Sura 26

1 Wakati Yesu alimaliza kusema mambo iya , aka bambiliya bana funji bake . 2 Muna juwa kama kisha siku mbili kuta kuwa feti ya pasaka, na mutoto wa mutu ata tolewa juu asulukiwe. 3 Kisha ba kubwa balikutana pamoya ku nyumba ya kuhani mukubwa kayafa . 4 Bote pamoya balipanga ya kumukamata Yesu kwa sili juu ba muhuwe. 5 Bote baka sikiliza kama tu si muka mate siku ya feti ya pasaka apana, kwa sababu bati bamingi batatomboka 6 Wakati Yesu alikuwa Betani ndani ya nyumba ya Simon wa magonjwa ya bukoma . 7 Wakati alikuwa kumeza mwana muke moya alikuya kwake akiwa na chupa ya mafuta ya beyi kali na akamu mwangiya Yesu kuki chawa kyake. 8 Wakati bana funzi bake bakaona ivi bote baki kasirika sana, na kusema juu ya nini ana habaribisha mafuta ya beyi kali ivi ? 9 Mfuta iyi tulipasha ayo kubeyi kali na kupatisha ya ba masikini makuta iyi. 10 Lakini Yesu akajuwa mawazo yabo yote aka bahambiya , juu ya nini muna mutombokeya mwana muke uyu? Ana fanya mambo moya mujuri juu yangu . 11 Siko yote muta kuwa pa moya na ba masikini, lakini miye siwezi kuwa na mweye siku yote 12 Kama ana mwanga mafuta yulu ya mwili wangu, ana fanya ivi, sababu ya kuzi kwa kwangu. 13 Na miambiya kweli fasi yote bata hubiri habari nyema hiyi muduni ya muzima kitendo iki mwana muke uyu ana tenda kkita semewa siku yote juu ya kumu kumbuka . 14 Mutu moya kati ya banafunzi ya Yesu anaye itwa Yuda Iskariote, akaenda kwa bakubwa ba ma kuhani. 15 Na akisema mutanipa nini ! Kama na mitoleya Yesu, baka mupatisha ya Yuda bipande akumi tatu bya feza . 16 Kwanza siku ile Yuda aka anza kutafuta fasi gani ya kumukamata Yesu . 17 Siku ya kwanza ya mikate ya bila dawa, bana funzi yake baka mufukiya Yesu na kusema pasi gani una penda twende tuka kutarishiye chakula ya pasaka? . 18 Aka bajibu, mwende ku mugini kunyumba ya mutu moya , na mumwam biye kama , mwalimu anasema wakati yangu ina eneya nanita kula chakula ya pasaka ku nyumba yako pamoya na bana funzi bangu. 19 Bana funzi yake baka fanya vile Yesu ali batuma , na baka tayarisha chakula ya pasaka. 20 Wakati mangaribi ilifika Yesu aka ikala aka anza kula chakula pamoya na bana funzi bake kumi na mbkili. 21 Wakati bali kuwa na kula chakula naye aka sema , kweli na myambiya koma, mutu moya kati yenu ata nitoya. 22 Bote baka uziki sana, na kila mutu aka anza kumuliza bwana nimiye? 23 Aka bajibu, ule atatiya mkono wake pamoya namiye ndani ya sahani njoo ule ata nitowa . 24 Mototo wa mutu wote ule ata mutu wa mutoto wa mutu ni heri asingelizaliwe muduniya. 25 Yadu, mwenyewe ata mutowa Yesu akasema , mwalimu, nimiye Yesu aka mujibu wemwenyewe una sema . 26 Wakti balikuwa chakula , Yesu akabeba mukate na aka ubariki, na aka bakabuliya bana funzi bake aki sema , mubebe mukule iyi ndiyo mwili wangu. 27 Akabeda kikombe na kushukuru, aka bapa kishin akasema , mukungwe mwebote. 