Sura 18

1 na mu yile wa kati tu, bana funzi balikuya kwa Yesu na baka sema "Nani iko mukubwa zayidi kwa ufalme wa Mungu?". 2 Yesu alihita mbele ya bo mtoto mudogo na aka musi ma misha kati kati yabo. 3 Na aka sema, kwa ukweli na bambiya kama amu badilike, na kukuwa kana batoto badogo, amuta ingia kwa ufalme wa mbinguni. 4 Ju ya ile, mtu mwenye ata jishusha kama mtoto ule njo mukubwa zayidi kwa ufalme wa mbinguni. 5 Na wule wote ata pokea uyu mtoto mudogo kwa jina la ngu, a me nipokeya. 6 Lakini bale bote bato sukuma aba batoto kidogo benye bana nila mini ba na fanya zambi, na inge kuwa muzuri kwake bamu funge lijiwe kubwa na ba mutupe ku baali. 7 ole kwa duniya sababu ya wakati wa nguvu! kwa sababu niye mala na sana iyi bitu bifike lakini ole kua wule mtu ii bitu bitatokele ya! 8 Na kama mukono wako ao mugulu wako iko kwako nfiya ya ku anguka, uyi kate na ku itupa mbali na weye. Ni mu zuri kwaka ku hi ngiya ndani ya ufalme wa mbingu ni bila macho wala bila mu gulu, kuliko baku tupe ndani ya moto ya milele na mikono yote na mugulu yote mbili. 9 Kama licho yako iko kwako nfiya ya kua nguka, ugitoshe na kuitupa mbali na weye. Ju ni mu zari kwa ko kuingiya mu ufalme wa mbingu na licho moya kuliko kutupa ku moto wa milele na macho yote mbili. 10 Fa nye angalisho, Ju musi one aba batoto bure. Ju na bambia, kule mbinguni, ba malayika yabo ba na ona sura ya baba yangu aliye mbinguni. 11 Kwa sababu mtoto wa mtu alikuaya ju ya ku ta futa bale benye bali poteya. 12 Mu na waza nini? Kama mtu eko na ko ndoo niya moya kisha moya ina poteya, a ye awazi acha makunitisa na tisa bingine yulu ya mulima fu ya kwenda tafutana na ile ina peya? 13 Na kama nayipata, kwa kueli na ba mbiya, ata furahi tena sana ju ya ile kuliko makumitisa na tila yenye ayiku poteya. 14 Na ivi, ayiko mapenzi ya Mungu baba yenu mwenyu iko mbinguni ju moya kubatoto yeke apoteya. 15 16 kama ndugu yako an kukoseya, wende, na umaweneshe makosa yake na mu kuwe niye mbili weye na yeye. Na kama ana sikuya, una weza. Na kama akusikiya, ukamate ndugu mbili tena ju kupitiya ma kinya mbili ao tatu ya ushuda, ukweli ita patikana. 17 Na kama an katala tena ku ba sikiya, ka mata meneno ile iyi bebe mu kanisa. Na aki katala pia ku sikiya kanisa, mu mu kamate kama mupagani na mwenye an lipishaka koodi 18 Kwa ukweli, na bambiya, ile yote mu ta funga a pa mu duniya na kule mbinguni ita fungiya na ile yote muta fungula apa muduniya nakule mbunguni ita fungiliwa. 19 Tena na bambiya, ka ma batu mbili ba na kubaliyana apa mu duniya ju ya kitu moja na kuilo mba, na bata ipata kwa baba yangu iko mbinguni. 20 Kwa sababu kwenye batu mbili ao tatu bana ku sanya kwa jina la ngu, niko kati kati ya bo. 21 Kisha, Petro aka kuya kwa Yesu na ku sema, "Bwana, mbala ngapi ni ta samee ndugu wagu kama anani fa ni ziya mabaya? Mupaka mbala saba? 22 Yesu aka mwambia," siku bambiya kama mbala saba, lakini paka ma kumi saba na saba kwa saba. 23 Kisha, ufalme wa mbinguni iko ka ma mfalme moya alipenda ku juwa vile batu mishi bake biko na tu mika. 24 Wakati alianza e sabiya bake mu leteya mtumishi moya mwenye alikuwa na nulomba talata elfu kumi. 25 Lakini vile vile akukuwa na kitu ya ku lipa, mfalme alisema ba muwujishe pamoya na bibi yake, pia na batoto yake na bitu yote alikuwa nayo ju alipe deni 26 Mtumishi alianguka, na kupiga magoti mbele yake na kusema, "Rabi uni siki liye uruma uvumi liye nita lipa yote." 27 Kisha mfalme wa wule mu tu mishi, ali mu sikiya uruma, aka mua shilia na deni yake yote. 28 Lakini ule mtu mishi alitaka na aka kutana na mwenzake moya mtumishi alikuwa deni yake ya denari mia. Aka mufunga, na ku shika ku shingo kisha ku singo kisha akasema " Unilipa deni yangu." 29 Lakini mwenzake mutu shi aka anguka chini na kumulomba akasema, " nisikiliye uruma na uni vuliliye ni ta kulipa." 30 Lakini mtu mishi wa kwanza alikatala, na ali mutia mu gereza, mu paka siku ata lipa ka deni yake. 31 Na wakati benzeke ba mukazi batu mishi baliona yenye ilipitikana, bali sikiya mubaya sana mu ma roho, na bali kuya na baka ba mbiya mfalme yote ilipitikana. 32 Kisha mfalme wa ule mtu mishi aka muyita na aka sema "Weye, mutushi mubaye, nili ku rumiya ma deni yangu yote ile ju uli milomba. 33 Nawe ye a wange sikiliya mwe nzako mtu mishi uruma vile miye nilikusikiliya uruma?" 34 Mfalme alisirika, na aka tupa ku mikono ya bali benye kutesa mu paka atalipa deni yote ye nye iko nayo. 35 Na ivi njo baba ya ngu wa mbuni ata ba fanizia kama ndo ni ye nu anusame yane na ba ndugu na roho moya."