Sura 19

1 Wakati Yesu alimaliza kusema maneno ile, akatoka Galilaya, na akaenda Yudea kupita mutoni ya Jordani. 2 Kikundi ya batu balimufuata na anaba ponyesha. 3 Bafarisayo balimufuata, bakamujaribu, na bakamuliza: "inarusiwa kufuatena na sheria kwa mutu kukatala bibi yake kwa sababu yote". 4 Yesu akabakibia na aka sema, hamu kusoma, kama mutu mwenye alibaumba kuanzia mwanzo, alibaumba mwanaume na mwana muke? 5 Na akasema tena: "njo maana, mwanaume ataacha baba yake na mama yake na ataungana na mwana muke wake, na bote bawili bata kwa mwili moja?. 6 Nyokwa maona habiko tena batu bawili, lakini bana kwa mwili mojao kwa hiyo, enye Mungu anaunganisha, mutu ata moja asiachanishe". 7 Bakamwambia: " ju ya nini basi Musa alituamuru (alituruhusu) kutosha barua ya kuwa bunyumba na kumufukusa"?. 8 Akabambia, kwa ugumu wenu wa roho, Musa aliba ruhusu kubapa ba bibi wenu barua ya kuvunya bunyumba, lakini ku mwanzo, haikukuwa vile". 9 Na bambia: "kama mutu yote ataacha na bibi yake kama haiko ju ya uzini, na anaoa mwingini, amezani. Bwana mwenye atamoa wa bibi uyu amezani". 10 10Bana funzi bakamwambiya Yesu, kama muzuri kuoa. 11 Lakini akabambia, "haiko mutu yote njo ana weza kupokea mafundishi iyi, lakini bale benye bana rusiwa kuiyapokea. 12 Kwa vile njo bako batowashi benye balizalika kutoka mu tumbu ya bamama yabo. Na vile vile kuna batowashi benye balifanya na batu. a kuna batowashi benye balifanya matowashi ju ya ufalme wa mbinguni. Acha mutu yote mwenyte ana uwezo ya kupokea mafundisho hiyi na upokee. 13 Kisha wakamuleta watoto kidogo ju abatilie mikono na ku baombea, lakini wana funzi baka bafukuza. 14 Bali Yesu akasemea: " acha batoto ba dogo na musibakaze bakuye kwangu, kwa kuwa ufalme wa mbinguni ni ya kama bao. 15 NA akaweka mikomo yake yulu yabo, na kisha akatoka pale. 16 Angali, mutu moya alikuya kwa Yesu na akasema: "mwilimu, ni fanye nuni ju nipate uzima ya milele" 17 Yesu aka mwambia, "Ju ya nini unaniulisa hivi?juna mutu moya mwenye anastaili, lakini kama unapenda kupata uzima, kamata sheria ya Mungu. 18 Ule mutu akamuliza, "ni sheria ganria?" Yesu akasema, "usiwe, uzini, usiibe, usishu hudie uongo, 19 Uheshimu baba yake na mama yako, na upendi jina ni yako kama unajipende mwenyewe". 20 Yule mutu aka mwambia: "mambo ya yote nimeyatii. Inanibakilia tena nini?" 21 Yesu akamwambia, "kama unapenda ukuwe mukamilifu, wende uuzishe bitu yako yote, upatie bamasikini, na utakuwa na hazani mbinguni, na utakuwa na hazani mbinguni. Kisha kuya unifuate". 22 Lakini wakati yule kijana alisikia ile enye Yesu alimwambia, akatoka kwa huzuni, kwa sababu alikuwa na mali mingi. 23 Yesu aka bambia, ni magumu ku mutajiri kwingia katika wa mbingini. 24 Tena na baambia, ni rahisi kwa ngamia kupita ndani yu tundu la simdano, kuliko kwa mutajiri kuingia katika ufalme wa mungu. 25 Wakati bana funzi balisikia hiyi neno, baka shangala sana na bana sema; "nani basi mwenye atapona?" 26 Yesu aka baangalia na kusem, "kwa banadamu hile hai wezekana". 27 Kisha Petro aka mujibu na akamwambia, " tunaocha yote na tunakuata wewe. Tutapata nini?" 28 Yesu akamwambia, "ju kweli na maambia, niye benye bulinifuata, katika uzao mupya wakati mwana wa Adam ataikala mu kiti ya enzi ya utukufu yake, niny vite mutaketi julu beti kumi na mbili ya enzi, kubahukumu makabili kumi na mbili ya Israeli. 29 Kila mutu ndani yenu mwenye ataacha bitu yake yote ju jina yangu, atapata mala mia na ku urith uzima wa milele. 30 Lakini mingi batikuwa ba kwanza sasa, batukuwa bamwisho, na bawisho bata kuwa bakwanza.