Sura 2

1 Na kulomba, mbele ya yote, kuomba, kuomba, na matendo ya shukurani ju ya batu bote, 2 Ju ya falme na bote benye biko mu madaraka, ju tu kuwe na maisha ya kimia na amani, kwa uzuri yote na upole pia. 3 Hii iko muzuri na ina pendezwa ku macho ya Mungu bwana wetu. 4 Ana penda batu yote baokoke na bahike ku juwa yote iliyo kweli. 5 Ju kuko Mungu moya, na mupata nishi katika Mungu na mtu, Yesu Kristo, 6 Alijitowa sa malipo ju ya ote, ile ndio ushuuda yenye ililetua kwa wakati muzuri (saa). 7 Njo kwa mahana nili tia muhubiri na mutume. Na sema kweli na siku danga nya (ao siseme bongo). Niko mwalimu ya wa ba pagani ndani ya imani na kweli. 8 Napenda batu balombe kuna fali yote, na kuhinuwa mikono takatifu bila bisirani na bila mabishano. 9 Natena, napenda bana muke bavale na eshima, adabu na ku juwa ku ju zuwiza. Isi kuwe ju ya ku shuka nyele, ao zahabu, ma buchanga, wala ma nguo ya bei kali, 10 Lakini bavale na ile inastahili nabanamke benye bana one sha ku ogopa Mungu. 11 Mwa mke ajufunze kwa kimya na kuti kabisa. 12 Sikurusu mwana mke kufundisha wala kukuwa na mamlaka ju ya bwana, lakini anyamaze kimia. 13 Ju Adama aliumbwa mbele, kisha ewa. 14 Natena ayiko Adama mwenye alianguka, lakini mwana mke njo alidanga nya, na ku vunja sheria. 15 Lakini, ata kuwa ameokolewa kama ana zala ba toto, kama dumu ndani ya imani, na upendo pa moja na utakasa na mawazo muzuri.