tafsiri inaorodhesha tukio pamoja na Farao katika mpangilio, wakati tafsiri zingine huorodhesha matukio kama mwandishi alivyoandika.
"Watumishi wako wanafuga mifugo"
Ndugu wa Yusufu wanajitambua kama "watumishi wako". Hii ni njia rasmi ya kuzungumza na mtu mwenye mamlaka makubwa zaidi. Hii inaweza katika lugha ya mtu wa kwanza. "Sisi, watumishi wako" au "Sisi"
"wote sisi na baba zetu" au "wote sisi na mababu zetu"
"Tumekuja kukaa kwa muda mfupi Misri"
"Hakuna nyasi ya kula"
Hii haimaanishi "katika kipindi hiki" lakini inatumika kuvuta nadhari kwa lengo muhimu linalofuata.
"Nchi ya Misri ipo wazi kwako" au "Nchi yote ya Misri ipo wazi kwako"
"Muweke baba yako na ndugu zako katika nchi ya Gosheni, ambayo ni sehemu bora zaidi"
Inasemekana ya kwamba walikuwa na uwezo wa kuchunga wanyama. "Kama unawajua wanamume wowote miongoni mwao wenye uwezo wa kutunza mifugo"
Hapa "kubarikiwa" ina maana ya kuonyesha hamu ya mambo chanya na yenye manufaa kutokea kwa mtu huyo.
"Una umri gani?"
Msemo wa "miaka ya safari zangu" ina maana ya muda ambao aliishi duniani akisafiri kutoka sehemu moja hadi nyingine. "Nimesafiri duniani kwa miaka 130"
Yakobo ina maana ya kwamba maisha yake ni mafupi kulinganisha na maisha ya Abrahamu na Isaka.
Yakobo ameonyesha maumivu mengi na matatizo wakati wa maisha yake.
"Kisha Yusufu akamweka baba yake na ndugu zake na kuwasaidia kuimarisha sehemu watakapoishi"
Hili ni jina la nchi ya Gosheni.
Hapa, neno "wahitaji" lina maana ya watoto wadogo katika familia. "kulingana na idadi ya watoto wadogo ndani ya familia zao"
Neno hili linatumika hapa kuweka alama ya pumziko katika zimulizi kuu. Hapa mwandishi anaanza kuelezea sehemu mpya ya simulizi.
Hii ina maana ya watu wanaoishi katika nchi hizi. "watu wa Misri na watu wa Kaanani"
"ikawa nyembamba na dhaifu"
"Watu wa Misri na Kaanani walitumia pesa yao kununua nafaka kutoka kwa Yusufu"
Inawezekana Yusufu aliwaamuru watumishi wake kukusanya na kuleta ile pesa"
Hapa "nchi" ina maana ya watu wanaoishi katika nchi zile. Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "Pale ambapo watu wa Misri na Kaanani watakapomaliza pesa yao yote"
"kutoka katika nchi ya Misri na kutoka katika nchi ya Kaanani"
Watu walitumia swali kuweka msisitizo jinsi gani walivyokuwa na haja ya kununua chakula kutokana na kukata tamaa. Swali hili linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Tafadhali, usituruhusu tufe kwa sababu tumetumia pesa yetu yote!"
Hapa "mkate" una maana ya chakula kwa ujumla. "Aliwapatia chakula" au "Aliwagawia chakula"
"watu wakaja kwa Yusufu"
Watu wanamtambua Yusufu kama "bwana wangu". Hii ni njia rasmi ya kuzungumza na mtu mwenye mamlaka makubwa. Inaweza kuwekwa katika lugha ya mtu wa pili. "Hatutajificha kwako, bwana wetu" au "Hatutajificka kutoka kwako"
Hapa "machoni" ina maana ya Yusufu mwenyewe. "Hatuna kitu kilichobaki kukupa, bwana wetu"
Neno la "macho" lina maana ya macho ya Yusufu. Watu hutumia swali kuweka msisitizo jinsi walivyo na hamu ya kununua chakula. swali hili linaweza kutasfiriwa kama kauli. "Tafadhali usitazame tu tunavyokufa na nchi yetu inaharibika!"
Nchi inakuwa haina faida na inaharibika kwa sababu hakuna mbegu ya kupanda; kwa hiyo inazungumziwa kana kwamba nchi itakufa.
"Kwa hiyo nchi ikawa ya Farao"
"Lakini hakununua nchi ya makuhani"
"Posho" ni kiasi cha pesa au chakula ambacho mtu hutoa mara kwa mara mtu mwingine. Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "Farao aliwapa makuhani kiasi fulani cha chakula kila siku"
"Walikula kutoka kwa kile ambacho Farao aliwapatia"
"ili muweze kupanda"
Neno la "tano" ni sehemu. "Wakati wa mavuno utagawanyisha mazao katika sehemu tano. Utatoa sehemu moja kwa Farao kwa ajili ya malipo na sehemu nne ni kwa ajili yenu"
Unaweza kuwekwa wazi taarifa inayoeleweka. "kwa chakula kwa ajili ya nyumba zenu na kwa chakula kwa ajili ya watoto wenu"
Hapa "macho" ina maana ya fikra na mawazo. "Na ufurahishwe na sisi"
Hii ina maana ya kwamba mtu anakubalika kwa mtu mwingine.
"katika nchi ya Misri" au "katika nchi yote ya Misri"
Hii ina maana katika kipindi ambacho mwandishi alikuwa akiandika haya.
tano**- Neno la "tano" ni sehemu. "Wakati wa mavuno utagawanyisha mazao katika sehemu tano. Utatoa sehemu moja kwa Farao kwa ajili ya malipo na sehemu nne ni kwa ajili yenu"
Neno "kuongezeka" linaelezea jinsi walivyokuwa "wamezaana". "Walikuwa na watoto wengi sana"
Hapa "kuzaa" ina maana ya kufanikiwa au kupata watoto.
"miaka 17"
miaka saba** - "kwa hiyo Yakobo aliishi hadi umri wa miaka 147"
Hii inazungumzia juu ya muda kana kwamba inasafiri na kutua mahali. "Muda wa Israeli kufariki ulipokaribia"
Hapa "machoni" ina maana ya fikra na mawazo. "Kama nimepata kibali na wewe" au "Kama nimekufurahisha"
Hii haimaanishi "katika kipindi hiki" lakini inatumika kuvuta nadhari kwa lengo muhimu linalofuata.
Hii ina maana ya kwamba mtu amekubalika na mtu mwingine.
Tendo hili ni ishara ya kufanya ahadi ya dhati.
Nomino inayojitegemea ya "uaminifu"na "kweli" zinaweza kutafsiriwa kama vivumishi. "nitendee kwa namna ya uaminifu na kweli"
Neno "tafadhali" linaongeza msisitizo kwa ombi lake.
Hapa "kulala" ni njia ya upole ya kumaanisha kufa. "Nitakapokufa na kujiunga na wa familia yangu waliokufa kabla yangu"
"Niahidi" au "Fanya kiapo kwangu"
"allimuahidi" au "alifanya kiapo kwake"