28 Kwa sababu iyi ni damu yangu ya agango ambayo ita mwangika juu ya ehema ya Zambi ya batu bote. 29 Lakini nili myambiya kama sita kunywa tena matunda muti uyu mpaka sika ile tuta kunywa ya munpya pa moya na mweye katika ufalme ya baba na mweye katika ufalma ya baba yangu. 30 Wa kati balimaliza kwimba mwimbo, baka panda kumulima wa mizehituni. 31 Kisha aka bahambiya, busiku yaleo mwe bote muta ni kimbiya , kwasa babu ili andikwa, ni tapika muchungaji na kondolo yote ita zambala. 32 Lakini kisha kufufuka kwanga, nita mita nguliya Galilaya 33 Na kisha Petro akamwambiya ata kama batu bote bata ku tatala kwa sababu ya mateso ita kufikiya, la kini miye siwezi ku ku katala. 34 Yesu aka mujibu , kweli na kwambiya koma busiku ya leo uta nikana mara tata kabla ya kuku kuwika. nikufa nita weza kufa, lakini siwezi ku kukana, na bana funzi bake bengine baka sema namuna. 35 Petro aka mujibu, kama nikufa nita weza kufa, lakini siwezi ku kukana kukukama na bana funzi bake bengine bakasema namuna 36 Kisha Yesu akahenda na bana funji bake fasi moya ina itwa Gethsemane na aka ambiya bana funzi bake, mwikale apa lakini miye maenda kule kuomba. 37 Aka beta Petro na bana funzi mbili batoto ya zebedayo, na aka anza ku uzunika na ku zorotika. 38 Kisha aka ba bambiya roho yangu ina uzuni mukubwa sana karibu ya kufa, mubakiye apa na muomba pa moya na miye. 39 Aka chofa mbele kidogo , kisha aka anguka kifulifuli na kuomba akisema baba yangu kama ina we zekana kikombe kiki kini pitiye mbali , lakini isikuwe kama vile miye na penda, lakini ikuweka ma vile we ye una penda. 40 Kisha akarudiya kuangaliya banafunzi bake na aka bakuta bote bana lala busingisi na aka mwambiya Petro, juu ya nini muna shindwa kuomba pamoya na miye ata saa moya. 41 Mukeshe na kuomba kwa sababu musiya ribiwe na shetani, roho iko na ngufu lakini mwili ni ya kulekeya 42 Yesu akarudiya tena kuomba na akisema baba yangu kama mambo iyi aiwezikane kuepuka ni kunywe tu kikomba iki, mapenzi yako ifanyike. 43 Akarudi tena, na aka kutu ba na funzi bake bana lala busingizi kwa sababu macho yabo ili kuwa yakuchoka. 44 Kisha aka ba lacha na akarudiya lwake kwenda kuomba mara ya tatu na akisema kama vile aliosema tena mbele. 45 Na kisha Yesu aka barudiliya bana funji bake na akambiya muna lala na muna enndeleya kupumuzika? Angaliya wakati ina eneya mutoto wa mutu atepewa katika mikono ya bapagano. 46 Mulamuke twende kwasababu ule ata nitowa eko karibu na kufika. 47 Na wakati alikuwa akingali nasema, moya wabanafunzi bake kumi na mbili Yuda akafika na kikundi kikubwa kya batu pa moya na bakubwa ya makuhani na bazee ya batu balikuwa na mipanga piya namikuki . 48 Na ule mutu ali mutowa Yesu alibapatiya ala ma akisema ule miye nita muso geleya na kumubusu joo Yesu mumu kamate. 49 Mara moya ali mosogeleya Yesu na akisema jambo mwalimu na aka mkumbatiya. 50 Yesu aka mwambiya rafiki fanya kazi yako uliendeya kufanya mara moya ba kamu kamata Yesu 51 Angaliya mutu moya aliyekuwa pamoya na Yesu, akanyolosha mukkono wake na ku chukuwa mpanga na aka mupika mutumishi wa kuhani mukubwa na aka mukamata lisikiyo . 