Sura 3

1 Hii neno niya mahana na kweli, kama mtu ana penda kuwa muze wa kanisa, ana chaguwa kazi mzuri. 2 Ina lomba na Mze asikuwe na mfano mubaya. Ina mulomba akuwe bwana mke moya, mtu wa kushusha roho, wa kusema paka kweli, kwa matendo ya muzuri wa kika ribisha bageni, na ana juwa kufundisha. 3 Asi kunye pombe, asikiwe mtu wa bukonvi, asikuwe mtu wa nvita na batu, asikuwe na tama ya feza. 4 Ina mulomba a juwe kuongoza nyumba yake mwenyewe, ku eshimisa batoto yake na eshima ya kweli. 5 Lakini kama mtu awezi kuongoza nyumba yake mwenyewe je ata ongoza kanisa la Mungu? 6 Asikuwe mwa minifu wa sasa ju asianguke mu uku wa ma jivuno, na kuanguka mu iyi kibaya. 7 Ina mulomba akuwe na ushuuda muzuri na batu ba inje, ju asikuanguke na mitezo ya shietani. 8 Na bachemashi nabo pia inabalomba bakuwe na mufano muzuri, ba sikuwe benye kinywa mbili. Asi kuwe mtu wa kuku nywa pombe ya kupita, wala mwenye tama ya pes. 9 Ina mulomba achunge ukweli yenye ime fumbiya ku imani pamoya na zamiri safi. 10 Ina mulomba ajipime kwanza, vile abaua makasa batatumika. 11 Na bana mke vile vile, ina balomba bakuwe na tabiya muzuri. Basikuwe baku sema mingi bakuwe baminifu na benye haki ku maneno yoye. 12 Naba shemachi ina balomba bakuwe ba bwana wa bibi moya. Ina balomba kuongoza mzuri batoto yabo na jana mzima. 13 Kwa sababu bale bana ongoza muzuri, bana pata fasi ya eshima na kukubaliwa sana ndani ya imani katika Yesu Kristo. 14 Na kwa ndia hii bitu, tena na waza kuya kwako sasa. 15 Lakini na gawiya, na andika ju uyuwe sisi uta tembeya katika jana la Mungu, yenye iko kanisa la Mungu mwenye hayi, nguzo na nguvu ya ukweli. 16 Tena bila bubishi, siri ya kutii ni kabambi, "Bwana alikuya na mwili, tena roho hili mtetea, na ali ji onesha na ba malaka, baka muu biri ndani ya batu ya duniya, tena duniya ina muhamini, na ali nyakuliwa ndani ya utikufu".