Sura 17

1 Masiku sita kupita, Yesu aka beba Petro, Yakoba na Yohana ndugu yake, na kuenda nabo yulu ya mulima. 2 Aka badilika yabo. Suna yake ika geuka kama djuwa, na manguo yake inangara kama vile nuru. 3 3Na muone Musa na Eliya bana ongeya naye. 4 Petro akamujibiya na ku mwambiya Yesu: "Bwana, ni muzuri kwetu tu kwe apa. Ukapenda, Mita jenga aapa ma nyumba tatu, moya yako, moya ya Musa, na moya dju ya Elia". 5 Gisi alikwa na sema tena, angalia wingu ya kwangara ika bafinika ika ba finika, sauti moya ili toka wingu na kusema: " huyu ni mutoto wangu mupendwa, mwenye nina penda mumu sikiye". 6 Wakati bana funzi bakasikia ile, bakanguka mbele yabo na baka ogo pasama. 7 Kitcha Yesu aka kuya ku bagusa na kusema: "simama na usiogope". 8 Nabo baka lamucha macho yabo yulu nakini abakuona mutu kama aiko Yesu ye peke. 9 Wakati bali kwa na chuka ku kilima, Yesu aka bambiya kusema: " Musiseme iyi abariata kua mutu moya mpaka siku mutoto wa mutu ata fufuka ku bafwa". 10 Bana funguzi yake baka muliza bana sma: "dju nini bahandishi bana sema Elia ata kuya wa kwanza?. 11 Yesu aba jibuya aka sema: "kwa ukweli, Elia ata kuya na ata rudisha mambo yote". 12 lakini na bambiya: Elia alisha kuya, lakini mumu famiye. Bahati yake baka mufanya yenye balipenda. Na muna moya na mutoto wa mutu bali teseka ku mikono yabo. 13 Lakini bana funzi banasikia ana bambiya dju ya Yohani mubatisayi. 14 Wa kati balirudia kukikundi ya batu, mutu moya aka kuya mbele ya yasu, na kupiga magoti mbele yake. 15 Na akasema:" Bwana, umurumie mutoto wangu sababu ana kwaka na kifafa na ana teseka sana. Kwakuwa, ana angukaka mingi ku moto na ku mayi. 16 Mina mubeba kwa banafunzi yako lakini abakuweza kumu ponesha". 17 Yesu akajibiya: "Kizazi yenye ai amini na yakuaribika, mita ikala na mweye mpaka siku gani? mpaka siku gani mita ba vumilia? mumu lete apa". 18 Yesu aka mukemeya pepo mubaya na akatocha ndani yake kiyana aka pona ku ile wakati. 19 Kisha bana funzi baka zo geya mbele ya Yesu kusini na baka sema: " djuya nini atuku ba fukuza". 20 Yesu na bambiya kwa ukuli, kama muko na imani tu kidogo sa vile punje ya mbego, muna weza kwambiya ku ile kilima, "udji bebe kutoka apa na wende kule", akaji beba na akuna kitu kenye kita bashinda". 21 [Zingatia mambo ya mustari ya makumi mbili na moya " lakini, mapepo kama iyi ina toka tu ku moambi na kufunga]. 22 Kisha balikua ku Galilaya, Yesu ana ambiya bana funzi ivi: " bata pana mutoto ya mutu ku mikono ya batu, 23 Ma bata mu ua, na kusi ku ya tatu aka fufuka". Bana funzi baka kuwa na uzuni. 24 Wakati balifika Kapenaumu, batu benye bana lipishaka kodiya ya nusu shekeli dju ya kanisa, baka enda kwa Petro na kusema: "Je mwalimu wenu ana katala ku lipa kodi nusushekeli?". 25 Akasema: "diyo" wa kati Petro ali ingiya ku nyumba. Yesu amlisema wa kwanza na Petro akasema ivi: "nini una waza Simona, mufalme wa dunia, kwa na ni una pataka kodi ao ushuru? Kwa bo peke wala ku begeni?" 26 Wakati Petro ana jibiya: " kwa bengine" Yesu aka mambiya: "ivi bata waliwa bana toka katika kulipa. 27 Lakini dju ya ku tatala ku fanya mokosa (zambi), ku balipishi ya kodi, wende ku mayi, tupandobo ndani na utoshe sanati yenye ina kwa yakwa ku ndobo; wakati uta fungula kinua yake, uta ona shekeli moya. Kama tayo na uyi patiyi ba lipishi kodi sababu yako na miye".