Sura 28

1 Busubuyi sana, kwishakwa ilesiku yamana njo siku ya kwanza ya jumapuziko njosikuya kwanza ya juma, ule Malia waku Magadala na ule Malia mwingine wakalifika kule bangarie kaburi. 2 Mara moja, inchi ika tetemeka nguvu sana ni malaika wa bwana alishuka pale na kwikale yulu yayo. 3 yake ilianza kwangala sawa moto yaradi, na manguo alivwala bye upe sana sawa mayi makas. 4 Ba jamubakasikiya boka sana na bakaanguka kama bakufwa. 5 Ule malaika aka ambiya bale banamuke akasema: «musi tetemeke vile, naisha kujuwa muko natafuta uyu Jesu bali uwiya ku musalaba. 6 6Hana tena mukaburi, lakini ana isha kufufuka sawa vile alisema. Mukuye tu muone na penye Bwana alilalia. 7 Musikawiye, mwende muka baambiye banafunzi yake: «Ana isha kufufuka toka bafu, mu one, anamitanguria pale Galilea. Kule njo muta mu ona.» miye uyumi na miambia. 8 Mbiyo mbiyo, bale banamuke bakatoka pa kabuzi na boka uku tena na furaha bende baka oneshe banafunzi yake. 9 Mukurudia, Yessu akabatokelea na kusema nabo « Jambo yenu.» Pale tu bali muona bapika magoti ku mikulu yake na kumu abudu. 10 Njo Yesu naye aka babmbia:«Mutoshe boka. Mwende muka bambiye bandugu yangu bende ku Galilea, kule njo batanionea. 11 Ile wakati banamuke beko naenda, ba jamubakukaburi ya Yesu bakaingiya mu mugini na kusema nabakubwa bote mambo yote vile ili bafikiya kule 12 Wakati batumishi ba mu nyumba ya Mungu balisikiya, nabo baambiya bazee, kisha kubishana juu ya ile maneno, wata milomo yaba soda nafeza ya mingi sana . 13 Na kubapatia hii akiri: « mwambiye batu aseme banafunzi ya Yesu bali kuya bushiku pale sheye turilala, bana iba mwili wa Yesu. 14 Kama ata liwali anebishiya, tutamulandalanda juu mweyemu sipate mambo mukazi yenu. 15 Kwanza pale basoda balipakata feza, kafwata paka ile wawazo bazee bali bapatiya.Ile habari ya bongo ika tembeya paka pale. 16 Bale banafunzi bote kumi na moya bakaenda pale Galilea, pa ile mulima Yesu aliba oneshaka. 17 Pale tu balimuona, bamuabudu benye kupika magoti, lakini bengine nabo hanza kwichika aseme ni yeye. 18 Yesu aka chofea kule beko, akabambiya hivi:«Uwezo wote ba nani kaburia mumbingu mote napa dunia yote. 19 Mwende sasa mukaeuze batu bama kabila yote bakuye banafunzi yangu mwi ba batize kwa jina ya Baba na ya Mwana na Roho Mutakatifu. 20 Mubafundisha ba eshimiye ile mambo yote nili bafundisha. Na miye niko na mweye kila siku kufika ku mwisho wa dunia.