Hii inatambulisha sehemu mpya ya simulizi ambayo inamlenga Yuda.
Hira ni jina la mwanamume aliyeishi Adulami. Mwadulami ni utaifa wake.
Shua ni mwanamke wa Kaanani aliyeolewa na Yuda.
"mke wa Yuda akawa mjamzito"
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Baba yake akamuita Eri"
Haya ni majina ya wana wa Yuda.
"akamwita"
Hili ni jina la mahali.
Hili ni jina la mmoja wa watoto wa Yuda.
Msemo "machoni pa" una maana ya yahwe kuona uovu wa Eri.. "alikuwa muovu na Yahwe akauona"
Yahwe akamuua kwa sababu alikuwa muovu. Hii inaweza kuwekwa wazi. "Kwa hiyo Yahwe akamuua"
Hili ni jina la mmoja wa watoto wa Yuda.
shemeji kwake** - Hii ina maana ya utamaduni ambao mwana mkubwa anapofariki kabla yeye na mkewe kupata mwana, ndugu anayefuata kiumri angemuoa na kulala na mjane. Mjane atakapozaa mwana wa kwanza, mtoto yule alijulikana kuwa mwana wa ndugu wa kwanza na angepokea urithi wa kaka wa kwaza.
Msemo huu "machoni pa" una maana ya Yahwe kuona uovu wa Onani. "alikuwa muovu na Yahwe aliuona"
Yahwe akamuua kwa sababu alichofanya kilikuwa kiovu. Hii inaweza kuwekwa wazi. "Kwa hiyo Yahwe akamuua pia"
mkwewe** - "mke wa mwanawe mkubwa"
Hii ina maana ya yeye kuishi katika nyumba ya baba yake. "na kuishi katika nyumba ya baba yako"
Yuda anakusudia kwa Tamari kuja mumuoa Shela atakapokua mkubwa. "na pale ambapo Shela, mwanangu, atakapokua, ataweza kukuoa"
Hili ni jina la mmoja wa wana wa Yuda.
Yuda aliogopa ya kwamba iwapo Shela atamuoa Tamari angekufa pia kama kaka zake walivyokufa. "Kwa maana alihofia, 'akimuoa na yeye angeweza kufa kama kaka zake walivyokufa"
Hili ni jina la mwanamume.
"Yuda alipokuwa haombolezi, ali"
"Timna, ambapo wanamume wake walikuwa wakinyoa manyoya ya kondoo"
Haya ni majina ya mahali.
"Rafiki yake Hirami, kutoka Adulami, alikwenda naye"
"Hira" ni jina la mwanamume, na "Adulami" ni jina la kijiji ambapo aliishi.
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mtu akamwambia Tamari"
mkweo ** - "Sikiliza". Hapa neno "tazama" linatumika kushika nadhari ya Tamari.
mkweo ** - "baba wa mume wako"
"ambayo wajane huvaa"
kitambaa chembamba sana kinachotumika kufunika kichwa na uso wa mwanamke.
Hii ina maana alijificha kwa nguo yake ili kwamba watu wasiweze kumtambua. Kitamaduni, sehemu za nguo za wanawake zilikuwa kubwa walizojizungushia nazo. "na akajifunika na kitambaa chake ili watu wasiweze kumtambua"
"kando ya barabara" au "njiani"
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Yuda hakupatiwa kwa Shela kuwa mke"
Yuda hakufikiria ya kwamba alikuwa kahaba kwa sababu tu alifunika uso wake lakini pia kwa sababu alikuwa amekaa langoni. "kwa sababu alikuwa amefunika kichwa chake na kukaa mahali makahaba hukaa mara kwa mara"
Tamari alikuwa amekaa kando ya njia. "Alikwenda mahali alipokuwa amekaa kando na njia"
"Njoo kwangu" au "Njoo sasa"
"Yuda alipomwona Tamari"
mkwewe ** - "mke wa mwanawe"
"kutoka kwa kundi la mbuzi wangu"
"Mhuri" ni sawa na sarafu yenye mchoro uliochongwa juu yake, unaotumika kuchapa nta iliyoyeyushwa. "Mshipi" uliwekwa katika mhuri ili kwamba mmiliki angeweza kuvaa shingoni mwake. Fimbo ilikuwa mti mrefu wa mbao uliosaidia kutembea juu ya ardhi ngumu.
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "alimsababisha aweze kupata mimba"
kitambaa chembamba sana kinachotumika kufunika kichwa na uso wa mwanamke.
"ambayo wajane huvaa"
"kutoka katika kundi lake"
"Adulami" ni jina la kijiji ambapo Hiramu aliishi.
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "chukua rehani"
Hapa "mkono" unasisitiza ya kwamba vilikuwa katika umiliki wake. Mkono wa mwanamke una maana ya mwanamke. "kutoka kwa mwanamke"
"Adulami" ni jina la kijiji ambapo Hiramu aliishi.
"baadhi ya wanamume ambao waliishi pale"
"kahaba aliyetumika katika hekalu"
Hili ni jina la mahali.
Watu wangekuja kugundua kilichotokea wangemkejeli Yuda na kumcheka. Hii inaweza kuwekwa wazi na kusemwa katika hali ya kutenda. "la sivyo watu watatucheka wakigundua kilichotokea"
Msemo huu unatumika kuweka alama ya mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi.
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "mtu akamwambia Yuda"
mkweo** - "Tamari, mke wa mwana wako mkubwa"
Hapa neno la "hilo" lina maana ya "ukahaba" alioufanya. Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "limemfanya aweze kuwa na mimba" au "ana mimba"
"Mleteni nje"
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "tutamchoma mpaka kufa"
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Walipomleta nje"
mkwewe** - "baba wa mume wake"
"Mhuri" ni sawa na sarafu yenye mchoro uliochongwa juu yake, unaotumika kuchapa nta iliyoyeyushwa. "Mshipi" uliwekwa katika mhuri ili kwamba mmiliki angeweza kuvaa shingoni mwake. Fimbo ilikuwa mti mrefu wa mbao uliosaidia kutembea juu ya ardhi ngumu.
Haya ni majina ya wana wa Yuda.
Msemo huu unatumika hapa kuweka alama ya mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi.
Neno "tazama" linatuamsha kwa mshtuko ya kwamba Tamari alikuwa amebeba mapacha, ambayo haikujulikana awali.
Msemo huu "ukafika" unaweka alama kwa tukio muhimu katika simulizi.
"mmoja wa watoto akatoa mkono wake nje"
Huyu ni mtu ambaye humsaidia mwanamke anayezaa mtoto.
"kitambaa cha rangi nyekundu iliyoiva"
"kuzunguka kifundo cha mkono wake"
Msemo huu unatumika hapa kuweka alama ya mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi.
Neno "tazama" hapa linatuamsha kuvuta nadhari kwa habari ya kushangaza inayofuata.
Hii inaonyesha mshangao wa mkunga kuona mtoto wa pili akitoka kwanza. "Kwa hiyo hivi ndivyo unavyojitokeza kwanza!" au "Umejitokeza nje kwanza!"
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "akamuita"
Hili ni jina la mtoto wa kiume. "Jina la Peresi lina maana ya "kuvunja nje".
Hili ni jina la mtoto wa kiume. "Jina la Zera lina maana ya "kitambaa cha rangi nyekundu".