Sura 27

1 Saa ya asui kukatika, ba kubwaba ba kuhani bote na bazee ba pa mugini bakamufungiya Yesu kanuni mubaya ya kumu uwa. 2 Bakamu funga nkamba baka enda naye na kumuka bula kwa liwali Pilato. 3 Na ile wakati Yuda ule ali mukabula ku bakubwa, pale ali ona aseme Yesu banamukatia kufa, aka anza kutu bu na akarudisha ile feza bipande makumi tatu ku bakubwa ba bakuhanina ku bazee, 4 Na kusema: "na fanya Nzambi pa kumikaburia mutu washo nkosa". Na baka mwambia: "ile inatwangaria shie ku nini? Ile ni mambo yako". 5 Naye aitupa ile feza yote ndani ya hekalu, kutoka pale akaenda kuritundika. 6 Bakubwa ba bakuhani bakalokotesha bile bipande bya feza, bakasema: "a ina sheria muzuri kuweka hii feza mu mu fasi tunachungiyaka yote juu hii ni fezaya damu". 7 Bakaanza ku bishana pale bote kisha na ile feza, bakauza nayo mashamba ili kuya ya mutu wa kufanya mitungibanze ku zika mo bageni. 8 Juu ya ile mawazo mashamba ile bana anza kuita : ma shamba ya damu" kufika na leso. Njo pale bile Yeliya ali tabiriaka bilifika, aseme. "Baka beba bipande makumi tatu bya feza, ndo bei batoto ya Isaia ele bata mu uzisha nayo. 9 Njo pale bile Yelemiya ali tabiriaka bilifika, aseme. " BAka beba bipande makumi tatu bya njo bei batoto ya Isalaele bata mu uzisha nayabo. 10 Na wakalipa ayo ku uza mashamba ya ule wakufanya mitungi, mpaka vile bwana olileta mipango. 11 Ile wakati bakamuleta Yesu mbele ya liwali, na yeye aka mu uliza: "Wenjo mufalme wa bayuda? Yesu akamu jibu" "paka vile unasema". 12 Lakini, pale bakubwa baba kuhani na bazee ba mugini bali leta na masitaki yabo, Yesu alikuya kimia, pasipo kujibu 13 Kisha, Piulato akasema naye: "Hausikie bile byote beko naku staki?". 14 Pale tena hakusema ata neno moya na liwali akashangalasana. 15 Mujuwe kama, kwa kila siku ya furaha mukubwa, kulikuya Zoe Zoezi ya wafungulako mutu mayo wa buloko ule batu bata lomba. 16 Na kwa ile wakati, ku buloko kukuya mutu moya ule alijuli kana sana bana mwita balabasa. 17 Hivi batu bali yala ba mingi mbele ya nyumba yake, Pilato aka uliza: " katikati ya Yesu anaitwa Kristo na balabasa, ni nani muna pendani mwa chiliye ende?" 18 Alijuwa tu yakusema ni kwa bwivu tunjo balimu bamba Yesu. 19 Ile saa ile Pilato ali ikala pa kiti ile ana sambishiyaka batu, bibi yake akamutumia mjumbe aseme: "Usifanye ata kitu moya kwa ule mutu washo makosa, juu yake nalota ndoto ina ni hanganisha sana. 20 Pale, kiongozi wa batumishi bamu nhyumba ya Mungu na bazee bote baka chonganisha kundi ya batu balombe ba achiliye BAlabasa na ba uwe Yesu. 21 Liwali aka ba uliza tena: "Acha Bawili, muna penda ni achiliye nani? " bote bakasema: "acha Balabasa". 22 Pilato akaba ulizatena: "sasa uyu Yesu bana ita Kristo, nifanye naye jee?" kwa pamoja baka jibu:"akufe ku musalaba". 23 23Naye akasema: "juu ya nini, kibaya ali fanya ni kinini?" Bo bakalamika nguvu kupita " akufe ku musalaba". 24 Pale Pilato akaona aseme hakuna tena namuna ya kumu ponesha, na akaonani batu bana anza butomboji, akabeba mayi, aka nawa mikono ku masho ya batu bale bote na kusema: "sina mo kosa mu kosa Damuya uyu mutu washo makosa ina miangalia mwe benyewe. 25 Batu bote baka sema: "Ndiyo, Damu yake ikuye paa bichiwa yetu na ya ba toto yetu". 26 Na, akabaachi liya Balabasa lakini akamupikisha Yesu fimbo na kumukabula ku batu bende banu uwe kumusalaba. 27 Kisha ba soda bale liwali ali leta baka enda naye mu ile chumba mule bana sambishiyaka batu. Na ba soda bote bali kuya mu kazi ile siku bakamuchangi ya pale. 28 Bakamu vula ma nguo yake na kumu vwika nkanzo kya moya mwekundu sawa Damu. 29 Baka suka kitaaji kya mi iba, bakamu vwika kyo pakichwa yake bakamupa na muti wa bakubwa mu mukono wake wa ku ume. Wamupikia magoti, na kumu zarau vile baitenda na kusema naye, "heshima kwako mufalme wa Bayuda. 30 Bakamu temea mate, ba kamupika mfimbo na matete na makoofi ku kichwa. 31 Kisha kumu zarau vile balipenda, bakamutosha nkochi ile na kumurudisha ma nguo yake, na bakaenda naye ku fasi yakumu uwiya. 