Sura 12

1 Siku ya sabata Yesu alionda kupitia mashamba. Wanafunzi wake balikuwa na njala na bakaanza kukati masuke na kuya kula. 2 Bafarisayo banabaona na bana mwambia Yesu: " wana funzi wako banafanya enye sheria inakataza siku ya sabata. 3 Yesu a mabambia: "bado hamujiasona enye Daudi alifanya wakati alikuya na njala yeye na batu benye alikuwa nabo? 4 Namuna jinsi aliingia ndani ya nyama ya Mungu na kula mekate ya wanyesho, enye, kitu yenye sheria ilimukatalia yeye na watu wenye wa likuwa na ye lakini ilikubaliwa kwa makuhami. 5 Na hamuyaisona ndani ya sheria kama siku ya sabato makuhani ndani ya hekua huinajisi sabato lakini habana hatia ? 6 Lakini bambia mwenye iko mukubwa zaidi ya iko mukubwa zaidi ya ikolu iko apa 7 Mungejua maanaa ya iki ningipenda uruma lakini na katala alhabibu hamungeangsha bale beyne habana atia . 8 Kwa sababu mutoto wa mutu njo bwana wa sabata. nyuma yapa Yesu akatoka pale na akoingia ndani ya simagagi yabo. 9 Nyama yapa Yesu akatoka pale na akoingia ndani ya sinagogi yabo. 10 Apo kulikuwa mutu moja mwenye alioza mukono. Mofarisayo banamuliza Yesu banasema: " sheria inanuusu kupanye sha mutu siku yan sabata ?" Ju bamustaki kama anafanya alhomba . 11 Yesu akabambia " nani ndani mwenu mwenye ananguka ku shimu siku ya sabato? 12 Mara ngapi mutu iko na maana kumshinda koondo kwani iko muzuri ;kufanya muzuri siku ya sabato 13 Kisha yesu ana mwambia ule mutu "nydosha mukono wake aminyoosha, na aka pana kwa liomoya. 14 Bafarisayo bakatona na kapanga jinse ya kumufanya mubaya. 15 Yesu alie lewa oya mipango, akatoka pale . watu wingi walimufuata na walipona wote. 16 Aka bambia basiambie batu gegine. 17 Ju itimike ile enye ilisema na nabi . Isaya, akasema. 18 18Uzu njo mutu misha wangu wangu yule mwake nafasi yangu nilimuchagua, mpendwa wangu yulu mwake na fasi yangu inapendeza. Nitatia roho yango yule yake na atatangaza (wali ataubiri) hukumu kwa mataifa (wa pagano). 19 Halatomboka walea kulia kwa nguvu , na hakuna ata mutu moya mwenye ata sikiya sauti yake mitaoni (mu manjia) . 20 Havunja ata tete moyo enye enye inatosha moshi mpaka ataleta hukumu ikashinda. 21 Na mataifa batakuya na ujasiri ndani ya jina yake. 22 Balimuleta Yesu mutu moya wa kipofu na bu mwe mwenye alikuwa na basimu. Anamuponyesha pamoja na matekeo ya kama mutu bubu anasema na kuona. 23 Kikundi yote banashangola na banasema " inawezekana uyu mutu akuwe mwana wa Daudi . 24 Walifalisayo walisikiya kuusu aya muujiza wakasema uyu mutu ana futukuza mapepo kwa nguvu yake mwenyewe Belzebuli, mukubwa wa mapepo. 25 Lakini Yesu alijuwa mawazo yabo na akambia " ufalme yote enye inangawanyika peke yake inaomba baiyovunje na kila muji au nyumba enye enagawanyika pekeye houtasimama. 26 Ikawa shetani atafukuza shetani, basi anajipinga katika nafsi yake mwenyewe kwani ufalme wake uta simama je? 27 Na kama mafuta mapepo kwa nguri ya Belzebuli, na kwa nji ya nani bafuasi yenu batabafukuza? Ju ya ile, bata sambishwa 28 Kama nafukuza mapepo kwa nguri ya roho wa mungu basi mufalme wa Mungu anakuya kwenu . 