Sura 6

1 Bote benye biko chini ya bakubwa sawa na batuna , bakamate bakubwa yabo na heshima yote . Banapaswa kwyafanya kwa yili jima ya Mungu na mafumolisho isitukane. 2 Na batumwa benye bakubwa yabo bike baaminufu , basi bakosee heshima, kwa kusema kama biko bandugu ; lakini inadidi babatumikie kwa sababu bakubwa benye banasailiwa na kazi yabo biko baaminifu na banapendwa . Ufundishe, na ubaenyneshe haya mambo . 3 Tusema kama mutu moya anafundisha tufauti, kwa maana maneno ya mfalme Yesu Kristo. Tusema kama huyu mutu anakatala mafundisho yenye kupeleka kwa Mungu. 4 Huyu mutu anajivuna na hajuwe kitu ziili ya iko na magonjwa ya kubishana kuhusu haya mambo . Mambo haya inatoka kwa kuta maania matusi na mawazo mubaya 5 . Kotokusikiliana ya batu benye banaharibika akili yabo banageuzia ukweli mugongo na bakawaza kama utauwa nyo nga ya kupota faida. 6 Kwa maana utouwa pamoja na raha ni faida kubwa. 7 Sababu hatukukuya na bitu ku dunia tena hatutatoka na kitu . 8 8Lakini tufunai na chakula na manguo. 9 Lakini benye banapenda bapata bitu nungi bataangukuku majaribu, na mutego, na tamaa yenye haina maana, na yenye kundhuru na yote yenye inabeba batu katika upotevu na uharibifu. 10 Kwa sababu mapendo ya makuta mingi ni miziti ya ubaya yote . Bamaya benye balipenda pesa sana balipotea mbali na imani na banajiingiza benyewe katika magumu. 11 Lakini wenye mutumishi wa Mungu kimbia mambo haya . Tafuta uhaki utauwa ,uami nifu, mapendo subiri, na upole . Piga vita muzuri ya imani , kamata uzima ya milele yenye uliotewa. 12 Ni ju ya hiyi nyo ulitubu kwa imani mbele ba shuhudi mingi kuhusu yenye iko muzuri. 13 Nakuagiza mbele Mungu mwenye inaumba bitu yote na mbele ya Yesu Kristo, mwenye alisema kwa kweli yote mbele ya Ponce pilate. 14 Chunga sana sheria ya Mungu, bila kuikasea mpaka kukuya ya mfalme yetu Yesu Kristo. 15 Mungu ataanyesha kukuya yake ku wakati yenye inastahili mungu mabariki, mwenye anaweza wa babwana. 16 Yeye peke iko muchafu na anaihala ndani ya nunu yenye Hainakukaribiwa . Hakuna mutu mwenye anamoona wala anaeza kumoona, heshima na uwezo iko na ye hata milele Amina. 17 Uambie batajiri ya hiyi dunia basijivu nie, na basitie kitumaini yabo ku mamali yabo yenye haiko sawa kwa sababu haiko ya milele. 18 Ubaambie batende mema; bakuwe batazari ya matendo mazuri, bakuwe tayari kutoa mali yabo bashiri kiane na bengine kwa roho. 19 Kwa hiyo, batajiwekea akuba kwa muda utakuya ju bapate maisha ya milele. 20 Timoteo, linda yenye balikupatia ujiepushe na masemo ya mubaya naaongezi ya kubisha na bishana kuhusu yenye munaita kwa makasa elimu . 21 Batu bengine bana sema haya mambo na baaenda mbali na imani . Neema ikuwe pa moja na nyi.