32 Baka toka naye inje, pale bakakutana na Simoni mutu wa mu kulene (Libia), wakamubamba ku nguvu ende nabo amubebeye Yesu musalaba. 33 Baka fika pafasi bana ita Goligota, maana yake "fasi pa mifupa ya kichwa". 34 Baka penda ba munwishe pombe ya kuchanga na mai ya buchacho. Akapita tu ku milomo, na aka katala ku bikunwa. 35 Baka isha tu kumu pikia misumari ku musalaba, baka kabulana manguo yake mu kupika kura. 36 Nabakaikala pale bachunge vile atakufa. 37 Baka andika mbao kamoya baka kapopolea yulu ya kichwa yake ile masitaki yenye bali mu uwiya. Bali andika asema "uyu ni Yesu mufalme wa bayuda". 38 Pali kuwa na bamwizi bawili ku misalaba yabo, muyaku ume, mwingine ku shoto. 39 Bapita njia bote baliwa beko na muchambula sana na kutenkesha kichwa. 40 Nakusema: "we ye ulianza kusema utaweza kuvunja hekalu na kujenga ya mupya mu masiku tatu, uji okowe sasa! kama uko mutoto wa Mungu, shuka ku musalabu. 41 Vile vile, bakubwa ba bakuhani bali mu chekelea, pamoya na ba andishi na bazee na kusema: " 42 Ali poneshako bengine, anashindwa kujiponesha ye mwenyewe. Yeye mwenye mufalme wa Isalalele, shi ashuke ku musalaba njo tu mwamini. 43 Hivi ana tuma inia Mungu, sasa Mungu ule amukomole mokama Mungu ana mu eshimia, juu anasemaka" niko mutoto wa Mungu". 44 Na ba mwiji bale bali kuyaka naye ku misalaba, nabo vile vile baka anza kumu chambula. 45 Sasa, kwanza midi (saa sita) kufika saa kumi na tano (saa kenda) giza ya nguvu akafinika inchi yote. 46 Karibu na saa tatu ya magaribu, Yesu akalalamika na kusema: "Eli, Eli, Lama Sabakatani?" Maana ya ile ni:"Mungu wangu, Mungu wangu, juu ya nini una niachilia?". 47 Batu bengine pale balisikia ile, bakasema "ye une ana anza kwita Elia". 48 Pale pale, mutu moya kati yao akaenda mbiyo na kubeba kifongo akati tanta mu binywaji bya bu chacho, aki chomeka ku litete aka mutia kyoku kinwa juu akunwe. 49 Benye kaza rau baka sema: " Mu muache, tu one kama Eliya atamu okea". 50 Ena Yesu akalalamika kwa sauti ya nguvu na kukata roho. 51 Kwangaria tu hivi, ile pazia ya mu hekalu, ikapasuka kati kati chini na yulu, pipande mbili. Inchi ikatetemeka na maibwe ya minene ikapasuka. 52 Makaburi ikapasuka na ma mwili ya mingi ya mingi ya batakatifu wale kabisa wali zikwaka, wakaffufuka. 53 PAle walitoka mu tuburi kisha kufufuka kwa Yesu, wali ingiyaka mu Yelusaleme na wakaji onesha ku watu wengi. 54 Na ule kamanda (ki ongozi) wa ba soda na bale bote balikuya beko na chunga, na kwangaliliya Yesu, pale bali ona inchi kutetemeka, na bile byote bilifanyika pale balisikiya boka sana na kusema: " Byakweri tu, uyu mutu alikuya mutoto wa Mungu". 55 Bana muke bale balianza kumufwata tangia Galilaya, bali anza kumu pikia na kumu tumikia makazi ya mikono, bali kuya paka pale, beko na angalilia. 56 Pa moja nabo sawa MAlia wuku Magadala Malia mama yake na Yakobo na Josefi, na mama wa ba toto ya Zebedayo vile vile. 57 Ku magaribu, mutajiri moya waku alimatea, jina lake Yosefi akafika pale. 58 Naye alikuyaka mwanafunzi wa Yesu kwa uficho. Ali fikaka kwa Pilato ku mulomba mwili wa Yesu. Naye Pilato ali leta oda bamupe ayo. 59 Josefi akatosha mwili wa Yesu, kuitengeneza, ikaifunga mu ma nguo ya kuzikia batu ya mupya. 60 Na kuijika mukarburi yake ali chimburishaka katikati ya maibwe. Kisha akanga mulango ya kaburi na lijiwe ya munene sana. Kisha akanga mulangoya kaburi na lijiwe ya munene sana aka rudia kwake. 61 61Lakini Malia waku Magadala naule Malia mwingine, bo balibakiyaka paka pale mbele lya kaburi. 62 Siku ya kufwata, hivi ilikuyaka siku ya kutengeneza chakula ya pasaka. Bakubwa babakuhani na ba Falisayo bali kuanika bote kwa Pilato. 63 BAkasema: "Mu heshimiwa, tuna kumbuka masemo ya uyu mujanja uyu pale asiya kufa, ali sema:"kisha siku tatu, mita fufuka". 64 Sasa leta oda juu Ishikuye banafunzi bakuye bamu toshemo na ba ambiye batu asema batu seme "ana fufuka mu bafu", hii bujanja ita leta fujo kupita ile ya milele". 65 Pilato akawambia: "ni muzuri, mu beba bakufanyabu jamu mwende mupange ba jamu muzuri vile munasema". 66 BAka enda ku panga ba jamu, baka ifunga ile jiwe na minyololo bajamu beko naona