Sura 5

1 Usimukemee (kuwamakia) Mzee. Laki umakamate kama baba yake. Ukamate biyana kama bandugu yako. 2 Ukamate bana bake bazee kama bamama yako, na benye biko biyana mubaone kama ba dada yako na usafiyote. 3 Uhesimie bamjane, bamjone ya kweli. 4 Lakini kama mujane moja iko na batota na bayukulu, bamueshimie kwanza mbele ya kueshimia bafamilia yabo. Baifania na bazazi yabo kwa sababu inafunaisha Mungu. 5 Kwa hiyo mumjane ya kweli, mwenye anabakia yeye beke na anatia kitumaini yake kwa Mungu. Na agawiye busiku na muchana na bili na maombi. 6 Lakini mujame mwenye anaishi ju ya kufunaisha mwili yake, alishakufa hata kama angali muzima. 7 Na ubaambie maneno hiyi ju basibakute na makosa. 8 Lakini mutu yote mwenye hatunzi bakake na kuziedi sana bale ba familia yaku, ule mutu anakatala imani na anashinda hata yule mwenye hakuamini. 9 Mjane hasia ndikishwe kama bado hakueneza miaka makumi sita, na alikuwa bibi wa bwana moya. 10 Ajuilikame na bitendo yake bizuli, ikuwe kaziya kulea (kutanza ba toto), kupokea bageni, kunawesha mukulu ya baaminifu, kusaidia benye banateseka au mwenye anatumika na roho yote. banasema. Mabitu yenye habastaili kuiyasema. 11 Lakini bamjane babiyana habapendi kujiandikisha kwa sababu banajitia ku matendo ya umwili yenye Kristo anakatala, banapenda kuolewa. 12 Kwa hiyo, banahukumu kwa sababu banaacha imani yabo ya kwanza. 13 Banaji funza kuwa bavivu na kuzu unguka zunguka nyumba kwa nyumba, na habiko tu bavivu, lakini bana kuwa basemayi sana na benye banakosa shukurani na 14 Ni mapenda bababinti biyana baolewe na bazale batoto, na baonoze banyumba yabo ju basimupatie adui wakati ya kutuchangea kama tunafanya mubaya. 15 Kwa maana bengine tayari banageuka ju ya kumufuata shetani. 16 Mwana muke muaminifu mwenye iko na bamjane kwake, abasaidie yeye mwenye ju isikuwe muziko ya kanisa na asaidie bamjane ya kweli. 17 Bazee benye banaongoka muzuli na heshima banastahili bahemiwe mana pili zaidi ya bale benye banafundisha. 18 Kwa sababu maandiko inesema: "hauwezi kufunga kinywa ya ngombe mwenye anatafuna, mufanya kazi anastahili na ujina (malipo) yake". 19 Usitike hata mastaki ju ya Mzee ila ikuwe binywaya basha hidi bawili au batatu. 20 Uamakie benye banaendelea ku fanya dhambi mbee ya bote, ju bengine baogope. 21 Nasema mbele ya Mungu, na mbele ya Kristo Yesu, na mbele ya malaika bateule, musifanye neno hiyi na kuhukumu kwa kuchagua na upendeleo. 22 Usitilie mutu mikono kwa mbio, ju usichange pa moya na dhambi ya mutu mwengine. Ujichunge safi. 23 Kwanzia sasa usikunye tena niayi tu, lakini kunywa nvinyo kidogo ju ya afia ya mwili yako. 24 Madhambi ya batu bengine zina onesha na inabatangulia kwe,da hukumu. 25 Lakini badhambi nyingine inabafuata nyuma. Vile vile matendo mazuli yake inaonekana wazi lakini zingine haiwezi kufichwa.