"Hivi ndivyo vizazi vya Esau, ambaye pia anaitwa Edomu". Sentensi hii inatambulisha habari ya vizazi vya Esau katika Mwanzo 36:1-8. "Hii ni habari ya vizazi vya Esau, ambaye pia anaitwa Edomu"
Haya ni majina ya wake wa Esau.
"Eloni kizazi cha Hethi" au "Eloni uzao wa Hethi". Hili ni jina la mwanamume.
Haya ni majina ya wanamume.
Hii ina maana ya kikundi kikubwa cha watu.
Hili ni jina la mke mmoja wa Esau.
Hili ni jina la mtoto mmoja wa kiume wa Ishmaeli.
Haya ni majina ya wake wa Esau.
Haya ni majina ya wana wa Esau.
Hii ina maana ya vitu vyote vilivyokusanywa alipokuwa katika nchi ya Kaanani. "aliyokuwa amekusanya alipokuwa akiishi katika nchi ya Kanaani"
Hii ina maana ya kuhama katika sehemu nyingine na kuishi kule. "alikwenda kuishi katika nchi nyingine"
"Mali za Esau na Yakobo"
Nchi haikuwa na ukubwa wa kutosha kuwatunza mifugo wote ambao Yakobo na Esau walimiliki. "haikuwa na ukubwa wa kutosha kuwatunza mifugo yao" au "haikuwa na ukubwa wa kutosha kwa mifugo ya Esau na Yakobo"
Neno "wamekaa" lina maana ya kuelekea sehemu na kuishi pale. "pale walipohamia"
Sentensi hii inatambulisha habari ya vizazi vya Esau katika Mwanzo 36:9-43. "Hii ni habari ya vizazi vya Esau"
Hii ina maana ya kwamba waliishi katika nchi ya mlima wa Seiri. Maana kamili ya hii inaweza kuwekwa wazi. "aliyeishi katika mlima wa nchi ya Seiri"
Haya ni majina ya wana wa Esau.
Haya ni majina ya wake wa Esau.
Haya ni majina ya wana wa Elifazi.
Hili ni jina la suria wa Elifazi.
Haya ni majina ya wana wa Esau.
Haya ni majina ya wana wa Reueli.
Haya ni majina ya wanamume.
Haya ni majina ya wake wa Esau.
Hili ni jina la mwana wa Esau.
Haya ni majina ya wana wa Elifazi.
Hili ni jina la mmoja wa wake wz Esau.
Haya ni majina ya wana wa Esau.
Haya ni majina ya wana wa Reueli.
Hii ina maana ya kwamba waliishi katika nchi ya Edomu. "walioishi katika nchi ya Edomu"
Haya ni majina ya wake wa Esau.
Hili ni jina la mwanamume.
Neno la "Seiri" ni jina la mwanamume na nchi.
Neno la "Mhori" lina maana la kundi la watu.
walioishi katika nchi ya Seiri, ambayo pia inaitwa Edomu.
Haya ni majina ya wanamume.
Hili ni jina la mwanamke.
Haya ni majina ya wanamume.
Haya ni majina ya wanamume.
Haya ni majina ya wanamume.
Hili ni jina la mwanamke.
Haya ni majina ya wanamume.
Hili ni jina la kundi la watu.
Haya ni majina ya wanamume.
Hii ina maana ya kwamba waliishi katika nchi ya Seiri. "kwa wale walioishi katika nchi ya Seiri"
Haya ni majina ya wanamume.
Hii ina maana ya kwamba huu ulikuwa mji ambapo aliishi. "jina la mji alipoishi"
Haya ni majina ya mahali.
Hili ni jina la mwanamume.
Haya ni majina ya wanamume.
Hii ina maanisha Hushani aliishi katika nchi ya Watemani. "Hushami aliyeishi katika nchi ya Watemani"
Haya ni majina ya mahali.
"vizazi vya Temani"
Hii ina maana ya kwamba huu ulikuwa mji ambao aliishi. "Jina la mji ambao aliishi"
"Samra wa Masreka"
Hili ni jina la mwanamume.
Shauli aliishi Rehobothi. Rehobothi ilikuwa karibu na Mto Frati. Taarifa hii inaweza kuwekwa wazi. "kisha Shauli akatawala katika nafasi yake. Alikuwa akitoka Rehobothi ambayo ipo karibu na Mto Frati"
Haya ni majina ya wanamume.
Haya ni majina ya mahali.
Hii ina maana ya kwamba huu ulikuwa mji ambao aliishi. "Jina la mji ambao aliishi"
Taarifa ambayo haionekani inaweza kuongezwa. "alikuwa binti wa Matredi, na mjukuu wa Me Zahabu"
Hili ni jina la mwanamke.
"viongozi wa koo zao"
Koo na maeneo yalitajwa kwa majina ya viongozi wa koo zao. "jina la koo zao na maeneo walipoishi yalitajwa baada yao. Haya ndio majina yao"
Haya ni majina ya makundi ya watu.
"makazi ya kuishi" au "sehemu waliokuwa wakiishi"
orodha hii inasemekana "kuwa" Esau, ambayo ina maana ni orodha nzima ya vizazi vya Esau"