ku ivya mu kujuwa ukweli. 8 Vile vile yanesi na ya mbelesi bali pikanishaka mu sa, bale ba mwalimu ba bongo na bo bana pikanisha ukweli ni batu mawazo yabo ina isha ku oza, benye basho kuti miza njia ya imani. 9 BAtu aba bu welewele yabo inaonekana wazi na habata enda mbali. 10 Lakini weye, uli nifwata kwa kila kitu mu mafundisho yangu, mwenendo yangu, shabaa yangu, imani yangu, kuwa na roho kimia katika ukosefu wangu, mapendo yangu, kuvumilia mateso kwangu. 11 Bile bina nifwata fwata, mahanga iko yangu, naile mambo ili nipataka mu antiokia, muikoniuma na mu lisitala. Nili vumilia bile bya kunifwata. 12 Lakina bale banatafuta ku ambatana na bile bana amini ndani ya Kristo Yesu batakuwa tu batu ba mateso. 13 Lakini batu baku sitaki bengine kwa bongo bata isha na mwisho mubaya. Wata potesha bengine. Bo benye baku poteya 14 Lakini weye, u ishi mu maneno yote ulifundishiwa na biamini na roho yote. Una juwa nani ali kufundisha. 15 Kwanzia butoto bwako, una ijuwa ma andiko takatifu, ile yenye uwezo ya ku kupatia hekima juu ya wokovu katika imani ndani ya Kristo Yesu. 16 Ma andiko yote ina toka ku pumuzi ya kinyawa ya Mungu iko na mafaa juu tufundishiwe, tu pate hakikisho na kutoshanmawazo mubaya, n kuleta fundisho katika uhaki. 17 Yote ile ni juu mutu wa Mungu akuye ana weza kila kitu, wa kuya na kila kitu aweze ku timiza kila tendo muzuri.