Sura 7

1 1Usihukumu, kwani nawe wihukumiwe. Kwa hukumu unahukumu , na weye utahukumiwa. 2 Na kwa kipimo unapima na weye pia utapimwa vile vile. 3 Juu ya nani ukonaona kipande na mutikpo licho na ndugu yako , lakini unakosa kutambuwa kipande ya kubwa katika licho yako? 4 Kwa nini unaweza kusema kwa ndugu yako, ngoya nikutoshee kipande ya majini kolicho yako, wakati kipande kubwa ikondani ya licho yako? 5 Mnafiki weye, tosha mbele mayani kubwa kwenye iko kolicho yako na utaweza kuona muzuri na kutosha muti kwenye iko ndani ya licho na ndugu yako 6 muchiwape vitu vitakatifuna na waimbwa, walawa nguruwe, kwani wata ikanyanga na watakugeukia na kupasula vipande vipande 7 Omba, nawe utapewa , tafuta, nawe atapata. Piga hodi na weye batakufungulia. 8 kwa yote anaomba atapokea. Na kwa yote anatafuta atapata. Na kwa mutu anapiga hodi, atafunguliwa. 9 Iko mutu miongni wenu akiwa na na mtoto wake aki mwomba kipande ya mkate atamupa lijiwe. 10 Au akimwomba samaki , na ye atamupa nyoka ? 11 Kwa hiyo, ikawa nyinyi watu wabaya, munajua kuwapa wa toto wenu zawadi muzuri? Je ! Nikiasi ganizaidi baba aliye mbinguni atawapa vituvizuri wale wanamuomba yeye? 12 Kwa sababu hiyo ukitaka watu wakufanyia kitu yote na watu wengeni, na we pia unapesa kuwafanyia hivyovyo wao. Hiyo ni sheria na manabii. 13 Ingieni kwa mulango ya muembamba, juu ile ya munene, ni njia ina yoongoza kwenye uharibifu, na ikona watu wengi wanapita njia hiyo. 14 Mulangu muembaka, ni njia inayongooza katika uzima na ni wachache wanaweza koiona 15 Mukuwena akili na manabii wa uongo wanakuya wamevala ngozi ya kondoo, lakinki kweli ni mbwcha wakali . 16 Basi mutawatambu wa ku matendo yao ambaye zi kutosha ntumba ya mangaku muti wa gazi, wala ntunda ya avocat ko mutiya ndimo? 17 Ni vile vile muti muzuri ita tosha ntunda, mutimubaya na yo itatosha ntunda mubaya. 18 Muti muzuri hauwezi kuzaa matunda mabaya walamuti mubaya hauwezi kuzaa matunda muzuri. 19 Kila muti ambao haikuzaa matunda mabiya wala muti mubaya hauwezi kuzaa matunda muzuri itakatiwa na kutupa katika moto. 20 Hivyo basi utawatambua kutokana na matanda yao 21 Haiko kila mutu ataniambia miye bwana ataingia katika ufalme wa mbinguni, ni yule peke atatenda mapenzi ya baba hyangu aliye mbinguni. 22 Watu wengi wataniambia siku hiyo, bwana , bwana hatukutoa unabii kwa jina yako hatukutoa mapepo kwa jina yako, kwa jina yako tulifanya matendo mengi makuu? 23 Hivyo ntawa ambia wazi, sikuwatambua nyinyi ! Ondokeni kwangu nyinyi watu wa matendo mabaya 24 Kwa hiyo, kila moya asikiye maneno yangu na kutumikia hayo atafananana mutu mwenye hekima ali jenga nyumba yake juu ya lijiwe . 25 Muula ikanyesha mafuriko yakaja , na upepo ukaja ukaipiga nyumba hiyo lakini haikuweza kuanguka chini sababu ilikuwa juu ya lijiwe 26 Lakini kila mutu anaskiya nendyangu, na asitumikia hayo atafanana na mutu mpumbafu alijenga nyunga nyumba yake juu ya mchanga . 27 Mvula ikaza mafuriko yakaja na upepo ukaja na kuipiga nyumba hiyo na ikaanguka , na uhabifu wake ukakamilika . 28 Ilifika wakati ambao Yesu Kristo alimaliza kuogeya maneno haya makutano walishngazwa na mafundisho yake . 29 Kwa maana, aliwafundisha na uwenzo na kupitawaandishi wao