Sura 4

1 Lakini roho a na sema wazi kama wakati wa mwisho, batu bengene bata sitenga na imani ju ya kutatana na roho wongo, na mafundisho ya shetani. 2 Kupitia unafiki ya bongo na kudanganya. 3 Na bata kataza batu batu kuwawa na kukula chakula yenye Mungu aliwumba ju tu yikule na shukurani kubua ndani ya benye kuamini na kupata kweli. 4 Kwa sababu yote yenye ili wumbwa na Mungu ni ya muzuri, tena akuwa yenye tu na kula na ushuuda wa shukurani bata itupa, 5 Kwa sababu yote imetaka ziwa na neno la Mungu pia na mahombi. 6 Na ukifundisha ii bitu kwa bandugu, uta kuwa mtimishi muzuri wa Yesu Kristo, mwenye ali kula neno la imani na mafundisho muzuri ulipata. 7 Lakini utupe bienye abina malaka ile ba mama ba kubwa bana penda, lakini uju weke sana ndani ya kupenda utauwa. 8 Sababu uowezi ya mwili niya muimu mubitu kidogo, lakini utauwa ni ya mahana kwa yote, tena ina haadi ya uzima wa sasa na uzima ia kuya. 9 Ujiumbe ni ya kweli na inasthaili kuyi pokea. 10 Njo mana luna piganisha teka tuna tumika nguvu, ju tuna tia tumahini letu kwa Mungu muzuma, ambae ni mukombozi wa batu bote, zayidi ya bale bana amini. 11 Useme iyi bitu na uyi fundishe. 12 Na mtu asizara wu ufana wako, kuwa mfano kwa bale bana amini, ku neno, kuwa kutendea, kwa upendo, kwa imani, tena kwa usafi. 13 Mu paka nitakuya, uji tie kusoma, maubiri ya kuchawiri ka mafundisho. 14 Usizarau kipaji uko kayo na yenye ulipata ku pitilia unabii na kutiliwa mikono na waze. 15 Ujitie mu iyi bitu, dumu ndani yao, ju mahendeo yako ionekane na batu bote. 16 Ufanye analisho ju yako mwenyewe, ju kwa kufanya iv, uta ji okowa weye mwenyewe piua uta okowa bale benye biko na kusikiya.