Sura 13

1 Kwa ile siku, Yesu alitoka mu nyumba ile arianza kufundisha pebeni ya bahari. 2 Batu mingi barimujungu laka na aringia mu mutumburi na anaikala. Na kundji ya batu barikuya baikuya tu ku kavu ya bahari. 3 Kisha Yesu aribambiya maneno mingi mu mifano: «Angariyeni mupandaji ana ende kupanda mbegu.» 4 Wakati alianza kupanda mbegu, na yingine ile angukiya kumpembeni ya njia. Kisha ba ndege bakaikula. 5 Ingine mu mayibwe na bulongo ilikuya kiloko. Na alichofa tena sababu bulongo iriku ya murefu. 6 Na wakati jua ili toka, nabile baripanda birika uka baribichoma sababu mijiji ili kauka. 7 Ingine iriangukia mu nuba, na miba wakati ili ko meya ilijifunga. 8 Na ingine mbegu iliangukia pa bulongo muzuri na irizala matunda, ingine miya moja kupita, yingine mumi na shita, na ingine kumi na tatu. 9 Wa mashikiyo ashikiye. 10 Banafunzi bana kuja kwa Yesu na ku mwambia: «Kwa nini unasema paka mifano ku kintunju?» 11 Na aribajibu na kuwaombiya : « mweye munapewa upendeleo ya ku jwa (siri) uficho ya bu falume wa mbingu. Sabu bo habakuyi pokeya.» 12 Kwa ule eko nayo batamu ongezea tena, lakini kwa ule hana nayo, na bata mutosha tena ile eko nayo. 13 Alianza tu kuba ambiya mumifano. Kama bo bana ona, banaona lakini haboone, bana shikiye lakine habashikiye tena. 14 Naifayiunabii wa nabii Isaya: mutashikia lakini hamutayi pokeya. 15 Na ma roho yabo ili ku ya bila uzima, sababu mashikiyo yabo ilikuya nguvu kushikiya na macho yabo irifungiwa, na ma roho yabo ilikosa kufuata, sababu barudiye na ba tunze. 16 Ibarikiwe macho yenu na ione, na mashikiyo yenu ishikiye. 17 Kwa ukweli nibambiya, ma nabii wengi na benye ukweli baripenda baone mambo hiyi na ba kuyione, nabali penda kuyisikiya na bakuyisikiya. Abakuyi sikia ata kiloko 18 Musikiye mufano wa mupandaji mbego. 19 Kama mutu anasikiya sauti sababu ya ufalme, nahayi sikiye, na shetani ni mukalamushu ata tuya kuyiba ile inaisha kupandiwa ndani ya ma roho yao. Ni sawa mbegu ili anguka pembeni ya injia. 20 Na mbegu ile irianguka mu mayibwe, ni ule ana sikiya sauti na kuyipakeya wepesi kwa furaha munene. 21 Na pasipo mijiji na kuvumilia kwa wakati kidogo. Kama mateso na kusumbuwa inafika kwa sababu ya sauti la Mungu, na wana jikwala wepesi. 22 Ingine ilianguka mumiba, ni ule auaisikia sauti lakini mashaka na udanganifu ya dunia na mali ina songewa kwa sauti la Mungu na hayizale tena matunda. 23 Na mbegu ingine ilianguka mu bulongo muzuri, nikwa ule auasikiya sauti ya Mungu, kwa uhaki ni ule auazala matunda nzuri. Na auailima te; ingine mara mia moja kupita, ingine makumi sita na ingine makumi tatu ya kuyi tengeuza. 24 Yesu aliwaletea mfano na anasema : « Kwa ni ufalme wa mbingu unafanona na mutu yule alipanda mbegu muzuri katika mashamba yake. 25 Na wa kati watu wali lala, na adui yake na ye alikuya kupenda mbegu mubaya na akaenda lwake. 26 Wakati mbegu ili kumeya na ili zala matunda yake, majani mu baya ili one kana tena. 27 Ba tu mishi ya mwenye shamba barikuya na ku mwa mbia: Mwalimu, haukitima matunda muzuri mushamba yako? Kwa nini unapata majani mubaya? 28 Na aka wambiya :«Ni kazi ya adui.» Na watumushi walifibu: "Unapenda twende tubi toshe?" 29 Mwalimu akajibu " Apana, musitoshe magugu Aababu mutaweza kutosha ngano." 