29 Na itafanyikana je mutu majo aingie ku nyumba ya mutu wa nguri na kuiba bitu biake kama bado akumufunga mbele? Njo atajiba bitu biake yote. 30 Mutu yote mwenye haiko pamoja na miye iko kinyune yangu na yeye pia hatakusanya na miye pa moja. 31 Kina hiyo nabambia dhambi yote na kufunu batu batasamehewa, lakinki ku furu wa roho mtakatifu hatasamehewa. Na mutu yote atasema kinyume cha mwana wa Adamu atasemekwa. 32 Lakine ule mwenye atasema kinyume na roho mtakatifu , yule hatasomewa ikuwe katika iyi dunia na katika dunia enye itakuya. 33 Mukifanya muti nzula na matunda nzuli pîa, na kama mukifanya muti mubaya na matuunda yake vile itakuwa mubaya kwa sababu banajuwaka muti na matunda . 34 Kizazi kya nyoka nyi, batu babaya, mwanagani mutasema mambo muzuri kwa sababu kiniwa insema kwa kuyuza kwa roho. 35 Mutu mwena anatosha mazuri zanye ziko ndani ya roho yake ; na mutu mubaya anatoshabia mubaya zenye ziko ndani yake. 36 Na bambia sku ya lukumu, batu mingi batambua masemo yote enye haina maana enye balikwasema. 37 Kwa kuwa kwa masemo yenu itahesabiwa haki na kwa maneno yenu ita samehewa. 38 Kisha ba noya wa baandishi na bafarisayo banamujibia Yesu na bakasema: " Mwalino tuna penda utuonyeshe ishara " . 39 Lakini anajibia na kubaambia, kizaki kibaya na kya zimaa banafuta ishara. Lakini hakuna ishara yenye itapewa tena kuacha ishara ya yema nabii . 40 Kama vile yona alifanya siku tatu mu tumbu ya samaki, njo vile mutoto wa nchi keva siku tatu muchana na busiku 41 Batu ya Ninive batasimama siku ya hukumu na hiki kizazi na atabahukumu. Kwa sababu balitubu kwa huburi ya Yona na angalia , mutu moyo mukubwa kumushinda Yona iko apa. 42 Matia wa kusini atasimama siku ya hukumuna watu wa kizazi hiki na atabahumu. Alitoka ku mwisho wa dunia zuya kusikia hekima ya sulemani, na angalia kuna mutu mja hapa kumishinda kwa mbali sulemani. 43 Wakati mapepo muchafu anatoka ndani ya mutu itapita kwenye hakuna mayi ju ya kutafuta fasi ya kupumuzika, hakini haune . 44 Kisha atasema nitarudie nyumbanu ni mwangu kwenye nimetoka " na wakati 45 aturudia anakuta nyumba imesafishwa na iko tayari . Kisha atarudia na kukamata mapepo saba nyingine kumushinda yeye, na bote batakuya kuikala mu nyumba, njo maishaya uyu mutu itakwa tena mubaya kushinda maisha yake ya kwanza . Njo vile itakuwa na kizazi hiki kibaya 46 Wakati alikuwa anaongea na umati (kindikwa batu), mama yake na wa ndugu wake waliza mama inje wakafuta kuona na ye . 47 Mutu moya akamwambia, angalia mama na wanduku wako wapo inje, wana kiyo kuongeo na weye 48 Lakini Yesu onamujibia na aka mwambia : " ni nani mama yangu na wa ndungu zangu ni wa nani ? . 49 Kisha akanyosha makona wake kwa wanfunzi wake na akasema :" angalia aba njo mama na bandungu wangu. 50 Kwa mutu yote mbinguni huyo matu njo ndugu yangu dada na mama yangu.