Sura 9

1 Yesu akayingiya katika mutumbu juu ya kwenda ngambo ya pili kumugi ni ali kuwa ana ikala. 2 Akaona bana muleteya mutu moya mgonjwa wa kulekeya mikulu wa kulala pa kitanda, akaona imani yabo aka sema na mugonjwa, mutoto yangu, kuwa na furaha, Zambi ya ko ina kurunuuwa. 3 Angaliya ba handikayi ya mikanda bana anza kusema sema bopeke huyu mutu ana zarahu Mungu, 4 Yesu aka fahamu mazwazo yabo na aka sema, juu ya nini mukona mawazo mubaya ndani ya maroho yenu? 5 Kitu gani kiko nguvu kama na mutu Zambi yako ina urumina, ao kusema sibama na utembeye? 6 Lakini juu mutambuwe kama mutoto wa mutu eko na uwezo wa kuhurumi ya zambi, na akasema na mu gonjwa «simama, beba kitanda chako na urudiye kunyumba yako.» 7 Mara moya mugongwa wa kuleke ya mikuni aka sibama na kurudiya kwabe, 8 Wakati batu bote bakaona ivi ba kashangaa sani, na ba katuza Mungu, kwa sababu yeye njoo mwenye kupatiya batu uwezo. 9 Yesu akaza kupita, aka ona mutumoya jina yake kwikala ku bureau ya batu ba kupisha kodi, Yesu aka mwambiya unifwate, naye aka mufwata. 10 Wakati Yesu aka ingiya ndani ya nyumba juu ya kula chakula, batu ya ku lipisha kodi, na ba pagano ba mingi, baka anza kula na Yesu pamoya na bana funzi bake. 11 Wakati ba fanisa yo baka ona ivi, ba kasemana ba na funzi yake, kwa ini mwalimu wenu ana kula chakula na ba kulipisha kodi piya na ba pagano? 12 Wa kati Yesu aka sikiya,,aka szma, batu benye kwabila magonjwa bata weza kutafuta munganga? mupaka mtu ule eko mungijwa njoo ata tafuta munganga. 13 Mufanye nguvu muka jifunze maana ya mambo iyi, nina penda zaidi kurumiya kupita sadaka si kuya kutubu, la kini bapagago ba tubu zambi yabo. 14 Bana funzi ba Yohana baka muliza, juu ya nini siyeena ba farisaya tuna funga chakula la kini bana funzi bako haba funge? 15 Yesu aka bakibu batu kwalikwa ku feti ya ndowa bata weza weza ku katala kula chakula na wakati bwqana mwenye ndowa ana toka kati yabo ngo nabo bata funga chakula 16 Hakuna mutu ata weza kubeba kilaka kipya ala mike ku nguwo ya zamani, kilaka kipya kita pasula tena ngo ya zamani nguvu sana, 17 Hakuna mutu ana weza kuka mata pombe ya mupya na ku weka ayo mukibuyu kya zamani lakini ba ta weka pombe mupya mu kibuyu ya mupya, na pale pombe na kibuyu ita kuwa muzuri. 18 18Wakati Yesu alikuwa aka sema nabo mambo iyi, mukubwa mayo waba askari aka fika na aka piga magoti mbele ya Yesu, aka sema, mtoto yangu mwana muke ana kufa sasa ivi, na kuomba ukuye umu wekeye mikono yako yulu yake naye ata pona. 19 Na Yesu aka sibama na akamu fwata na bana funzi bake, 20 20Na kuona, mwana muke moya mgonjwa ya kutoka damu nyaka kumi na mbili, aka fika nyuma Yesu na aka gusa nguwo yake. 21 Kwa sababu "ali ji semeya ye peke, kama nika gusa ata nguwo ya Yesu nita weza kupona". 22 Yesu aka geuka na aka mwa ngaliya, akisema mtoto ya ngu mwana muke, kuwa na nguvu, imani yako ina ku ponesha, na mara moya mwana muke ule aka pona. 23 Wa kati Yesu aka fika kunyumba ya mukubwa ya ba askari aka kuta ba imbayi na batu bamingi beko na tiya makelele. 24 Naye aka sema, mutoke bote inje, kwa sababu mutoto uyu mwana muke eko muzima na ana lala busingizi, batu bote baka mucheka na baka muzarau. 25 Kisha bate baka toka inje na Yesu aka ingiya ndani ya chumba aka mukamata mutoto ule ku mukona naye aka sibama. 26 Baka tangaza habari hini mujimbo muzima. 27 Wakati Yesu akatoka pale, batu mbili ya magonjwa ya upofu ba ka mfuata, na baka anza ku lala mika, utu samehe mtoto wa Dawudi. 28 Wa kati Yesu aka fika kunyumba na babi pofu bawili bakafika pale, Yesu aka bauliza muna amini kama nitaweza kubaponesha bano baka jibu ndiyo bwana, 29 Naye Yesu akagusa macho yabo aka sema, itendeke kwenu kama vile imani yenu ina omba. 30 Na mara moya macho yabo ikafunguka, na Yesu aka bambiya kusema, ata mutu moya asijuwe mambo iyi. 31 Lakini bipofu mbili aba, ba kaenda na ku tangaza habari iyi jimbo yabo muzima. 32 Wa kati babipofi mbili bana toka, analiya baka muleteya Yesu mutu mmoya bubu waku ja zwa na mapepo muchafu, wakati. 33 Mapepo ika mutoka na bubu aka anza kusema, batu bote baka shangaa sana, na kusema mambo ya ivi babo aiya ba nyika mu Israel. 34 Na ba farisayo ya mukubwa wa mapepo njoo ana fukuza nayo mapepo? 35 Yesu aka tembeya majimbo na migini yote mbali, aliendeleya kuhubiri kwenye makanisa yote kidigo kidogo na kuponya batu ya magonjwa ya kila aina na bilema bya kila haina. 36 Wakati akaona bwingi ya batu, Yesu aka basikiliya uruma kwa sababu balikuwa ba kucho ka sana katika maroho yabo balikuwa kama kondolo aina muchungaji. 37 Naye akasema na bana funzi bake, mavuno iko mingi lakini ba fanya kazi nikidogo. 38 Na ivi kwa haraka mumuombe bwana wamavuno, kama atume ba fanya kazi katika mavuno yake.