30 Muache magugu na ngano iko meye pamoja mpaka waka wa mavuno. Na wakati ni ta sema na muvunaji : «Muitoshe kwanja magugu, » muyi weke fazi moja na mu yi funga pamoja ju ya kuichoma, na kisha muchanga ngano pamoja na ku yi weka mu gala. 31 Kisha aribambiya mufano ingine na ku sema : « Ufalme wa mbingu umefanana na mbegu ya mutarde (haradali) kama mutu aribeba na kuyipanda mu mashamba yake.» 32 Mbego hiye keko kaloko kupita ma mbego yote. Makisha kukomeya kwayo, ilikuya muti munene ndani ya ma shamba. Na mandeke barianza kuya na kuweka bisangala biaba kutu miti kiloko. 33 Yesu aribambiya mufano ingine tena : « Ufalme wa mbingu unafanana na chachu ile mwana moja aribeba na auaichanga mubipimo bitatu biabunga ivimbe. 34 Yesu arifundisha tena kinkuandji na arisemeya tena paka mumifana. 35 Na irikuya tu ju yeneshewe mubile na bii aribitangazaka : « Mita fungula kinua changu na mitasema mu mifano mubitu bile bia kufichama tangu mwanzo wa dunia. » 36 Na kisha Yesu kutuma kinkundji ya batu, na arieuda munyumba, ba tumishi bari muchofeya na bari anza kumwambia: «Utwelezeye mufono huji ya magugu ya mu mashamba.» 37 Yesu aribajibu : « Ulearipanda mbegu ni mwana wa mutu. 38 Na mashamba ni dunia. Na mbegu muzuri ni batoto yo ufalme wa mbingu. Na magugu ni batoto ya shetani. 39 Na adui aripanda magugu ni shetani. Na mavino ni mwisho wa dunia. Na bavinaji ni ba malaika. 40 Na mo jani mubaya batayi funga fazi moja na kuyi choma, ita kuya mwisho wa dunia. 41 Na mutoto wa mutu ata tu ma wa malaika, kwa kumata ufalme yake kwa maneno yote ya zambi, na bale benye kutenda ma kosa. 42 Na atabatupa mu chungu yaa moto ya nguvu, kule kuta kuya kuria na kusaga kumeno. 43 Na benye kweli bata angala sawa jua mu ufalme wa Baba yao. Na ule eko na mashikiyo ashikiye. 44 «Ufalme wa mbingu unafanana tena sawa mali ya ku fichika ndani ya ma shamba.» 45 Tena ufalme wa mbingu ni sawa mwenye kufanya biashara ya beyi. 46 Na wakati ana ivumbula ile mali ya beyi mingi na awa yi zusha 47 Ufalme wa mbingu una fana nisha tena na makila ile bantupa mu maji ya bahari, na inabamba kila semeki yote ya kuachana. 48 Kisha bana anaiweka mu bitunga bizuri, na samaki ya yote ile ya mubaya bariitupa. 49 Njo vile itakuya siku ya mwishe. Na ba malaika batakuya pale Mungu ata hukunu batu na kuba ka bula na benye kuya na uwaki. 50 Na bata bata tupa uki jibo ya moto ya nguvu, mule mutakuya kuria na kusaga meno. 51 «Namuna bisikiya muzuri?» Na ba tu mishi ba kamujibu: 52 «Ndiyo, tu na bishi ki ya.» Na Yesu akawambia: « kila mwanjikaji ata mufwanya mwana funzi wa ufalme wa mbingu na mutu yule anafanana na nyumba inakuya na bitu bia zamani na bitu bia sasa kama mari yake. 53 Kisha Yesu alimaliza ju ya mifano yote, na aka ondaka pa ile fazi. 54 Na kisha Yesu aringiya mu mugini na akaanza ku wa fundisha mu sinagogi yao. Bale bariishiya barikaanza kushanga na kusema: « Wapi ku na tokea hekima ya huyu mutu na muijiza?» 55 Huyu mutu ana mutoto wa mufwanya ma mbao? Na mari ashikukuye mama yake? Yakobon Yusufu, Simeoni na Yuda abakukuya banduku yake? 56 Na ba dada tena haba kukuya katikati yetu? Sasa huyu mutu anatosha wapi hiyi maneno? 57 Baliona kama vile auaba songeya, lakini Yesu aka wambiya: « Mutu haba muitika kwabo wa mu inchi yeke». 58 Na haku fwanye miujiza mingi pale sababu ya mioyo migumu yao.