52 Kisha Yesu aka mwambiya rudisha mupanga wako fasi uli itosa, kwasababu mutu wote mwenye ku uwa na mupanga na ata kufa kwa mupanga. 53 Muna wajiya kama siwezi kumu ita baba yangu na yeye atashindwa kuni tuniya zaidi ya na batalyani kumi na mbili ya baba askari ya bamalaika? 54 Lakini mambo yote iyi ina tendaka juu yaku timi liza ma andiko na ilipasha ku fanyika ivi ? 55 Na wa kati ule Yesu aka bambiya bantu bote bale juu ya nini muna kuyan na mipanga na mikuki, kuni kamata kama vile mwizi? Masiku yote nllikuwa ndani ya kanisa ni ka hubirta . 56 Lakini yote iyi inatendeka kwasababu ma tabini ya bana bii itimilike, na pale pale bana funzi bake baka mwacha naku mukimbiya. 57 Ba kamukamata Yesu na ba ka mupeleka kwa Kayafa mukubwa wa makushani wa fasi ya bahundi shi na bazee ya batu bali kuwa ba kikusanyika pamoya . 58 Lakini Petro ali mufwata nyuma kwa mbali mpaka kutribunale ya mukubwa wa mukuhani aka ingiya pamoya na bo kwa sababu ya kuona na muna kanibatamuteswa Yesu 59 Kwa lakini bakubwa ya makuhani na batu yote ya baraza, bakanza ku tafuta neno moya ya bongo yaku mudanganyiya Yesu kwa sababu ba mukuwe. 60 Aba kupata ata neno moya ya mubaya ingawa kulikuwa batu mingi ya ku mudanganyiya kisha batu mbili baka fika. 61 Na kusema mutu uyu alisema, ata weza kuvunja kanisa kwa siku moya na kuijenga tena kwasiku tatu. 62 Kuhani mukubwa akasibama na kumuliza hauwezi kujibu? Kwamambo yote bana kusemeya. 63 Laki Yesu asikumujibu ata neno moya mukubwa wanakuhani akamwambiya katika jina la Mungu, na kuomba utwambiye kama weye ni Kristo mtoto wa Mungu. 64 Yesu aka mujibu, weye mwenyewe undisha kusema yote , lakini na kwambiya , kwanza sasa na kwendeleya utamuona mtoto wa mtoto wa mutu mwenye kwikala kumkono 65 Mara muya mukubwa wa makahani akapusula manguo yake na akasema, ana zarawu Mungu, juu ya nini mukona chunga tena ushada wengine? Angaliya siye bote tuna musikiya ana muzarawa Mungu. 66 Aka bahuliya sasa muna sema nini? Bakajibu bote , anastahili kufa. 67 Na kisha bakamute mey a mate kubuso na kumupika ngume na kumupika makofi na mikono ; yabo. 68 Na ka mwambiya utu tabiriye weye ni Kristo, nani ana kupika ? 69 Na wa kati ule Petro alikuwa mwenye kwikila inje pembeni ya tribunale , na mutunishi moya mwana muke alifika pembeni yake aka muliza , na weye uli kuwa pa moya na Yesu wa Galilaya. 70 Lakini aka kana mbele yabo bote akasema sijuwe ata neno moya yenye ukpo nasema. 71 Wa kati akatoka inje ya lupangu mutumishi mwengine mwana muke aka sema , mutu uyu alikuwa pa moya na Yesu wa Nazareti . 72 Petro aka kana tena nakilapo akisema miye simujuwe uyu mutu 73 Kisha muda kidogo batu moya balikuya , bakusiba ma pale inji bakamwedeya bakisema na Petro kwa hakika weye ni mumoya wa mutuuyu kwa sababu ata kusema yako ina onekana. 74 Petro akanza kulahani na kulapa na kusema miye simufahumu uyu mutu na mara moya jogoo aka wika. 75 Petro akakumboka maneno Yesu ali mwambilyaka wakati jogoo ata wika uta nikana mara tatu.