Sura 4

1 Na roho mutakatifu alibeba Yesu mu janguafu a nu jaribu. 2 Na alisikiya nzala nuyuma ya kufunga masiku ma siku makumi ine ya mucame na busiku. 3 NA wule shetani alikuya mbele yake na kusema, «"na iyi liyiwe uyibadilishe ikuwe mukate ka ma uko mtoto wa Mungu".» 4 Lakini Yesu alimu jibiya, «imandikwa, lakini ni kwa neno la Mungu.» 5 Kisha shetani alimu beba ndani ya muji takatifu na aka mutiya mufasi ya yulu sana ya hekolu. 6 Na aka sema, «ujitupe chini kama uko mutoto wa Mungu, sababu ime a ndikwa kama, ata tu ma bamalayika bake sababu yako, na bataku beba kumikono yabo sababu usifi gonge ku lijiwe.» 7 Lakini Yesu aka mujibiya, «ili ya ndikiwa" usi pime bwana Mungu wako".» 8 Na shetani alimu beba tena mu fasi ya yutu sana tena alimu onesha ufalme yote wa duniya iyi na furaha yabo yote. 9 Na aka mwambiya tena, «nita kupatiya iyi bitu yote una one kama unanipigiya magoti na kunia budu.» 10 Kisha Yesu akasema, «toka, shetani, ju imea ndikwa "uta abudu Bwana Mungu na uta mutumiki ya yeye pekeyake.» 11 Kisha shetani alimuasha na ba malayika balikuya na baka mutumisikiya. 12 Vile Yesu alisikiya kama balifunga yahani, akataka mu mujiwa GAlilaya. 13 Na aka enda mu Nazareti na kwenda kuhishi mu KAperanaumu yenye ime pati kanaka pembeni ya mayi ya Galilaya, mu mipaka ya majimbo ya Zabuloni na Naftali. 14 Iyi yote ili fika ju tu itimize yenye ISaya alisema, 15 «Bulongo ya Zabuloni na ya Naftali, ku elekeza Bahari, ngambo ya Yorodani, Galilaya na ya mataifa. 16 Mataifa wale walikuwa ndani ya giza wali ona nuru kubwa, na bale benye balikuwa na ikala chini ya kimvuri ya mawuti, nuru ime wangaza.» 17 Kwanziya wakati ile, Yesu alianza kuubiri na ku sema «mubadilike sababu ufalme wa Mungu ka ribiya.» 18 Vile alikuwa anatembeya pembeni pembeni ya bathari ya Galilaya, ali ona wa ndugu mbili, Simoni ule bali ita Petro na Andrea ndugu yake. Balikuwa natupa makiya yabo ndani ya bahari, sababu balikuwa na loba samaki. 19 Na Yesu aka bambiya, «mukuye, na munifuate na munifuate na nita bananya wa kuloba sasa batu». 20 Kwa araka (mbiyo) bali acha makiya bo na kumu fuata. 21 Na vile Yesu alikuwa na fwata njiya yake, ali ona ndugu mbili, Yakobo, nutoto wa Zebedayo, na Yohane ndugu yake. Walikuwa ndani ya mutu mbu na Zebedayo baba yabo, bali kuwa na shona makiya yabo. Aka wahita. 22 Na sasa, bakatoka ndani ya mutumbu na baba yabo kisha balimu fwata. 23 Kisha Yesu alitembea Galilaya yote, na kuwubiri ndani ya ma sinagogi, kitagaza neno la Mungu na kuponya magonfwa ya kila ayina ya ku pooza ndani ya batu 24 Habari yake ilitembeya mupaka suria yote na batu benye baliteta ba gonfwa, na benye baliteseka sana mukila magonfua mbali mbali, na mawumivu na benye ma pepo ma pepo muchafukifwafwa, kuposza; na Yesu aliba ponya. 25 Na batu mingiu balimu fwata taka GHalilaya, na Dekapoli, Yerusalemu, Yudea na hata kutoka pembeni pembeni yote ya Yerodani.