Sura 5

1 Sa Yesu aiona iyi kiundi, a kapanda mu kilma wa katif alikala, banafunzi yaku bakakuya kwake. 2 A kafugiula kinwa na akasema . 3 Furaha ku bale benye biko ba masikini dani ya Yesu dju ufalme wa mungu ;ika sababu yabo. 4 Furaha ku bale benye biko bana liya , ju batapata nguvu tena . 5 Furaha kwa bale benye bupole dju bata pata bulongo. 6 Furaha ku bale benye biko na njala na kiu ya mayi ya uzima, sababu bata chiba. 7 Furaha ku bale benye biko na uruma, sababu bata ba rumiya. 8 Furaha ku bale benye raho muzuri, kwa sababu bata ana mungu 9 Furaha ku bale benye bana leta amani, dju bata ba ita kwa mutoto wa mungu . 10 Furaha ku bale benye bana teseka sababu ya aki, sababu ufalme ya binguni ni dju yabo. 11 Furaha kwenu batu benye mukoma tukaniwa ma ku ba tesa ao kubasemeya bubaya dju yangu. 12 Mufurahi na mukwe na Furaha , dju malipo yeno iko ya Mungu ku mbinguni. Kwa kuwa batu balitesa ba nabi benye balikuya mbele yenu. 13 Muko tshumvi ya dunia lakini tshumvi ika poteza butamu yayo . Namunagani unaweza kuipata ainatena ya muzuri ku kitu, djutu ya kwitupa inji na kuikanianga kwenye batu . 14 Muko mwangaza ya dunkia .inchi muginki yenye bana djenga yulu ya kilima abawezi kuifitcha. 15 Ni sawa na batu benye bana wacha tala na ,kuiwe ka ndani ya kitunga? Lakini banaweza kuiwa cha na kui weka yulu ya kitu ndani ya nymba dju batu benye biko ndani baone mwangaza. 16 Ju mwangaza yako iangaze mbele ya batu dju ikuwe matendo ya muzuri yenu na musifu baba yenu wa mbinguni 17 Musi waze kama minakuya ku vuta cheriya yenye ba nabii sikuye kuivita apana , lakini ; ju ya kuitimiza. 18 Kwa ukweli na bambeya, kwamba mpaka mbinguni na dunia biote bipite hapana ata kanuni moya wa mukta moya ya sheriayenye vutiwa, na ile mpaka uti miliko ya maneno yote. 19 Na njo mona mwenye ata vunja sheriya kidogo na kufundisha bengine kufanya ayo ata kwa wa kidogo ku mfalme wa mbinguni. 20 Na bambia , haki yenu isipiti haki ya banye bananolikaka na wa pharisao ju ya bile biote amuta ingiya ku mfalme wa mbinguni. 21 Mulisikia balisema wakati mingi zamani: "hauta ua" na "ule mutu myenye ata na mwangine ata sambishiwa". 22 Lakini miye nabambiya kama ule mutu mwenye ata kwana bisilani kwa ndungu wake ata sambishiwa; na mwenye atambiya ndugu yake" weye uko wa bure" ata kuwa mbele ya benye bana sambishaka na ule mwenye ata sema: weye toka", atakwa na kifoya moto 23 Nanisa na mwenye ata towa sadaka yake ku maza babu na una djuwa kama ndugu yako iko na lazima ya makuta. 24 Umwachiye ile makuta yako mbele ya mazababu, wende utengeneze kwanza na ndugu yako kisha ukuye upane sadaka yako 25 Musikilizane mbiyo na ule mwenye alikutshongeya, wakati muko kunjiya muna elekeya kusamba 26 Kitsha mwenyi aliku chongeya ata ku acha kumikono ya ndugu yake " weye uko wa bure" ata kuwa mbele ya benye bana sambishaka na ulemwenye ata sema. 27 Mulisikia banasema "musifanya bu busharati" . 28 Lakini na bambiya ivi : mutu mwenye ata angalia mwa na muke kwa kumu penda , alisha fanya busharati na ye dani ya roho ya ke 29 Nakama litsho yako inakutuma kubu shariti to chayo na tupayo mbali yako ; sababu ni muzuri kwako kipande moya ya ma mwili wungo yako ya ribiki kuliko muili yako ikufe kwa milele. 30 Na kama mukono wako wa kiume ina kutuma muku fanya zambi (busharati) katayo na utpayo mbali na weye ; sababu ni muzuri kwako kipande moya ya muili ya iyaribi ke kuliko muili yako muzima baitupe kumoto. 31 Ilisemawakem utu yote mwenye ata fukuza bibi yake na ata mupatiya baruwa ya kwatshanisha ndowa 32 Lakini na ba mbiya mutu yote mwenye ata kata lana na bibi yake lubuda tu kubusharati, una mufungulia ndjiya ya busharati na mwenye ana awa bibi mwenye bana mufuza kubu kweyi; na ye ana fanya busharati. 33 Tena mulisikia bana sema kwa ba nka mbo yetu (batatel, ba nzee betu) : musifanya malapo ya bongo lakini mubebe ye mufalme malapo yenu". 34 Lakini musilape ku mbingu sababu ni kiti ya utu kufuya Mungu. 35 Na ata apa ku dunia ju ni kwenye Mungu anatembeleyaka; na ata yerusam ju ni mungini munene ya mfalme . 36 Usi sambishi ku kitchwa yako, sababu amuna uwezo yaku geriza nyele kukwa mweripe ao mwensi . 37 Wakati una sema masemo yako inapatsho kwa ya kufanana (sawa sawa): " ndiyo ndiyo" wala "apana apana " ile yote yenye inadiogeza ina toka kwa ba kala musi. 38 Mulisikia kiyenye balisema: "litsho pa litsho, na lino ku lino". 39 Lakini miye na bambiya, musishendane na mutu mu baya; lakini mutu aka kupita kulishafu ya kimwana ume geuka umu patiye tena lishafu ya ki mwanu muke. 40 Na kama mutu anataka ku ku tshongya ju a bebe nguo yako, umuotshe a bebe na Nzambala yako. 41 Ule mwenye ata kwambiya ukimbiye ku makazo ku elfu moya , weye ufanye elfu mbili pamoya. 42 Patiya mwenye ana kulomba na usi katale ku patiya mwenye ana kulomba deni. 43 Mulisikia balisema " utpenda jirani yaka na uta mutshukia adui yako". 44 Lakini miye na bambiya: " mupende ba adui yenu na mu ombeye benye biko na basa . Jo muna kua ba toto ya baba yenu mwenye iko ku mbinguni . 45 Ju iko na lamusha yuwa ku batu ba baya na ku batu bazuri, na ana tumia nvula ku batu benye bikona imani na benye abana inani 46 Ju kama una penda tu benye bana ku pendaka , malipo gani inye utapata ku ile ? Na ata benye bana lipishaka kodi nabo bana ifanyaka muna patshwa ku fanya muzuri kupita yabo. 47 Na kama muna salimiya tuba ndugu yenu, nini yenye muna fanya ya muzuri kuzidia begine? Ata ba pagano bana ifanya ka mingi. 48 Jo mana muna patshwa bamilifu, sa vile baba yenu wa mbinguni anakwaka mukamilifu.