Sura 3

1 Kwa ile masiku, kukatokea yoano wakubatiza batu. Akanza kuhubiri katika jangwa ya jumbo ya Judea ekonasema. 2 «Geuzeni ma mifano yenu, juu ufalme wa mbingu inakuya karibu». 3 Muone ule nabii Isaya alisemeyaka aseme: «sauti ya mutu ule eko na lalamika katika ya jangwa na kusema: " tengenezeni njia ile bwana atapiti yamo, munyyoloshe na tuma njia twa pori twake"». 4 Uone: yoano alikuya mwenye kuuwala nkanzo ya baridi ya manyonya ya mpunda na mukaba yangoji mu kivuno. Alianza kula kuria mpaka ba mpandjo aba banene-banene na sari mu pori. 5 Kwanza Yelusalema, jimbo ya Yudea na ile kipande ya pembeni na mutoni munene ya Yordano balianza kuya bote kule kwiko yoano. 6 Aka ba batiza yeye moya mule mu mutoni ya munene Yordani, kisha kutubu ma Nzambi yabo. 7 Wakati aliona bafalisayo naba sadukaiba mingi beko nakuya juu ababatize, aka mambiya: mwenye ba ku kizazi ya nyoka wa sumu, ni nina anemikalamu sha juu mukimbiye kishilani Mungu? 8 Mwende mbele mukazale matunda ya kueneanana kugeu za mifano. 9 Na haina vile muko munasema ndani ya ma roho yenu aseme: "tu banankana ya Abalahamu mujuwe aseme Mungu eko na uwezo ya kulamusha kizazi kya Abalahamu ata kutoka ku hii maibwe munaona. 10 Na shoka bana isha kusimamisha yulu ya mujiji ya miti hivi sasa, kila muti yenye haizale matunda muzuri ni kuikata naku itupa ku moto. 11 Miye namibatiza mu mai bale bana geuza mifano. Kuko ule ekona kuya kisha miye, eko na uwezo kuni ipita miye, na miye sienee ata kumu bebea mapapa yake. Ye ule atamibatiza mu Roho mutakatifu na mu moto. 12 Eko na saani ya pepulia ku mikono, mwenye kujitayarisha afwakiyeee muzuri fwashi yake. Lakini ata lunguza makanda yote katika moto ile haita anza kuzimika ata kiloko 13 Kisha Yesu akafika pale kutoka ku Galilaya kumu mutoni munene ya Yordani juu yoano amubatize. 14 Lakini yoano ali anzatu kumu kataria, eko nasema: «Ni miye njo niko nataka weye unibatize, sasa weye ukuye kwangu miye?» 15 Yesu akamujibu na kusema: «acha tumbele yende vile; juu iko muzuri tu eneshe kilankitu kizuri». 16 16Kwisha tu kabatizwa, Yesu anatoka mu maipaka hivi kwangaria hivi mbingu ikafunguka wazi yulu yake akaona Roho ya Mungu ikamushukiya kwa mufano wa jiwa, na kusimama Yesu yulu yake. 17 Mara moya, sauti ika anza kusema kutoka mule mu mbingu, inasema: «uyu njo mutota yangu minapenda kupita. Ananipaka furaha sana.»