Sura 10

1 Yesu aka ku sonya bana funzi bake kumi na mbili na aka batiya uwezo ju ya wapepo muchafu kwa sababu ku fukuza na ku ponya magonjwa ya kila ayina tene ku ponya magonjwa ya kupeoza. 2 Mu hone ma jina ya bana funzi kumi na mbili. Wakwanza, Simoni (ule bali muhita Petro), na Andrea ndungu yake, Yakobo, mtoto wa Zebedayo na Yoane tena ndugu yake. 3 Filipo, na Bartelemayo, Tomasi, na Matayo mwenye ali kuwa mu kazi ya serikali, Yakobo mtoto wa Alfayo, na Tadeo, 4 Simoni wa helote na Yuda Iskariote, ule alimusatiti Yesu. 5 Yesu alituma ba kumi na mbili. Aka bambia maneno aya, "mu si ende ata fasi moya kwenye wa pagoni wa na ishi na mu si ingiye ata ku mugini moya ya benye Samaliya. 6 Lakini, mwende njo ku na kondoo zilipotea katika nyumba ya Israeli. 7 Tena wakati muko na enda, muu biri na ku sema " ufalme wa mbunguni ime karibiya". 8 Muponye magonjua, mu fufuwe bafu, muta kose benye magonjua ya ukoma na kufukuza ma pepo. Mulipokeya ya bure, mu ba patie na bo ya bure. 9 Mu si ka mate ata za habu, ata pesa wala shaba ju ya mifuku yenu. 10 Kwa sababu mutu mishi anastakili na kuli pwa mushara. 11 Hata mugini ao ku ifi yenye muta ingiya, muta fute mwenye anasthili ka ba pokeya na mu bakiye kuake mupaka muta toka wa kwenda. 12 Wakati mu na ingiya mu nyumba, mu ba sali miye. 13 Na ka ma nyumba inastahili, amani yenu ibakiye kwa bo. Lakini kama ile nyumba aastahili, amani yenu ibarudiliye. 14 Na bale banakatala ku ba pokeya na kukatala kusi kiya maneno yenu, wakati mu ta toka mu ile nyumaba ao mu ile mugine, mupumpute vumbi ya migula yenu. 15 Kwa kweli, na bambiya, mugini wa Sodoma ne Gomorah ita pata kidogo kuliko ile mugine siku ya hukumu. 16 muone, na ba tuma kama kondoo ndani ya mbwamwitu, mukuwe na fanya angalisho kama nyoka na wapole tena kama njiwa. 17 Mufanye angalisho na batu, ju bata bapeleka ju baba fung tena bata bapiga fimbo ndani ya ma sinagigi yabo. 18 Na bata ba peleka mbele ya wakua na ba falme kwa ajili yangu, ju ikuwe ushuhuda kwabo na kwa mataifa. 19 Na wakati bata bapeleka, nu si ogopi ata vile muta sema, ju yenye muta sema muta ipata pale pale na kwa ile saa. 20 Kwa sababu ayiko niye njo muta sema lakini roho ya baba yenu ata sema ndani yenu. 21 Ndugu ata wuwa ndugu yake na baba ku mtoto wake. Na batoto bata tombokeya bazazi juya ile kifo (ma wuwaji). 22 Bote bata bachukiya kwa sababu yangu. Lakini ule ata kaza nakuvu miliya mpaka mwisho ule ata ponga. 23 Na wakati nata batesa ku iyi mugini, mukimbiye mukimbiliye ku mugine ingine. kwa sababu na bambia ukueli, "Amuta kuwa mu me malizaka tembeya mi fi yote ya Isreali bila mtoto wa Mungu a kuye. 24 Ju mwana funzi ayika zalidi ya mwalimu wake, ata mutunishi akuwe ju ya Bwana wake. 25 Kwa sababu inalombatu kama mwana funzi akuwe kama mwalimu yake, na natumishi vile vile akuwe kama bwa wake. Ju kama bana hita mwenye nyumba Belzabuli, mar ngopi sasa itakuwa mu baya sana ma fi na ya batu ya nymba yake. 26 Na njo ma na mu si agope, sababu akuna kitu ya siri yenye ayita kuwa ine fumuliwa batu bote na ile imefinikwa ita julikana na batu bote. 27 Na ile yenye nabambiya busiku, mu yisema mu juwa kati na benye bali kuwa na bambiya mu masikiyo, mu ijitoshe inje ya nyumba. 28 tena mu si ogopi bale bana wuwa mwili lakini a bawezi ku wuwa roho. njo mana, mu ogopi ule ana weza ku wuwa mwilina roho ndani ya jeya namu. 29 Mbo na ayiko ka suku mbili njo ina wujisiwa na pesa kidogo? na njo mana mu juwe, kama akuna ata mumoya ya bo mwenye ata enguka chini bila baba ku yuwa. 30 Na vile vile, nywele za kicha yenu ime hesabiliwa. 31 Njo mana mu si ogopi. Ju muko ba maana sana kuliko ma ka suku bengi. 32 Njo, kila mutu ata ni kiri mbele ya batu, na miye nita mu kiri mbele ya baba yangu aliye ju mbi nguni. 33 Na wule ata ni ka na mbele ya batu, na miye pia nita mukana mbele ya Baba ye ngu aliye ju mbingni. 34 Lakini musi waze kama nilikuya kuleta kimia (amani) mu dunia. Siku kuya kuleta kimia (amani) lakini ni mupanga. 35 Sababu nili kuya kwachanisha mtoto na baba ya ke, na binti na mama yake, na bibi ya mtoto wake na mama mukwe yake. 36 Na mtu ata kuwa na ba aduwi batu ya nyumba yake. 37 Ye ule ana penda ba bayake ao mama yake kulike miye ahastaili kwa ngu na ule ana penda mtoto binti wala mwana wume kuliko miye ahastaili na na miye. 38 Mwe nye aata beba mu salaba na kuni fuata anipendi. 39 Mwenye ata ku tana na mayisha yake ata ipoteza, lakini mwenye ata poteza mayisha yake kwa ka jili ya ngu ata yi pokeya tena. 40 Mwe nye ata bapokeya ata kuwa ameni pokeya nayeye amani pokeya, ata kuwa ame poke ya ule ali nituma. 41 Na wale ata pokeya nabii kwa sababu yeye ni nabie, ata pata mailipo ya nabii. Na ule ata pokeya mtu wa kweli ju ni wa kweli ata pokeya malipo ya ukweli. 42 Na ule wote ata patiya kopo ya mayi ku muya ya ba toto ya ke kwa sababu na bana funzi bangu, kwa ukueli na bambiya, ata poteza ka malipo yake.