"alikuja Beersheba"
"Ndio, ninasikiliza"
Ilikuwa kawaida kutumia msemo wa "shuka" kuzungumzia safari ya kutoka Kaanani kwenda Misri.
Hapa "nitakufanya" ni katika umoja na una maana ya Yakobo. Hii "nitakufanya" pia ina maana ya uzao wa Israeli ambao watakuwa taifa kubwa. "Nitakupatia uzao mkubwa, nao watakuwa taifa kubwa"
"huko Misri"
Ahadi ilifanywa kwa Yakobo, lakini ahadi hii ingetimizwa kwa uzao wote wa Yakobo. "Hakika nitaleta uzao wako kutoka Misri tena"
Ilikuwa kawaida kutumia msemo wa "kupanda" kuzungumzia safari ya kutoka Misri kwenda Kaanani.
Msemo huu "akayafunika macho yako kwa mikono yake" ni njia ya kusema ya kwamba Yusufu atakuwepo pale ambapo Israeli atakufa na Yusufu atauafumba macho ya Yakobo katika kipindi cha kifo chake. "Na Yusufu pia atakuwepo pamoja na wewe katika kipindi cha kifo chako"
Ilikuwa ni utamaduni kufunika kope za macho pale mtu anapokufa na macho yake wazi. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi.
"kuwekwa kutoka kwa"
"Mikokoteni" ni gari dogo la abiria na mizigo lenye magurudumu mawili au manne. Wanyama huvuta mikokoteni.
"ambazo walikusanya" au "waliopata"
"Yakobo akaja pamoja nao"
"wajukuu wake"
"wajukuu wake wa kike"
Hii ina maana ya majina ya watu ambao mwandishi anataka kuwaorodhesha.
"ya watoto wa familia ya Israeli"
Haya ni majina ya wanamume.
Hawa walikuwa wana wa Yuda kwa mke wake, Shua.
Hawa walikuwa wana wa Yuda kwa mkwe wake, Tamari.
Haya ni majina ya wanamume.
Hili ni jina la binti wa Lea.
watatu** - Hapa "wanawe" na "mabinti" ina maana ya wana wa Yakobo, mabinti , na wajukuu wenye uhusuiano na Lea. "Kwa pamoja alikuwa na watoto 33, mabinti na wajukuu"
Haya ni majina ya wanamume.
Hili ni jina la mwanamke
Hili ni jina la mtumishi wa kike wa Lea.
Hii ina maana ya watoto 16, wajukuu, na watukuu ambao walikuwa na uhusiano na Zilpa.
"Asenathi" ni jina la mwanamke ambaye Farao alimpa Yusufu kuwa mke wake.
"Potifera" ni baba yake Asenathi.
Oni ni mji, ambao pia unajulikana kama Heliopolisi, ambao ulikuwa "Mji wa Jua" na makao ya kumuabudu mungu wa jua Ra.
Haya ni majina ya wanamume.
Hii ina maana ya wana 14 na wajukuu waliokuwa wamehusiana na Raheli.
Haya ni majina ya wanamume.
Hili ni jina la mtumishi wa kike wa Raheli.
Hii ina maana ya wana 7 na wajukuu waliokuwa wamehusiana na Bilha.
sita** - "66"
"70"
"kuwaonyesha njia ya kuelekea Gosheni"
Hapa "Yusufu" ina maana ya watumishi wake. "Watumishi wa Yusufu waliaanda kibandawazi chake na Yusufu akenda juu"
Msemo wa "kwenda juu" unatumika kwa sababu Yusufu anasafiri kwenye kwenye mwinuko kukutana na baba yake" "akaenda kukutana na baba yake"
"akaweka mikono yake kumzunguka baba yake, na kulia kwa muda mrefu"
"Sasa nipo tayari kufa" au "Sasa nitakufa na furaha"
Hapa "uso" ina maana ya mtu mzima. Yakobo anaonyesha furaha ya kumuona Yusufu. "kwa maana nimekuona ukiwa hai tena"
Hapa "nyumba" ina maana ya familia yake. "familia ya baba yake" au "nyumba ya baba yake"
Ilikuwa kawaida kutumia msemo wa "kwenda juu" pale mtu azungumzapo na mtu mwenye mamlaka makubwa. "Nitakwenda kumwambia Farao"
Hii ni nukuu ndani ya nukuu. Inaweza kuwekwa kama nukuu isiyo moja kwa moja. "mwambie Farao ya kwamba ndugu zangu ... vyote walivyonavyo"
Msemo huu unatumika hapa kuweka alama kwa tukio muhimu ambalo linataka kutokea katika simulizi.
Hii ni nukuu ndani ya nukuu. Inaweza kuwekwa kama nukuu isiyo moja kwa moja. "mwambieni, 'Watumishi wako wamekuwa ... sisi, na baba zetu."
Hii ni nukuu ndani ya nukuu. Inaweza kuwekwa kama nukuu isiyo moja kwa moja. "mwambieni, 'Watumishi wako wamekuwa ... sisi, na baba zetu."
Familia ya Yusufu wanajitambulisha kama "watumishi wako" wanapozungumza na Farao. Hii ni njia rasmi ya kuzungumza na mtu mwenye mamlaka makubwa. Inaweza kuwekwa katika lugha ya mtu wa kwanza. "Sisi, watumishi wako"
Nomino inayojitegemea ya "chukizo" inaweza kutafsiriwa na kivumishi "yenye maudhi". "Wamisri wanadhani ufugaji ni maudhi"