Sura 14

1 Kwa ile wa kati, Herodia alisikia habari ya Yesu. 2 Aka ambia batu mbishe: «ni yoha ne mu ba tizai djo anafufuka ku ba fwe. djo mana nguku ina tumika ndani yake». 3 Kwa kuwa, Herode ali mufunga yohane na ku mutu ma ku gerza kwa dju ya Herodia, bibi wa ndugu ya Filipo. 4 Dju yohane ali mwambiya: « ai kurusi wa ku sheriya ku beba uyu mwana muke kama bibi yake. » 5 Herode alipenda ku muwa, lakini ali kua na ogopa batu, kwa sababu bali muona yohani ka ma vile mu nabii. 6 Lakini wa kati siku ya kuzaliwa ya Herode ilifika, binti wa Herodia ali cheza ndani ya batu na ku mu pe ndeza Herode. 7 Katika, wa kati ya ku mujibiya aka mu laga kitu kwa ku mu la piya dju ya tu mu patiya yote yenye ata mulomba? 8 Baada ya kupata shauri kwa ma ma yoke, akasema: « uipatiye miye apa, dani ya sahani kitshwa ya Yoane mu batizaji.» 9 Mufalme aka tshangani kwa dju ya kulamba ya binti, lakini dju ya ku lapa ya ke, na dju ya bote benye bali kwa na ku tchakula ya mu tchana, aka rusu ile ifanyike. 10 Aka tu ma baende kata kitcha ya Yoane ku gereza . 11 Na kitcha yake bakaileta ndani ya sahani na ba ka mu patiya uyu binti, aka ibebeya ma ma ya ke. 12 Kitcha, banafunzi ya ke ba kafika ma kuanza ku liya muili ma ba ka muzika. nyama ya iyi, ba kaenda na baka mwambiya Yesu. 13 Wa kati Yesu aka sikiya ile, ata ditacha kule, ndani ya mutumbu, dju ya kuenda fasiyake peke wakati ki kundi ili yuwa fasi ilikwa, batu bali kwa na toka ku midini dju ya ku mufuta ku migulu. 14 Na Yesu aka simama mbele yabo na kaona kikundi ya batu. Aka basikilia huruma na ku ponesha benye ba gondja yabo. 15 Wa kati ya magaribi, ba nafunzi ba ka kuya kwake na baka mwambiya: « iyi fasi ni ku pori, na wa kati ina pita Rudisa kikundi dju baende ku mungini ku diuziya tshakula.» 16 Lakini Yesu aka ba mbiya: «Abana hamu ya kuenda. Mu bapatiye mweye peke kitu ya ku kula. » 17 Ba ka muambiya: « Tu ko apa tu na mikate tano na samaki mbili. » 18 Yesu aka sema :« Muni leteya ayo. » 19 Yesu aka mbiya ki kundi bai kale ku mayani. Aka beba mikate tano na samaki mbili. Aka ngalia ku mbingu ni, aka bariki mikate na kui kata na ku patiya banafunzi ya ke, ba ka gabuliya ki kundi. 20 Ba ka kula bote na kishiba. Kisha baka beba mikate yenye ili ba kiya, bitunga kumi na mbili ya ku yala. 21 Benye balikula bali kwa karibu batu milioni tano, kutosha banamke na manaume. 22 Ku limoya kish, akaba pandisha banafunzi yake ku mutumbu dju baende mbele ku ngambo ingine, wa kati ye ke ikona rudisha kikundi. 23 Baanda yake ku rudisha kikundi, ata panda ye peke ku mulima dju ya ku lomba. Wa kati magaribu ili fika, alikwa pale yepeke. 24 Lakini mutubu, pa kati kati ya mayi, ikakwa na yumba yumba kwa sababu ya ma wimbi, dju pepo ile kwa na kuya ngambo moya. 25 26 27 Katika busa buyi ya zami ya mara in ne, Yesu aka ba zogeleya, muku tembeya dani ya mayi. Wa kati ba nafunzi yake baka muona mukutembeya yulu ya mayi, ba kasi kiya baka na ba ka sema: « Uyu ni muzimu», na baka lala mika dju ya boga. Lakini Yesu aka ba semeya mara moya na aka ba mbiya: « Muji patiye moyo! mu siogope. » 28 Petro aka mujibiya na ku sema: «Bwana, kama ni weye, unya mbiye ni kuye karibu ya mu ku te mbeya ku mayi. » 29 Yesu aka sema : «Kuya»! kisha, Petro aka toka ndani ya mutumbu na aka tembeya yulu yami dju ya kwenda karibu ya Yesu. 30 Lakini waka ti Petro aka ona mupepeyo, aka ogopa. Na akanza kuzama chini ya mayi, aka lala mika: «Bwana, ni poneshe! » 31 Kwa mbiyo Yesu aka nyorisha mukono yake na kumu bamba kumu kamata Petro, na aka sema: « Mutu wa imani kidogo, dju ya nini ukona pinga? » 32 Na wa kati Yesu na Petro bali banda ku mutumbu, mu pepe yo ika si ma ma. 33 Kisha banafunzi benye bali kwa ndani ya mutumbu baka muabudu Yesu na kusema: «Kwa ukweli; uko mtoto wa Mungu ! » 34 Wakati balienda ku vuka ku ngambo ya mayi, baka sima ma ku Genesareti. 35 Wakati batu ba ile fasi ba ka mu yuwa Yesu, baka tu mana mi dju mbe fasi yote ku migini ya pembeni, pembeni « kando, kando», na ba ka mu leteya wote mwenye ali kua na ma godjua. 36 Baka mu bembeleza dju baguse maguo yake ma bote menye bali mugusa bali pona.