Sura 4

1 Na kuandikiya weye mambo iyi kumbeleya Mungu na mbele ya Yesu ule ata kuya kusambilisha batu bote bale benye beko bazimana na bale bakukufa, kweli ye atarudi kubeba bufalme, basi nakuomba kwa jina yake. 2 Hubiri abari njema na nguvu yote, ata baki itika ao bakikatala, tosha inje bongo ya batu, uba kemeye na ubaonye, uba hubiri na utaratibu wote, na ma fundisho. 3 Kwasababu masiku ita kuya batu abata penda kusikiya bahukisi ya kweli ata kidogo, lakini bata pata mapenzi yako peke na, bata, ta futa, bahubiri mingi, juu bakuye kubahubiri, mambo yenyewe bopeke bana penda. 4 Bata katala kusikiya mahubiriya kweli na bata anza kutiya masi kiyo na maneno aina faida. 5 Lakini weye ukuye ange kwa wakati wote, kubali kuona mateso, hubiri habari njema, weye timiza kazi yako. 6 Kwangu miye wakati ya kwacha duniya inaeneya, naisha kujipana kwa mungu kama sadaka ju ya kumwanga damu yangu. 7 Niko kama vile mutu mwenye kucheza michezo, na pikanaka vita ya makofi na gisi ya kweneya, nilikimbiya mbiyo mpaka mwisho wa michezo, niko tu na aminiya mungu na Roho moya. 8 Taji ya watu wenye haki iko na ni chunga, tazi sembayo baba mungu wa haki ata nipatiya siku ile, na iko kwa jili yangu mwenyewe, nabale bote benye kumu chunga mapendo, siku ata rudiya na utukufu wake, 9 Fanya nguvu uye unikute apa araka, 10 SAbabu Demas alinikimambiyaka miye na akaenda Tesalonika, sababu ana penda sana mambo ya Duniya, Kresans ana enda Galatiya na Tite na Dalmati. 11 Mpaka Luka njo ana bakiya na miye, beba Marko mukuye naye, njiya moya, ye njo Anastahili kwa kunisahidiya. 12 Natuma Tishike ku efesoi. 13 Wakati utakuya uni bebeye koti yangu yabaridi, yenyewe niliachaka ku Troas, munyumba ya Karpos, na niko na niya ya mikanda, mingi sana ile ili fanyi ziwa na ngozi ya nyama. 14 Aleksandre mufanya byuma alinitendeya matendo mubaya sana, Mungu atamuridishiya yote ali nitendeya. 15 Na weye ukuwe ange naye kwa sababu ali katala mahubiri yetu kwanguvu yote. 16 Wakati nili fungiwa mara ya kwangza, akukuwa ata mutu moya wa kuni saidiya, batu bote balinikimbiya, Mungu habahurumiye. 17 Lakini Mungu alikuwa pembeni yangu, na alinipatiya nguvu juu ni hubiri habari njema muzuri kwa batu yote basipo kuwa bayuda ye njo aliniponeshaka kati ya ba simba. 18 Mupaka yeye njo ata niponesha kati ya mateso yote ata ni chunga ju ni weze kufika ku mugini, wake wa yulu, sifa ni yake. 19 Umu lamukiye Prisiye na bwana yake Akilas na jama ya Onozifore. 20 Eraste alibakiya korinto na niliacha Trofine mugonjwa ku miletu. 21 Fanya nguvu ju ukuye mbele ya wakati ya baridi Ebilis anakulamukiya, Pudens, Limusa, Claudia na banduku bote bana kulamukiya piya. 22 Acha Mungu akuwe na roho yako na Nehema ya Mungu ikuwe na weye amene.